Uliwezaje kuvuka maisha ya upweke na usingle?

Kuoa Muhimu Mkuu

Kuoa kunaongeza uwezo wa Mwanaume kufikiri na ku-solve changamoto zake za Kiuchumi.

Zamani ilikuwa kawaida Mwanaume Kuoa mapema sio kama ninyi miaka yenu unakuta Mwanaume anaoa akiwa na miaka 45, ilikuwa kawaida kumkuta Kijana wa miaka 20's tu akiwa tayari na familia yake
Kweli Babu zama hizi wengi tumekuwa waoga wa maisha pia warembo nao pasua kichwa wanachagua sana sana na wanapenda hela yani ni balaa mkuu hila kuoa ni jambo la muhimu asa hizi nyakati
 
Aisee! Ukiwa single unakuwa mpweke sana unakuwa Kama umete gwa kwenye kakisiwa kako uko Ukerewe ndani ndani. Kuna muda mpaka unapata mawazo ya kuanza kuwaza umri wako wa miaka 30 plus aisee hii mbaya Sana.
Wapendwa mniombee in magu voice!!
Wewe unafaa uombewe maji ya kunywa tu na si kingine.Upweke umeutaka mwenyewe aidha kwa uoga wako au uchoyo wa kutotaka kuishi na mtu.
 
Mahusiano ya nyakati hizi,maslahi ndio kipaumbele Cha walio Wengi,ndio maana wale wenye mapenzi ya kweli wanabaki kuwa singo Kwa sababu hawawezi drama za Kila mara.
Ivi izi drama drama kwa baadhi ya wasichana chanzo chake huwa nini ?.
Unakuta mtu analeta drama mpaka kwneye masuala ya afya yake, afu ndio ukute umempenda kwelikweli ni hatarii.
 
Kweli Babu zama hizi wengi tumekuwa waoga wa maisha pia warembo nao pasua kichwa wanachagua sana sana na wanapenda hela yani ni balaa mkuu hila kuoa ni jambo la muhimu asa hizi nyakati
Ni kweli Mkuu, ila bado mabinti waaminifu wapo sana Mtaani.

Ni suala la kumshirikisha Mungu kwenye ombi lako.

Kumbuka Mungu atakupa wa kufanana naye
 
Mbona mm napenda hayo maisha jamni full kupumzika
Napika huku naimba
natoka chooni uchi had chumbani naenjoy nacheza mziki humo ndani nikitosheka naingiamtandaoni Nacheka had jino la mwisho
dah nimecheka Kama nakuona vile ukiwa uchi teh watu wanaweza kukuona unawanga ndani
 
Sema bn Kuna mda kukaa na mtoto wa kike ina raha yake flan...jioni ukirudi nyumba ina uhai mambo safi madiko diko, unapata faraja &Kampan, asubuh ukiamka unaingia nyavuni unaoga unavaaa kibati
Umeona ehee mkuu mtot wa mkwe anakumbembeleza baby embu lala basi
 
Back
Top Bottom