Msukusu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 207
- 398
Kipindi Cha Nyuma Miaka Ya 2000- 2012 Katikati Hapo Mashuleni Wasichana Walikumbwa Sana Na Chekelea, Hasa Bording School Walimu Walichokuwa Wanafanya Ni Kutenga Siku Za Outing Day Kila Mwisho Wa Mwezi. Au Kualika Shule Jirani Kwa Ajili Ya Debate Hasa Shule Za Boys. Baada Ya Debate Kunakuwa Na Sherehe Kidogo, Hii Ilichangia Wasichana Wasipate Chekelea. Je Miaka Hii Sijawahi Kusikia Debate Mashuleni Na Chekelea Sijawahi Kusikia, Ni Nini Kimechangia Kupungua Kwa Midahalo Mashuleni Na Ugonjwa Wa Chekelea???