Unahitajika mchango wa pesa kumtoa Mtanzania mwenzetu wakuu

Yo Yo

JF-Expert Member
May 31, 2008
11,217
1,706
masongange1.png


Angnes katika poziiii






Tuache tofauti zetu.....ila tufanye tuwezalo watanzania tumtoe huyu mtoto lupango sauzi....

 
Moyo wa ukarimu na utaifa utumike........tuache roho mbaya eti tumuache akome.....mods naomba kama mnaweza ipatikane namba ya mpesa au tigo pesa tuanze kutuma pesa kidogo kumsaidia mtz mwenzetu......
 
bora hizo pesa mnazotaka kuchanga msaidie watoto wadogo wenye matatizo ya moyo waende india kutibiwa
 
Mwambie shemeji yake{basha wa mellisa} akamtoe yule dogo white maana ana hela nyingi sana!
 
Pita kwenye vituo vya daladala na uswazi, waangalie vijana hali zao wanavyoteseka na madawa ya kulevya, utagundua huyu mbwea na mimbwea wenzake walitakiwa mpaka sasa wamenyongwa zamani.
 
Dah!Kuna wagonjwa wengi wanateseka katika hospitali zetu sijaona juhudi za hivi ili kuokoa maisha yao,leo mpuuzi anaeangamiza vijana wetu eti achangiwe!!Hivi niulize hajanyongwa?
 
Mkuu peleka hii kitu baraza la utani, lakini kama uko serious mi nasema tuhonge ile gesi yetu ile ya kulee, tuwaulize ndugu zetu wale wanaonaje kujengwa bomba kuelekea south.
 
Sponsor wake ndo akasimamie kumtoa!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom