Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,518
- 34,322
Kwa Hali ya mambo ilivyo ndani ya Simba hivi Sasa Kuna umuhimu wa kuwa na Kepteni mwenye sifa kama za Bocco.
Mohamed Hussein ni mkongwe ndiyo, Lakini sidhani Kama ana nguvu kubwa ya ushawishi kwa wachezaji wenzake.
Nakumbuka wakati Yanga wamevurugikiwa Kwa kuondoka Kwa Manji, Mwinyi zahera kama kocha aliibeba Yanga mabegani mwake yeye mwenyewe peke yake.
Leo Simba wanaye kocha "professional" Lakini ana kundi kubwa la viongozi wasio na ushawishi klabuni.
Suluhisho ni kuwa na Nahodha atakayeweza kutuliza dhoruba ya mtikisiko huu isiathiri wachezaji. Mohamed Hussein sidhani kama anaiweza kazi hiyo...
Mohamed Hussein ni mkongwe ndiyo, Lakini sidhani Kama ana nguvu kubwa ya ushawishi kwa wachezaji wenzake.
Nakumbuka wakati Yanga wamevurugikiwa Kwa kuondoka Kwa Manji, Mwinyi zahera kama kocha aliibeba Yanga mabegani mwake yeye mwenyewe peke yake.
Leo Simba wanaye kocha "professional" Lakini ana kundi kubwa la viongozi wasio na ushawishi klabuni.
Suluhisho ni kuwa na Nahodha atakayeweza kutuliza dhoruba ya mtikisiko huu isiathiri wachezaji. Mohamed Hussein sidhani kama anaiweza kazi hiyo...