Ukiwa na mpenzi wako mchukulie kama Malaya ili siku ukija mfuma usiumie sana

Wapo wengi sana, mimi mwaka juzi kuna classmate alikuwa anaolewa. Sikuwahi kuwa na ukaribu nae sana japo nilishawahi kuambiwa mbona kama ananielewa, nikapotezea. Siku moja tukiwa kwenye maandalizi ya shughuli yake akaniambia kuna jambo ataniambia nimpigie atakaponitext, muda ukafika nikafanya hivyo. Akaniambia ya moyoni anataka aniage, nikahisi ni mtego nikapotezea. Kwa bahati mbaya shughuli yake sikuweza kushiriki nilikuwa safarini. Akaja kuniambia ule ule ujinga tena akiwa ni mke wa mtu nikampotezea adi leo hii kaninunia hata tukikutana kwenye matukio hataki hata salamu yangu.

Nmejiuliza hivi mtu kama huyu kaolewa kwa kuridhia kwa upendo au ndio nayeye kaolewa kama hadhi tu.
Sasa kwanini hukumuaga chief 😂😂
 
Huwezi ishi kwenye furaha kama kwenye shida,,je ikija shida unadhani utaishi kwenye furaha?
Ni hivi furahia ndoa yako vizuri sana,,,kisha ikija shida utapambana na hali yako period
 
Kawaida tu. Tukio moja hili halitoshi kufanyia majumuisho ya jumla kwamba wapenzi na wachumba wetu wote ni malaya. Wewe kama umepata malaya pambana tu na hali yako. Wanawake decent wanaojitambua na wasioliwa hovyo hovyo wapo tena wengi tu. Na ukiona kila mara unaishia kuibua malaya jichunguze sana pengine tatizo linaweza kuwa ni wewe (Ref: Law of Attraction).

➡️➡️➡️ Epuka kuhukumu kabila zima, jinsia nzima; na hata kundi zima la watu kwa kuegemea matukio machache ambayo yanaweza kuwa ni vighairi tu!
Muda utazungumza
 
Hawa wenzetu ni wepesi sana kutegeka, kuna jamaa yangu alikula mwanamke alietoka kuvalishwa pete jana yake. Kafika kavua pete kaweka mezani katoa ushirikiano wa penzi vizuri kanogewa mpaka akasahau na pete aliyovalishwa jana yake. Kafika kwao ndio mama yake anamuuliza pete ipo wapi ndo kushtuka kasahau kwa mwamba.

Jamaa akaniambia huyu manzi ataolewa lakini hatodumu na kweli hakudumu ndoa yake haikumaliza hata miezi mitatu.
Duh! Baada ya Pete ilikua mara ya kwanza kumkula au walilianzisha kitambo?
 
Duh! Baada ya Pete ilikua mara ya kwanza kumkula au walilianzisha kitambo?
Walikuwa wanakulana kitambo jamaa yangu alinijulisha siku 2 kabla ya tukio kuwa yule fulani anavishwa pete keshokutwa, huu uhusiano wao mwanamke ndio alikuwa akimpenda jamaa yangu ila jamaa alikuwa hana ata mda nae zaidi ya kujilia. Na alikuwa hana mda nae kwa sababu alishamuona ni mambo mengi.
 
Huyo baba ameshiriki engagement party ya huyo bint na picha alikuwa anachukua Kama kumbukumbu ya tukio, lkn inaonekana walikuwa na mahusiano au walianza baada ya hiyo shughuli, hiyo picha wako pamoja wamebebana Ni siku tofauti

Kwa ufupi wanaokataa ndoa siwezi sema wako sahihi au wanakosea ila ukweli ni kwamba watu kwenye mahusiano wanachapiwa sana tena kwa Kasi ya 6G kama iliyozinduliwa Japan, ili kuepuka maumivu haya sasa Ukiwa na mpenzi wako usiachie moyo wako wte laa sivyo utajikuta unakufa kwa pressure.

Kama huamini Tenga laki moja mrushie mke au mpenzi wa Mtu kwa installment sema tu labda akalipie kikoba alafu baada ya muda wew utachokiona utaleta mrejesho atavyoanza kukufanyia ili ule kimasihara.

View attachment 2986184
View attachment 2986199
Ngumu sana mkuu hata kama umekutana Naye kitambaa cheupe lakini akishakuwa mpenzi wako Imani ya kuwa umemtuliza itakuingia
 
Kawaida tu. Tukio moja hili halitoshi kufanyia majumuisho ya jumla kwamba wapenzi na wachumba wetu wote ni malaya. Wewe kama umepata malaya pambana tu na hali yako. Wanawake decent wanaojitambua na wasioliwa hovyo hovyo wapo tena wengi tu. Na ukiona kila mara unaishia kuibua malaya jichunguze sana pengine tatizo linaweza kuwa ni wewe (Ref: Law of Attraction).

➡️➡️➡️ Epuka kuhukumu kabila zima, jinsia nzima; na hata kundi zima la watu kwa kuegemea matukio machache ambayo yanaweza kuwa ni vighairi tu!
Ni mjinga pekee anaweza usemea uaminifu na moyo wa mtu mwingine
 
Back
Top Bottom