The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 5,171
- 8,412
Wakuu salaam......
Leo nakumbusha tu kale kamsemo kalitrend zzzzzzz....
Mwanaume anaridhika na kutamani uzuri wa ke kiasi cha kusema hata awe hana maarifa na utashi lakini akishajaliwa shape na uzuri ni basi inatosha 😆
Wengi walilinganisha uzuri wa big nyanshiiiii.....fire waist 😜😜😜
Vice verse is true kina dada na nyie vipi mwanaume akiwa handsome bila pesa mnamkubali???? Vipi dada ukipata sampuli ya hivi kama hapa chini ????
Majibu ya Ke tafadhali nasubiri hapa 😅😅😅😅
Leo nakumbusha tu kale kamsemo kalitrend zzzzzzz....
Mwanaume anaridhika na kutamani uzuri wa ke kiasi cha kusema hata awe hana maarifa na utashi lakini akishajaliwa shape na uzuri ni basi inatosha 😆
Wengi walilinganisha uzuri wa big nyanshiiiii.....fire waist 😜😜😜
Vice verse is true kina dada na nyie vipi mwanaume akiwa handsome bila pesa mnamkubali???? Vipi dada ukipata sampuli ya hivi kama hapa chini ????
Majibu ya Ke tafadhali nasubiri hapa 😅😅😅😅