Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Mkuu tazama hizo picha hapo chini; nilikuwa mmikoa ya kusini just three weeks ago, tutatembelea banda la mkulima mmoja na kuona jinsi alivyojikwamua kwa ufugaji kuku wa kienyeji. Alianza kufugia kwenye banda la kupikia, then sasa amejenga banda jipya, anafuga kwa kutumia njia bora zaidi kuku wale wale wa kienyeji. Kwa hivyo haihitaji kuanza na maelfu ya kuku, bali kidogo kadri unavyoweza, kikubwa ni kuhakikisha unawapatia huduma bora zikiwamo chakula na madawa.
Cheers..!
Mkuu, Hebu ungemwaga kidogo utaalam au masharti ya kuzingatia unapoamua kufuga kuku wa kienyeji mzee!