OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,600
- 105,717
- Thread starter
- #141
Kanakuona kama mtoto mwenzie tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dah ndugu muhasibu nimecheka sana , kwakwel niko safarini na sik yangu ilikua imeisha vibaya ila hii point namba 4 nimecheka mpaka machozi.
Umenikumbusha 2022 Singida nilikuwa na moment na ka teeneger ka age hiyo 21, kale katoto kalinipenda sana , sasa muda wa kukapiga mashine, kalikua mpaka kanageuza macho kama jini hapo, kakirud kwenye akil zake kanaongea mambo nikawa naona ya kitoto sana sana upuuzi, mara
- baby naomba nikuzalie mtoto
- mara baby naomba nikupeleke kwa mama akujue 😂😂
Bas nikawa najionea keroooo 🤣🤣🤣