NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 638
Wana JF,
Katika kipindi cha uongozi wa Nyerere nilikuwa sijazaliwa kwa hio nimesikia kupita watu mbalimbali kuwa Mwalimu Nyerere alikuwa hampenid kabisa Malechela na ilifika kipindi cha uchaguzi ndani ya CCM kwa ajili ya uchaguzi wa atakayegombea urais kupitia tiketi ya ccm Nyerere alisikika akisema ''Endapo Malechela angepewa ridhaa ya kugombea kwa tiketi ya CCM basi angerudisha kadi yake ya chama na kujiunga na upnzania'' Je ugomvi wake mkubwa na Malechela ulisababishwa na nini?
Katika kipindi cha uongozi wa Nyerere nilikuwa sijazaliwa kwa hio nimesikia kupita watu mbalimbali kuwa Mwalimu Nyerere alikuwa hampenid kabisa Malechela na ilifika kipindi cha uchaguzi ndani ya CCM kwa ajili ya uchaguzi wa atakayegombea urais kupitia tiketi ya ccm Nyerere alisikika akisema ''Endapo Malechela angepewa ridhaa ya kugombea kwa tiketi ya CCM basi angerudisha kadi yake ya chama na kujiunga na upnzania'' Je ugomvi wake mkubwa na Malechela ulisababishwa na nini?