Mfugaji123
Member
- Apr 3, 2020
- 10
- 20
Watu wengi hawana mazoea ya kufanya upembuzi yakinifu ( yaani feasibility study) kabla ya kuanza biashara au kuona biashara zao zinavyoendelea na matokeo yake hupata hasara ya fedha na muda kwa kufanya biashara wasiyoifahamu sawasawa au huogopa kuwekeza pesa kwenye biashara yenye maslahi kwa sababu ya kutojua biashara husika.
Sasa umesikia watu wakisema usikimbilie kuweka pesa kwenye biashara usiojua, utapoteza pesa, subiri hadi uifahamu, hivi utafahamu kila kitu??Tuassume wewe ni mwajiriwa haiwezekani upate muda mwingi wa kuanza kufuatilia biashara unayowaza kuwekeza kuzifahamu zote na kufanya maamuzi wa kuweka pesa au hapana. Njia nzuri ni kufanya feasibility study kupitia consultant. Feasibility study sio ghali sana kulinganisha na watu wanavyodhani au kulinganisha na hasara ambayo unaweza kupata kwa kupoteza pesa. FeasibilityStudy study huweza kuangazia maeneo yote kuanzia Ufundi, uendeshaji, vihatarishi, masoko na fedha n.k kulingana na hali halisi iliyopo field
Nikuambie tu feasibility study ikifanywa vizuri ni njia nzuri itakusaidia kuamua kufanya biashara au kuachana nayo. Mfano binafsi mwaka 2018, nilipata kihela kidogo kama milioni 30, nikawaza kuanzisha kiwanda cha kutengeneza chakula cha mifugo. Kabla ya kufanya hivyo, nikaamua kwanza kkufanya feasibility study. Nikatumia shilingi milioni 3 kwa consultant . Mwanzoni nilipanga kutumia milioni 10 kununua mashini, milioni 5 kukodi jengo , kufanya ukarabati na kufunga miundombinu na shilingi milioni 15 za kununulia malighafi za kiwandani.
Baada ya ripoti duu! ilinishangaza, badala ya kuanzisha kiwanda ripoti ikashauri kuingia kwenye biashara za kununua na kuuza malighafi za vyakula vya mifugo kama pumba, mashudu, uduvi, chokaa, ambazo zilionekana zina soko kubwa na faida kubwa. Kwa hiyo nikaingia kwenye biiashara hiyo, baada ya miaka 5 biashara ilikuwa kubwa na na ndiyo tukaanzisha kiwanda kutokana ushauri katika ripoti ile.
Nashauri kama unataka kufanya biashara yoyote kubali kufanya feasibility study. Iwe ni kilimo, ufugaji, manufacturing ,trade nk, Kuna biashara hapa mjini kama una milioni 50 , unaweza kuona ni hela kubwa lakini system za biashara zilizopo hazikupi nafasi kufanya biashara hiyo lkn feasibility study itakusaidia kuamua vema.
Kuna consulting company nyingi lakini wababe wa mjini ni Mkulima AgriMart, wapo DAR ES SAALAM. Kama una idea yoyote watafute hao jamaa simu: 0621106923
Tuendelee kutafuta hela!
Sasa umesikia watu wakisema usikimbilie kuweka pesa kwenye biashara usiojua, utapoteza pesa, subiri hadi uifahamu, hivi utafahamu kila kitu??Tuassume wewe ni mwajiriwa haiwezekani upate muda mwingi wa kuanza kufuatilia biashara unayowaza kuwekeza kuzifahamu zote na kufanya maamuzi wa kuweka pesa au hapana. Njia nzuri ni kufanya feasibility study kupitia consultant. Feasibility study sio ghali sana kulinganisha na watu wanavyodhani au kulinganisha na hasara ambayo unaweza kupata kwa kupoteza pesa. FeasibilityStudy study huweza kuangazia maeneo yote kuanzia Ufundi, uendeshaji, vihatarishi, masoko na fedha n.k kulingana na hali halisi iliyopo field
Nikuambie tu feasibility study ikifanywa vizuri ni njia nzuri itakusaidia kuamua kufanya biashara au kuachana nayo. Mfano binafsi mwaka 2018, nilipata kihela kidogo kama milioni 30, nikawaza kuanzisha kiwanda cha kutengeneza chakula cha mifugo. Kabla ya kufanya hivyo, nikaamua kwanza kkufanya feasibility study. Nikatumia shilingi milioni 3 kwa consultant . Mwanzoni nilipanga kutumia milioni 10 kununua mashini, milioni 5 kukodi jengo , kufanya ukarabati na kufunga miundombinu na shilingi milioni 15 za kununulia malighafi za kiwandani.
Baada ya ripoti duu! ilinishangaza, badala ya kuanzisha kiwanda ripoti ikashauri kuingia kwenye biashara za kununua na kuuza malighafi za vyakula vya mifugo kama pumba, mashudu, uduvi, chokaa, ambazo zilionekana zina soko kubwa na faida kubwa. Kwa hiyo nikaingia kwenye biiashara hiyo, baada ya miaka 5 biashara ilikuwa kubwa na na ndiyo tukaanzisha kiwanda kutokana ushauri katika ripoti ile.
Nashauri kama unataka kufanya biashara yoyote kubali kufanya feasibility study. Iwe ni kilimo, ufugaji, manufacturing ,trade nk, Kuna biashara hapa mjini kama una milioni 50 , unaweza kuona ni hela kubwa lakini system za biashara zilizopo hazikupi nafasi kufanya biashara hiyo lkn feasibility study itakusaidia kuamua vema.
Kuna consulting company nyingi lakini wababe wa mjini ni Mkulima AgriMart, wapo DAR ES SAALAM. Kama una idea yoyote watafute hao jamaa simu: 0621106923
Tuendelee kutafuta hela!