Tuseme ukweli, kisiwa cha Mafia umeshawahi kusikia habari yoyote mfano kama Serikali zinavyofanyika mikoa mingine

Leo baada ya kuona video ikionesha madhara ya kimbunga Hidaya ndio nikajiuliza hivi kisiwa cha Mafia kwa shughuli za Serikali kila siku zinazofanyiwa kikazi upande wa Mafia mbona kama ni kimya sana.

Wajuzi
Hakina matukio makubwa ambayo media zitafanya coverage kubwa. Ila kipo kitambo tu na maisha yanaenda. Papa potwe ndiyo alama yake. Maana ni kiumbe anayepatikana hapo tu.
 
FB_IMG_1714836004837.jpg
unguja hukuu nimechokaaa jmn..madem wanakaza fuvuuu ataree
 
Back
Top Bottom