Hongera Kocha Benchikha kwa kuikimbia fedheha hii. Tatizo la Simba ni wachezaji wa kiwango cha chini

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Jan 26, 2019
1,970
4,138
Amani iwe nanyi.

Huwa nikiiangalia hii timu ya simba na aina ya wachezaji wake wa sasa hivi kisha nikiilinganisha na ile simba ya kampa kampa tena ya Kocha Patrick Aussem au Didier Da rosa huwa najiuliza ,Je hawa wachezaji wa sasa hivi wangepata kweli namba katika vikosi vya wakati ule.

Tatizo kubwa la Simba ni wachezaji wenye viwango duni.Leo hii tuna wachezaji wasio weza hata kutuliza mpira, kupiga pasi zilizonyooka, wasioweza kupiga mashuti na hata kukimbia.

Uongozi wa Simba unatakiwa ubadilishe timu yake ya maskauti wanaosaka wachezaji. Wachezaji wengi walioletwa katika hii miaka miwili ni magarasa ,tuambiane tu ukweli.

Simba inatakiwa iwape mkono wa kwaheri kina Jobe,freddy,Ngoma,Kennedy,Saido,Onana,Babacar Sarr n.k hawa wanatakiwa waachwe wakatafute changamoto mpya.

Mwisho nimpongeze kocha Abdelhaqq Benchikha kwa kuona kuwa Simba inampotezea muda tu na kuamua kuachana nayo. Huwezi ukawa na wachezaji kama kina Onana , beki Kennedy na washambuliaji kina Jobe na Freddy halafu utegemee timu ifanye vizuri.

YANGA BINGWA TENA.
 
Amani iwe nanyi.

Huwa nikiiangalia hii timu ya simba na aina ya wachezaji wake wa sasa hivi kisha nikiilinganisha na ile simba ya kampa kampa tena ya Kocha Patrick Aussem au Didier Da rosa huwa najiuliza ,Je hawa wachezaji wa sasa hivi wangepata kweli namba katika vikosi vya wakati ule.

Tatizo kubwa la Simba ni wachezaji wenye viwango duni.Leo hii tuna wachezaji wasio weza hata kutuliza mpira, kupiga pasi zilizonyooka, wasioweza kupiga mashuti na hata kukimbia.

Uongozi wa Simba unatakiwa ubadilishe timu yake ya maskauti wanaosaka wachezaji. Wachezaji wengi walioletwa katika hii miaka miwili ni magarasa ,tuambiane tu ukweli.

Simba inatakiwa iwape mkono wa kwaheri kina Jobe,freddy,Ngoma,Kennedy,Saido,Onana,Babacar Sarr n.k hawa wanatakiwa waachwe wakatafute changamoto mpya.

Mwisho nimpongeze kocha Abdelhaqq Benchikha kwa kuona kuwa Simba inampotezea muda tu na kuamua kuachana nayo. Huwezi ukawa na wachezaji kama kina Onana , beki Kennedy na washambuliaji kina Jobe na Freddy halafu utegemee timu ifanye vizuri.

YANGA BINGWA TENA.
Mkuuu soma hiyo;
1. ONANA Top Scorer na MVP Rwanda.
2. Fredy Top Scorer Zambia.
3. Phiri Top Scorer Zambia.
4. Baleke Top Scorer Congo.
5. Saidoo Top Scorer Tanzania
6. Kramo Top Scorer Ivory Coast huyo Pacome hamfikii hata Robo! Wooote wako wapi???

Mdogo wangu Yanga ni WACHAWI! Wazee wa Simba wanataka muwape nafasi mnawaona wajinga.

Mtamleta hata Kylian Mbappe na Judde Sherrigham lkn Mtawakakataaaaa!
Jiulize wewe mwenyewe hivi hao Top scorer 6 wote wametoka Ligi mbovu? Je hawatengenezewi nafasi?? Mtafute Baleke ongea naye utajua SIMBA inatatizo nje ya Uwanja.
Anyway muda utaongea, sitaki kulaumu scouting team maaana wameleta kila aliyeko juu kwenye ligi zao.
 
Amani iwe nanyi.

Huwa nikiiangalia hii timu ya simba na aina ya wachezaji wake wa sasa hivi kisha nikiilinganisha na ile simba ya kampa kampa tena ya Kocha Patrick Aussem au Didier Da rosa huwa najiuliza ,Je hawa wachezaji wa sasa hivi wangepata kweli namba katika vikosi vya wakati ule.

Tatizo kubwa la Simba ni wachezaji wenye viwango duni.Leo hii tuna wachezaji wasio weza hata kutuliza mpira, kupiga pasi zilizonyooka, wasioweza kupiga mashuti na hata kukimbia.

Uongozi wa Simba unatakiwa ubadilishe timu yake ya maskauti wanaosaka wachezaji. Wachezaji wengi walioletwa katika hii miaka miwili ni magarasa ,tuambiane tu ukweli.

Simba inatakiwa iwape mkono wa kwaheri kina Jobe,freddy,Ngoma,Kennedy,Saido,Onana,Babacar Sarr n.k hawa wanatakiwa waachwe wakatafute changamoto mpya.

Mwisho nimpongeze kocha Abdelhaqq Benchikha kwa kuona kuwa Simba inampotezea muda tu na kuamua kuachana nayo. Huwezi ukawa na wachezaji kama kina Onana , beki Kennedy na washambuliaji kina Jobe na Freddy halafu utegemee timu ifanye vizuri.

YANGA BINGWA TENA.
Hivi unaweze kuondoka na benchi lako la ufundi kwenda kuuguza?
 
Mkuuu soma hiyo;
1. ONANA Top Scorer na MVP Rwanda.
2. Fredy Top Scorer Zambia.
3. Phiri Top Scorer Zambia.
4. Baleke Top Scorer Congo.
5. Saidoo Top Scorer Tanzania
6. Kramo Top Scorer Ivory Coast huyo Pacome hamfikii hata Robo! Wooote wako wapi???

Mdogo wangu Yanga ni WACHAWI! Wazee wa Simba wanataka muwape nafasi mnawaona wajinga.

Mtamleta hata Kylian Mbappe na Judde Sherrigham lkn Mtawakakataaaaa!
Jiulize wewe mwenyewe hivi hao Top scorer 6 wote wametoka Ligi mbovu? Je hawatengenezewi nafasi?? Mtafute Baleke ongea naye utajua SIMBA inatatizo nje ya Uwanja.
Anyway muda utaongea, sitaki kulaumu scouting team maaana wameleta kila aliyeko juu kwenye ligi zao.
Mpaka mumuombe radhi Mzee Kilomoni.

Sisi tulikuwa na Mzee Akilimali tulikoma ubishi.

Kwahiyo na nyinyi mnatamani wazee day? Saido si yumo uwanjani kabisa?

Mlikuwa mnamuonea Boko mchawi kawaachia timu, kiko wapi sasa?
 
Mkuuu soma hiyo;
1. ONANA Top Scorer na MVP Rwanda.
2. Fredy Top Scorer Zambia.
3. Phiri Top Scorer Zambia.
4. Baleke Top Scorer Congo.
5. Saidoo Top Scorer Tanzania
6. Kramo Top Scorer Ivory Coast huyo Pacome hamfikii hata Robo! Wooote wako wapi???

Mdogo wangu Yanga ni WACHAWI! Wazee wa Simba wanataka muwape nafasi mnawaona wajinga.

Mtamleta hata Kylian Mbappe na Judde Sherrigham lkn Mtawakakataaaaa!
Jiulize wewe mwenyewe hivi hao Top scorer 6 wote wametoka Ligi mbovu? Je hawatengenezewi nafasi?? Mtafute Baleke ongea naye utajua SIMBA inatatizo nje ya Uwanja.
Anyway muda utaongea, sitaki kulaumu scouting team maaana wameleta kila aliyeko juu kwenye ligi zao.
Pacome ni mchezaji bora wa ligi ya ivory coast msimu wa 2022/2023 na sio kramo
 
Mkuuu soma hiyo;
1. ONANA Top Scorer na MVP Rwanda.
2. Fredy Top Scorer Zambia.
3. Phiri Top Scorer Zambia.
4. Baleke Top Scorer Congo.
5. Saidoo Top Scorer Tanzania
6. Kramo Top Scorer Ivory Coast huyo Pacome hamfikii hata Robo! Wooote wako wapi???

Mdogo wangu Yanga ni WACHAWI! Wazee wa Simba wanataka muwape nafasi mnawaona wajinga.

Mtamleta hata Kylian Mbappe na Judde Sherrigham lkn Mtawakakataaaaa!
Jiulize wewe mwenyewe hivi hao Top scorer 6 wote wametoka Ligi mbovu? Je hawatengenezewi nafasi?? Mtafute Baleke ongea naye utajua SIMBA inatatizo nje ya Uwanja.
Anyway muda utaongea, sitaki kulaumu scouting team maaana wameleta kila aliyeko juu kwenye ligi zao.
Ushirikina wazawa vs wageni
 
Mpaka mumuombe radhi Mzee Kilomoni.

Sisi tulikuwa na Mzee Akilimali tulikoma ubishi.

Kwahiyo na nyinyi mnatamani wazee day? Saido si yumo uwanjani kabisa?

Mlikuwa mnamuonea Boko mchawi kawaachia timu, kiko wapi sasa?
Boko kastaafu? Au yuko timu gani by now
 
Tatizo la simba si wachezaji bali ni technical difficulties, timu kukosa falsafa, fomesheni, morale na kushindwa kucheza kitimu, wala hakuna uchawi, Ngoma unamuona anacheza mechi kama mazoezi, kibu anapaparika apinge chenga timu nzima akafunge mwenyewe !!

, Yanga wanacheza total football, kukaba wote tena kwa kuchangia na kushambulia wote kwa kasi na yoyote anakufunga , kuna mda hadi Max anakabia eneo la Mwamnyeto, Musonda anakuwa Baka, mipango ya kufunga Yanga inaanzia kwa Diarra na Aucho au Mudathir wanaopandisha mpira juu kwa kasi, Yanga wakifungwa msako wao kurudisha goli ni kama Real Madrid!! Yanga wachezaji wanajua ukubwa wa brand ya timu yao hawakubali kushushwa.

Mpira ni mchezo wa wazi kila mtu anaona, leo usiku angalia Yanga watakavyojituma sana watakabia juu na kushambulia kwa kasi kama nyuki wabebe mapema kombe lao utaona tofauti na jana Simba walipocheza wakiwa na spirit kama underdog!!

Ninachokiona ni Azam kuchukua nafasi ya pili kwenye ligi wako on fire na mashabiki hatutaki mizengwe ya kina Karai Azam wasihujumiwe wapewe haki yao wakishinda, Simba mdebwedo wajipange kwa ligi zijazo timu imeshuka kiwango iachwe iporomoke sio kuharibu nguvu za Azam mamilioni inayowekeza kuzishusha Yanga na Simba. Mbona EPL timu zinaachwa zitawale mf Man City imezipiku Man Utd na Liverpool vinara wa zamani wa EPL, hapa kwetu mbeleko ya Simba inaboa sana na inaua boli TFF wanalazimisha kuibeba timu imeshajiishia hadi wameitengenezea ligi ya Muungano ikashinda kwa mbinde kwa kucheza rafu na kupoteza muda baada ya kufunga goli.

Huu ni wakati wa kupatikana viongozi wapya TFF wasio na dhana ya kulazimisha Simba kubaki juu wakati uwezo wake umeshuka , hawa waliopo wanadumaza maendeleo ya soka letu lililopanda kwa kasi kutokana na uwekezaji wa vilabu na wala si uongozi wao wanavyodhani wao!!
 
Tatizo la simba si wachezaji bali timu kukosa falsafa, fomesheni, morale na kushindwa kucheza kitimu, wala hakuna uchawi, Ngoma unamuona anacheza mechi kama mazoezi, kibu anapaparika apinge chenga timu nzima akafunge mwenyewe !!

, Yanga wanacheza total football, kukaba wote tena kwa kuchangia na kushambulia wote na yoyote anakufunga , kuna mda hadi Max anakabia eneo la Mwamnyeto, Musonda anakuwa Baka, mipango ya kufunga Yanga inaanzia kwa Diarra na wakifungwa msako wao kurudisha goli kama Real Madrid!! Yanga wachezaji wanajua ukubwa wa brand ya timu yao hawakubali kushushwa.

Mpira ni mchezo wa wazi kila mtu anaona, leo jioni angalia Yanga watakavyojituma sana utaona tofauti na jana Simba walipocheza wakiwa na spirit kama underdog!!

Ninachokiona ni Azam kuchukua nafasi ya pili kwenye ligi wako on fire na mashabiki hatutaki mizengwe ya kina Karai Azam wasihujumiwe wapewe haki yao wakishinda, Simba mdebwedo wajipange kwa ligi zijazo timu imeshuka kiwango iachwe iporomoke sio kuharibu nguvu za Azam mamilioni inayowekeza kuzishusha Yanga na Simba. Mbona EPL timu zinaachwa zitawale mf Man City imezipiku Man Utd na Liverpool vinara wa zamani wa EPL, hapa kwetu mbeleko ya Simba inaboa sana na inaua boli TFF wanalazimisha kuibeba timu imeshajiishia
Hawata kuelewa na hasa huo mfano uliowapa ndio kabisaa hata hawajawahi kuona RM wakicheza.
 
Kocha anatakiwa kuwafundisha wachezaji wabovu wacheze vizuri.
Kocha anatakiwa kugundua vipaji vya wachezaji.
Kocha anayetaka apewe wachezaji wazuri ili awe anashinda mechi sio kocha bali ni muwekezaji anayetaka sifa kwa juhudi na vipaji vya wengine.
 
Back
Top Bottom