Unayesema tusiabudi MIZIMU hawa mnaoabudu nyie sio mizimu?

Nebuchadneza

JF-Expert Member
Oct 6, 2023
416
1,036
Habari,

Afrika tumekuwa kwenye kiza kisichojulikana kwa miongo kadhaa, wachongaji wengi utasikia wakisema msiabudu mizimu ya mababu zenu, mara mizimu inaleta nuksi, mara watu wamefungwa na mizimu ya kwao.

Nauliza hivi huyo YESU SIO MZIMU?

MAMA MARIA SIO MZIMU?

WATAKATIFU TUNAWAOMBA WATUOMBEE SIO MIZIMU?

ETI MTAKATIFU AGUSTINO NA WENGINE KIBAO SIO MIZIMU?

Nipeni jibu langu hapa hapa
 
Dini ya waarabu na wazungu,za hovyo sana,kwamwe usiache kuwakumbuka na kuenzi wazee wako,

Utakuta lipumbafu limoja watoto wake limeita majina ya wazungu na waarabu,pumbafu kabisa,hivi ulishawahi enda uarabuni au uzunguni ukakuta wanaita watoto wao majina ya kimakonde?
 
Roman Catholic mjoo hapa mlete majibu! Walokole wanaamini Yesu Kristo alifufuka mwili, nafsi, na roho. Hivyo Yesu Kristo sio mzimu kwasababu mizimu miili yao ilioza kaburini! Ki_Kristo mtu akishakufa kumbukumbu lake halipo! Hiyo mizimu ni shetani kachukua sura ya hao watu waliokufa kuwadanganua wanadamu!
 
Mi naomba kuuliza tu kuwa, sio sehemu zote ndani ya Tanzania wanaabudu hao wazungu au waarabu, kuna sehemu nyingine hizo asili bado zipo na zimejaa tele, lakini mbona ukiangalia maisha na maendeleo yao bado ni duni sana...?

Au mlikuwa mnazungumzia kuabudu katika kuleta au kusaidiwa katika nyanja au fikra gani labda...?

Ningependa tu kujua kwa sababu mikanganyiko ni mingi kwa kweli.
 
N story tu za kutishana na kuogopeshana lkn huyo aliyetuweka ktk hii Dunia hayupo km vile hv vitabu viwili vinavyomuelezea na angekuwa hvyo HAKI hii Dunia kusingekalikaaa...
 
Vijana mnapotoka kwa kufuata makuli ,narudia mimi miaka 5 iliyopita nilikuwa nguli kwenye uchawi asije akatokea mwanadamu ama kuimbe kikakudanganya ukamuacha kristo yesu
Cha kushangaza hiyo mizimu ikisikia tu jina la Yesu likiitiwa kwa imani na Mtu yeyote hurudi kuzimu kwa vilio vya kusaga meno speed 180

Jesus is the God/Lord.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom