Tumekusikia wakongwe humumwaya me siwezi kukujudge wala kukulaumu, ila kabla udate mume wa mtu unatakiwa ujue upendo wake huwa ni wa muda siku ukiisha anaenda zake kwa mwingine
hapa wanaume wote watakuchamba kwakua umesema hakupi hela ila aslimia kubwa na wao ni waume za watu na wana michepuko kama yote na wana honga vizuri tu
Ila kama unadate haijalishi unadate mume wa mtu au hajaoa ila ni mtu mko na mahusiano kukuhudumia lazima hata kama hana hela 2500 hawezi kukupa aah hapana bhana sasa tutaaminije kama anakupenda bwana
alafu ukute ulimzoesha hivyo jikaze tu mwali sio kwa ubaya, huyo ashapata mwingine hawezi tena kukuhudumia mamdogo aunty ondoka kabla upate mimba uwe single mom
achana na waume za watu tafuta kakijana kako kakivuruge mvurugane maisha yaendelee
Wanaonaga ni zao na ni wajibu wetu kuwapa hata kama ilikuwa siku moja atakuganda kama gundi 😄Na kwa nn uombe PESA kila siku. Kazi anakufanyia ww.
Kazi ni kipimo cha utu
Fantasy zipi hizo za ajabu uyo mbaba anakufosi mfanye blessed chiqqahanaforce fantasy za ajabu ambazo ukikaa ukiwaza unaona kabisa si sawa
Safi usirudienimeliua tayari limekufa kufi kufi
😂😂😂😂Aachane naye atafute mwingine, na mwingine na mwingine hadi atakapozeekea kwenye ndoa za watu
I tried kumuacha but anaomba msamaha with alot of promises na ukishamsamehe anarudia yaleyale
Id yako ya nyuma tushaijua. Back to topic yuko bsy anahudumia familia yake baada ya kugundua alikuwa na kausha damuHabari ya jioni wana Jf poleni na mihangaiko ya hapa na pale,
Baada ta kupoteza Id yangu ya zamani nilisema sitarudi tena Jf ila kwa hili imebidi nije mwenyewe. Naombeni mnipe ushauri.
Nimekuwa kwenye mahusiano na huyu baba kwa takribani miaka 5 sasa (japo yeye ni mume wa mtu) tulianza kama washikaji tu baadae tukakubaliana tuwe na mahusiano tumeenda vizuri sana lakini tangu huu mwaka jana mwishoni baada ya kuona am into him mazima jamaa ni kama kachange..
Ukimuomba hela kila siku hana😂😂anaforce fantasy za ajabu ambazo ukikaa ukiwaza unaona kabisa si sawa, hajali tena unaweza mwambia unaumwa na hata asiulize unaendeleaje na wala asitake kujua hali yako unless umkumbushe bdo atajifanya sorry nilipitiwa..
I tried kumuacha but anaomba msamaha with alot of promises na ukishamsamehe anarudia yaleyale
Hii hali imenichosha, amenitoka kabisa kwa sasa natamani kumove on
Nistay single until nipate the right one
Sasa naombeni ushauri je nimwambie au ni move on kimyakimya ye akija kustuka akute mi tayari niko na maisha mengine ama nifanyeje 😒
Msinipopoe wala hata msiulize Id yangu ya samani ni ipi
Kwahiyo upendo wa mtu mnaupima kupitia kukupa hela sana? Kwa stahili hii mtatumika sana aiseemwaya me siwezi kukujudge wala kukulaumu, ila kabla udate mume wa mtu unatakiwa ujue upendo wake huwa ni wa muda siku ukiisha anaenda zake kwa mwingine
hapa wanaume wote watakuchamba kwakua umesema hakupi hela ila aslimia kubwa na wao ni waume za watu na wana michepuko kama yote na wana honga vizuri tu
Ila kama unadate haijalishi unadate mume wa mtu au hajaoa ila ni mtu mko na mahusiano kukuhudumia lazima hata kama hana hela 2500 hawezi kukupa aah hapana bhana sasa tutaaminije kama anakupenda bwana
alafu ukute ulimzoesha hivyo jikaze tu mwali sio kwa ubaya, huyo ashapata mwingine hawezi tena kukuhudumia mamdogo aunty ondoka kabla upate mimba uwe single mom
achana na waume za watu tafuta kakijana kako kakivuruge mvurugane maisha yaendelee
Mwandiko wako unafanana na wa Ua la Kipekee
porta pottyFantasy zipi hizo za ajabu uyo mbaba anakufosi mfanye blessed chiqqah
Hili taifa linalea watoto wakike wapumbavu sana. Ona sasa wewe namna ulivyo mpumbavu, unakuja kulalamika kuhusu mume wa mtu as if ni jambo la kawaida mwanamke kutoka kimapenzi na mwanaume ambaye si mume wake na ni mume wa ndoa wa mtu.Habari ya jioni wana Jf poleni na mihangaiko ya hapa na pale,
Baada ta kupoteza Id yangu ya zamani nilisema sitarudi tena Jf ila kwa hili imebidi nije mwenyewe. Naombeni mnipe ushauri.
Nimekuwa kwenye mahusiano na huyu baba kwa takribani miaka 5 sasa (japo yeye ni mume wa mtu) tulianza kama washikaji tu baadae tukakubaliana tuwe na mahusiano tumeenda vizuri sana lakini tangu huu mwaka jana mwishoni baada ya kuona am into him mazima jamaa ni kama kachange..
Ukimuomba hela kila siku hanaanaforce fantasy za ajabu ambazo ukikaa ukiwaza unaona kabisa si sawa, hajali tena unaweza mwambia unaumwa na hata asiulize unaendeleaje na wala asitake kujua hali yako unless umkumbushe bdo atajifanya sorry nilipitiwa..
I tried kumuacha but anaomba msamaha with alot of promises na ukishamsamehe anarudia yaleyale
Hii hali imenichosha, amenitoka kabisa kwa sasa natamani kumove on
Nistay single until nipate the right one
Sasa naombeni ushauri je nimwambie au ni move on kimyakimya ye akija kustuka akute mi tayari niko na maisha mengine ama nifanyeje
Msinipopoe wala hata msiulize Id yangu ya samani ni ipi