Pilipilihoho
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 202
- 145
Jamaa mmoja alipigwa na homa kali ya malaria mpaka akalazwa. Akiwa hospitali hali yake ilianza kuimarika.
Habari zikamfikia demu wake kupitia mashoga zake kuwa msela wake anaumwa na kalazwa hospitali.
Baada ya muda mchache, yule jamaa akapokea ujumbe mfupi;
Demu: Hello baby! Uko wapi? Kwako sijakukuta.
Jamaa: Nipo hospitali ya rufaa hapa Muhimbili nimelazwa.
Demu: Pole sana baby! Nirushie nauli na hela ya matunda nije nikuone.
Nyie wadada Mungu anawaona!!!!
Habari zikamfikia demu wake kupitia mashoga zake kuwa msela wake anaumwa na kalazwa hospitali.
Baada ya muda mchache, yule jamaa akapokea ujumbe mfupi;
Demu: Hello baby! Uko wapi? Kwako sijakukuta.
Jamaa: Nipo hospitali ya rufaa hapa Muhimbili nimelazwa.
Demu: Pole sana baby! Nirushie nauli na hela ya matunda nije nikuone.
Nyie wadada Mungu anawaona!!!!