Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 9,686
- 13,052
katika mazingira tofauti tofauti, mathalani mitandaoni, vyuoni na majukwaani kuna aina tofauti tofauti za wanasiasa na siasa. wapo vijana katika siasa, wazee, wanawake kwa wanaume.
wapo wanataaluma wa siasa za kitaifa na kimataifa. Lakini pia wapo wasio na taaluma bali vipaji na utashi wao tu kupenda na kuingia kufanya siasa..
Na katika makundi yote ya wanasiasa, wapo wanao weza kudhibiti hisia zao za kisiasa vema sana, na wengine bado ni dhaifu katika kujizuia na kuwastahimili wale wenye maoni na mitazamo tofauti na yao kisiasa...
na kwahivyo,
utashi, hekima na busara katika kujenga na kutetea hoja dhidi ya upande wenye utofauti wa maoni na wengine, imekua ni miongoni mwa vipimo muhimu sana kubainisha ukomavu wa kisiasa wa mwanasiasa husika, achilia mbali msimamo 🐒
nini kilikuchochea,
nini kilikuvutia na kukusababisha kuamua kufuatilia siasa katika kiwango hicho ulichonacho sasa?
uliwezaje kua katika hali hiyo ya ukomavu uliojaa ustahimilivu, hekima, busara na subra licha ya maoni na mitazamo ya wengine kua tofauti na wako vikiambatana na kejeli, mizaha, ghadabu na pengine matusi ya nguoni dhidi yako?🐒
tafadhali shirikisha uzoefu wako JF fraternity inufaike na maarifa hayo muhimu kuepuka lugha na mambo yasio faa katika siasa na tuwe wastahimilivu na wenye subra kama wewe na hatimae sote kwa pamoja tufanye siasa za kistaarabu 🐒
wapo wanataaluma wa siasa za kitaifa na kimataifa. Lakini pia wapo wasio na taaluma bali vipaji na utashi wao tu kupenda na kuingia kufanya siasa..
Na katika makundi yote ya wanasiasa, wapo wanao weza kudhibiti hisia zao za kisiasa vema sana, na wengine bado ni dhaifu katika kujizuia na kuwastahimili wale wenye maoni na mitazamo tofauti na yao kisiasa...
na kwahivyo,
utashi, hekima na busara katika kujenga na kutetea hoja dhidi ya upande wenye utofauti wa maoni na wengine, imekua ni miongoni mwa vipimo muhimu sana kubainisha ukomavu wa kisiasa wa mwanasiasa husika, achilia mbali msimamo 🐒
nini kilikuchochea,
nini kilikuvutia na kukusababisha kuamua kufuatilia siasa katika kiwango hicho ulichonacho sasa?
uliwezaje kua katika hali hiyo ya ukomavu uliojaa ustahimilivu, hekima, busara na subra licha ya maoni na mitazamo ya wengine kua tofauti na wako vikiambatana na kejeli, mizaha, ghadabu na pengine matusi ya nguoni dhidi yako?🐒
tafadhali shirikisha uzoefu wako JF fraternity inufaike na maarifa hayo muhimu kuepuka lugha na mambo yasio faa katika siasa na tuwe wastahimilivu na wenye subra kama wewe na hatimae sote kwa pamoja tufanye siasa za kistaarabu 🐒