Mrisho com
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 3,926
- 3,968
Kingston Jamaica ni mji wa kawaida sana, yaani hata jiji la Dar es salaam afadhali kwakweli.
Ila kama utapata bahati kafika kwenye hizi nchi harafu utembelee miji yao unaweza just ajabu ya dunia.
Ni nchi ambazo hazina kelele na zinatafsiriwa tofauti kabisa na jinsi zilivyo miongoni mwa nchi na miji yake kwa ufupi.
1. Uzbekistan? huku utakutana na miji kama TASHKENT, Ark Bukhara, Registan na Samarkand.
2. Kazakhstan, huku utakutana na miji(majiji) kama ifutavyo;
Astana
Almaty
Semey
Karaganda.
3. Tajikistan hapa unakutana na miji kama Dushanbe.
Hapa nimeweka kwa ufupi tu, nafika mahali mpaka najiuliza sisi ngozi Nyeusi umekosea wapi? Shida ni nini?
Hizi nchi zimejengeka sana, watu wanakula maisha jamani.
Ila kama utapata bahati kafika kwenye hizi nchi harafu utembelee miji yao unaweza just ajabu ya dunia.
Ni nchi ambazo hazina kelele na zinatafsiriwa tofauti kabisa na jinsi zilivyo miongoni mwa nchi na miji yake kwa ufupi.
1. Uzbekistan? huku utakutana na miji kama TASHKENT, Ark Bukhara, Registan na Samarkand.
2. Kazakhstan, huku utakutana na miji(majiji) kama ifutavyo;
Astana
Almaty
Semey
Karaganda.
3. Tajikistan hapa unakutana na miji kama Dushanbe.
Hapa nimeweka kwa ufupi tu, nafika mahali mpaka najiuliza sisi ngozi Nyeusi umekosea wapi? Shida ni nini?
Hizi nchi zimejengeka sana, watu wanakula maisha jamani.