Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,972
- 3,848
Yani wewe ubaki na simu yake hlf akupe yake kwa KUTWA MOJA tu.
eti wakuu?
inawezekana au tuwaache kwanza?
maana wengine hamkawii kudai tunawaonea wivu
eti wakuu?
inawezekana au tuwaache kwanza?
maana wengine hamkawii kudai tunawaonea wivu