Unafahamu kuwa Volkswagen walitengeneza technology ya kujitengenezea kahawa ndani ya gari?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,343
1658677258574.png

Sababu kubwa ni kuwa magari hayakua na heating system. Ukisikia baridi ndani ya gari ukiweza kutengeneza kikombe cha kahawa ili kuongeza joto la mwili.

Hii technology ilikufa walipoweza kuweka heater kwenye magari.
 
Back
Top Bottom