Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,978
- 15,528
Ndio maana huwa tunasema kuna Mungu mmoja tu na hana mshirika na Mtume Muhammad SAW ni Mtume wake.Habari,
Africa tumekuwa kwenye kiza kisichojulikana kwa miongo kadhaa, wachongaji wengi utasikia wakisema msiabudu mizimu ya mababu zenu, mara mizimu inaleta nuksi, mara watu wamefungwa na mizimu ya kwao.
Nauliza hivi huyo YESU SIO MZIMU?
MAMA MARIA SIO MZIMU?
WATAKATIFU TUNAWAOMBA WATUOMBEE SIO MIZIMU?
ETI MTAKATIFU AGUSTINO NA WENGINE KIBAO SIO MIZIMU?
Nipeni jibu langu hapa hapa