Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,399
- 7,672
Muuza vitabu alikuwa na vitabu vingi vya Nashon C Elia vyenye hadithi za kiswahili kwa watoto ambavyo nilitaka kununua. Nilipoona hilo neno "dora" nikaahirisha. Sikutaka watoto wasome makosa hayo.Hilo neno Dora sehemu ya Dola tumeshamjua mchawi
Yaani hakufanya proof reading, hata mpiga chapa naye hakuona makosa???Muuza vitabu alikuwa na vitabu vingi vya Nashon C Elia vyenye hadithi za kiswahili kwa watoto ambavyo nilitaka kununua. Nilipoona hilo neno "dora" nikaahirisha. Sikutaka watoto wasome makosa hayo.
Kitabu chake ni copy & paste makala za watu.Sijawahi kumuamini Yericko ni magumashi magumashi tu.
Kuna watu mna vituko sana, Yericko humu alikuwa anajiita Jason bourne ni bingwa wa fix.Yeriko Nyerere kwenye hiyo sector yupo vizuri, yupo mbali mno na hana mpinzani hapa bongo, pia yupo serious hatanii, anafanya biashara. uchapishaji wake ni wa umakini na ubora, na hata ukisoma ndani unaona unaelewa.
😂😂😂 Hio movie ya spyKuna watu mna vituko sana, Yericko humu alikuwa anajiita Jason bourne ni bingwa wa fix.
Halafu Yericko Nyerere awafungulie mashtaka chatGPT kwa huu ufafanuzi wao wenye nia ovu ya kumgombanisha na wafuasi wenzie wa ufipa. Hii sio sawa. ChatGPT wamekengeuka.View attachment 2980804
Wewe humjui Yericko, tunaomjuwa Yericko tunakushangaa, utakuwa mgeni hapa JF.View attachment 2980800 Jamaa kaandika Dora; sijui ni nini!
Anyway; kumuelewa Yericko Nyerere unatakiwa angalau uwe na elimu ya Diploma (Stashahada) na kuendelea. Ukiwa na Shahada (degree) au Masters (uzamili) itapendeza zaidi.
Ninasema hivi kwa sababu mwenye elimu tajwa hapo juu amepitia na kujifunza jinsi ya kufanya utafiti, kuandaa machapisho, ikiwa ni pamoja na kunukuu machapisho mbalimbali.
Iwapo kama una elimu ya kuunga unga utapata shida sana kuelewa machapisho.
Yericko Nyerere unaitwa hukuNilinunua kitabu icho cha yerico niliishia page ya tatu
Hana kitu kichwani ni tikiti maji
Ni vile jamii kubwa ya watanzania ni wajinga