Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,513
- 9,309
Waswahili wanasema Mtu akipata Mtoto kuna namna hujikuta akibadilika na kugundua baadhi ya Mambo ambayo hapo awali hakuwahi kuyajua wala kuambiwa na waliomtangulia kwenye Malezi
Mtu mmoja aliniambia ukipata Mtoto/Watoto Maisha yako yanakuwa na Hofu mara kwa mara ukiwaza kama Ukifa mapema Maisha ya Wanao yatakuaje
Namna yako ya kufikiri mambo pia hubadilika na unajikuta Maamuzi mengi unayoyafanya lazima uwafikirie Watoto wako kwanza
Kwako ni jambo gani umeligundua baada ya Kupata Mtoto??
Mtu mmoja aliniambia ukipata Mtoto/Watoto Maisha yako yanakuwa na Hofu mara kwa mara ukiwaza kama Ukifa mapema Maisha ya Wanao yatakuaje
Namna yako ya kufikiri mambo pia hubadilika na unajikuta Maamuzi mengi unayoyafanya lazima uwafikirie Watoto wako kwanza
Kwako ni jambo gani umeligundua baada ya Kupata Mtoto??