CriSanToS
JF-Expert Member
- Feb 16, 2024
- 714
- 1,758
Fafanua hapa mkuu tupate elimu kidogo,, umemaanisha nini kusema ni majini yanayojifanya marehemu????mizimu ni majini yanayojifanya marehemu. kifo kinafananishwa na usingizi. ukilala hujui kinachoendelea
msimpe nafasi shetani
Kwahiyo ni uwongo kama inavyoaminika kuwa mizimu ni roho za watu walio uliwa kabla ya siku zao za kuishi hapa duniani kukamilika??????