Tundu Lissu amekuwa Champion wa Tume za Uchunguzi kuhusu Muundo wa Muungano za Rais Mwinyi, Mkapa na Kikwete

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
12,697
21,282
Jamani yule Jabali la siasa bora zenye Tija kwa taifa limeanza Phase 2 hapo jana.

Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chadema Taifa ameonekana akiwa kwenye mkutani Mkoano Dodoma wilaya ya Mpwapwa huku akishangiliwa na Umati wa watu wengi sana.

Alifafanua namna Marais wa Jamhuru ia Muungano wa Tanzania wa awamu zilizopita namna walivyounda Tume za Kushughulikia Muungano.

Amezitaja na kuzieleza kuwa tangu hapo awali Watanganyika hawajanyamanza kuhusu kero za Muungano.

Amezitaja na kuzieleza tume hizo kama ifuatavyo

1. Tume iliyoundwa na Rais Ali Hassani Mwinyi, iliitwa Tume ya Jaji Nyalali ya Mwaka 1992
2. Tume ya Jaji Kisanga ya Mwaka 2003 chini ya Rais Mkapa
3. Tume ya Jaji Josefu Sinde Warioba ya 2012

Alieleza kuwa Tume zote hizo zilikuja na hitimisho kuwa Muundo wa Mungano wetu unahitaji marekebisho. Watanzania wanapenda Muungano ila wanakerwa na namna ulivyoundwa na namna ya uendeshaji wake.
Hata hivyo Mh Tundu alitumia Jukwa hilo kuendelea kukemea tetesi za Dalili za Rushwa zilizooneka ndani ya Chama hicho huku akidai ya Kuwa Chadema kimekuwa chama chenye Mfano Bora kupinga Rushwa na hivyo ni Kheri kwa kila Mwanachama kupinga Rushwa Wazi wazi ili wananchi wawaelewe.

Amesema wao kama Chama wameathiriwa na Madhara ya Rushwa kutoka Chama cha mapinduzi ambapo Makatibu Wakuu wa Chama wafuatao walihongwa na kukimbia chama

1. Dr Aman Walidi Kaburou
2. Dr Wilbroad Peter Slaa na
3. Dr Mashinji
 
Jamani yule Jabali la siasa bora zenye Tija kwa taifa limeanza Phase 2 hapo jana.

Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chadema Taifa ameonekana akiwa kwenye mkutani Mkoano Dodoma wilaya ya Mpwapwa huku akishangiliwa na Umati wa watu wengi sana.

Alifafanua namna Marais wa Jamhuru ia Muungano wa Tanzania wa awamu zilizopita namna walivyounda Tume za Kushughulikia Muungano.

Amezitaja na kuzieleza kuwa tangu hapo awali Watanganyika hawajanyamanza kuhusu kero za Muungano.

Amezitaja na kuzieleza tume hizo kama ifuatavyo

1. Tume iliyoundwa na Rais Ali Hassani Mwinyi, iliitwa Tume ya Jaji Nyalali ya Mwaka 1992
2. Tume ya Jaji Kisanga ya Mwaka 2003 chini ya Rais Mkapa
3. Tume ya Jaji Josefu Sinde Warioba ya 2012

Alieleza kuwa Tume zote hizo zilikuja na hitimisho kuwa Muundo wa Mungano wetu unahitaji marekebisho. Watanzania wanapenda Muungano ila wanakerwa na namna ulivyoundwa na namna ya uendeshaji wake.
Hata hivyo Mh Tundu alitumia Jukwa hilo kuendelea kukemea tetesi za Dalili za Rushwa zilizooneka ndani ya Chama hicho huku akidai ya Kuwa Chadema kimekuwa chama chenye Mfano Bora kupinga Rushwa na hivyo ni Kheri kwa kila Mwanachama kupinga Rushwa Wazi wazi ili wananchi wawaelewe.

Amesema wao kama Chama wameathiriwa na Madhara ya Rushwa kutoka Chama cha mapinduzi ambapo Makatibu Wakuu wa Chama wafuatao walihongwa na kukimbia chama

1. Dr Aman Walidi Kaburou
2. Dr Wilbroad Peter Slaa na
3. Dr Mashinji
TL ni nguli hasa kwenye medani za siasa na ni mwiba mkali kwa CCM, hawa jamaa wanamuogopa kama ukoma maana wanajua fika kwenye uchaguzi huru hawawezi kutoboa hata kidogo
 
TL ni nguli hasa kwenye medani za siasa na ni mwiba mkali kwa CCM, hawa jamaa wanamuogopa kama ukoma maana wanajua fika kwenye uchaguzi huru hawawezi kutoboa hata kidogo
Hii nchi ina watu wana vichwa vibovu sana.
ukiwa unaeneza chuki, udini, na ukabila ndio unaonekana nguli na shujaa.
Hii nchi nani kairoga?
 
Jamani yule Jabali la siasa bora zenye Tija kwa taifa limeanza Phase 2 hapo jana.

Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chadema Taifa ameonekana akiwa kwenye mkutani Mkoano Dodoma wilaya ya Mpwapwa huku akishangiliwa na Umati wa watu wengi sana.

Alifafanua namna Marais wa Jamhuru ia Muungano wa Tanzania wa awamu zilizopita namna walivyounda Tume za Kushughulikia Muungano.

Amezitaja na kuzieleza kuwa tangu hapo awali Watanganyika hawajanyamanza kuhusu kero za Muungano.

Amezitaja na kuzieleza tume hizo kama ifuatavyo

1. Tume iliyoundwa na Rais Ali Hassani Mwinyi, iliitwa Tume ya Jaji Nyalali ya Mwaka 1992
2. Tume ya Jaji Kisanga ya Mwaka 2003 chini ya Rais Mkapa
3. Tume ya Jaji Josefu Sinde Warioba ya 2012

Alieleza kuwa Tume zote hizo zilikuja na hitimisho kuwa Muundo wa Mungano wetu unahitaji marekebisho. Watanzania wanapenda Muungano ila wanakerwa na namna ulivyoundwa na namna ya uendeshaji wake.
Hata hivyo Mh Tundu alitumia Jukwa hilo kuendelea kukemea tetesi za Dalili za Rushwa zilizooneka ndani ya Chama hicho huku akidai ya Kuwa Chadema kimekuwa chama chenye Mfano Bora kupinga Rushwa na hivyo ni Kheri kwa kila Mwanachama kupinga Rushwa Wazi wazi ili wananchi wawaelewe.

Amesema wao kama Chama wameathiriwa na Madhara ya Rushwa kutoka Chama cha mapinduzi ambapo Makatibu Wakuu wa Chama wafuatao walihongwa na kukimbia chama

1. Dr Aman Walidi Kaburou
2. Dr Wilbroad Peter Slaa na
3. Dr Mashinji
umati wa wap bana acha upotoshaji ndugu mwanainchi :pedroP:
 
Shida ya upinzani hawawezi kutengeneza hoja zenye mashiko zaidi ya kupinga kila kitu na kueneza chuki dhidi ya wananchi.
Kuna vitu muhimu sana ambavyo upinzani wanatakiwa waviongelee lakini wao wako bize kupinga na kueneza chuki.
LISU pamoja na MBOWE ngoja niwasaidie fikra.
Chukueni ripoti ya CAG ichambueni mwamnzo mpaka mwisho.
kila sehemu ambayo CAG ameonesha kuna madudu jengeeni hoja.
Hiyo kitu itawasaidia kugusa kila idara ya nchi na mwananchi mmoja mmoja.
TANZANIA ni ya kwetu tunatakiwa TUIJENGE sio TUIBOMOWE
 
Jamani yule Jabali la siasa bora zenye Tija kwa taifa limeanza Phase 2 hapo jana.

Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chadema Taifa ameonekana akiwa kwenye mkutani Mkoano Dodoma wilaya ya Mpwapwa huku akishangiliwa na Umati wa watu wengi sana.

Alifafanua namna Marais wa Jamhuru ia Muungano wa Tanzania wa awamu zilizopita namna walivyounda Tume za Kushughulikia Muungano.

Amezitaja na kuzieleza kuwa tangu hapo awali Watanganyika hawajanyamanza kuhusu kero za Muungano.

Amezitaja na kuzieleza tume hizo kama ifuatavyo

1. Tume iliyoundwa na Rais Ali Hassani Mwinyi, iliitwa Tume ya Jaji Nyalali ya Mwaka 1992
2. Tume ya Jaji Kisanga ya Mwaka 2003 chini ya Rais Mkapa
3. Tume ya Jaji Josefu Sinde Warioba ya 2012

Alieleza kuwa Tume zote hizo zilikuja na hitimisho kuwa Muundo wa Mungano wetu unahitaji marekebisho. Watanzania wanapenda Muungano ila wanakerwa na namna ulivyoundwa na namna ya uendeshaji wake.
Hata hivyo Mh Tundu alitumia Jukwa hilo kuendelea kukemea tetesi za Dalili za Rushwa zilizooneka ndani ya Chama hicho huku akidai ya Kuwa Chadema kimekuwa chama chenye Mfano Bora kupinga Rushwa na hivyo ni Kheri kwa kila Mwanachama kupinga Rushwa Wazi wazi ili wananchi wawaelewe.

Amesema wao kama Chama wameathiriwa na Madhara ya Rushwa kutoka Chama cha mapinduzi ambapo Makatibu Wakuu wa Chama wafuatao walihongwa na kukimbia chama

1. Dr Aman Walidi Kaburou
2. Dr Wilbroad Peter Slaa na
3. Dr Mashinji
TUWEKANE SAWA
Mwaka 2015 Lowassa hakuja bure CHADEMA bali alikuja kwa fedha yake ambayo ni Tsh 10 Billion. Mkakati wa UPINZANI mwaka 2015 ilikuwa through UKAWA.

Kwa Rais wa Muungano Dr Slaa alikuwa tayari popular kuliko mgombea yeyote yule. Mbowe na CDM walitumia muda wao wote wa 2008 hadi 2015 kumpakaza matope Lowassa kuwa ni FISADI kwa ile kashfa ya RICHMOND. Isingekuwa rahisi kimpokea hivihivi kwa kisingizio kuwa eti ndiye mgombea pekee anayeweza kuishinda CCM kwa mwaka ule. Huo ulikuwa ni uwongo tu kutetea hiyo fedha waliyochukua kwa Lowassa na kugawana na Baba mkwe wake Mtei na mgombea wa ZNZ Maalim Seif.

Hawa akina Lissu na Mnyika walipata kiasi cha mboga tu kufunga mdomo. HSBC.

Na hiyo ndiyo sababu iliyomchefua Dr Slaa na Prof Lipumba ambao hawakupata mgawo.

This time Tundu Lissu karukwa mgawo ndiyo sababu ya hilo POVU
 
Lisu tumemlea wenyewe Kwa umbumbu wetu wanaccm!!

Hivi tungeandaa katiba mpya mapema ya serikali tatu au mbili na keto za muungano Leo lisu angepata wapi jukwaa la kusemea ujinga wetu!!?

Hizo time za kisanga,nyalali na warioba zingefanyiwa kazi leo Lisu angejadili mengine!!

Tumekalia kupiga Dili,kulindana na kujaza matumbo TU hakuna anaewaza mstakabali was kesho yetu!!

Mimi mwanaccm nasema hivinLisu anaongea ukweli mchungu na ni upumbavu wetu ccm ndio umetufikisha hapa tulipo kwa kuendekeza wizi,ubadhirifu,rushwa siasa chafu,ujinga na umaskini wa fikra!!!

Tungefanyia KAZI ya warioba Leo Lisu angeongeo mengine!!!
 
TUWEKANE SAWA
Mwaka 2015 Lowassa hakuja bure CHADEMA bali alikuja kwa fedha yake ambayo ni Tsh 10 Billion. Mkakati wa UPINZANI mwaka 2015 ilikuwa through UKAWA.

Kwa Rais wa Muungano Dr Slaa alikuwa tayari popular kuliko mgombea yeyote yule. Mbowe na CDM walitumia muda wao wote wa 2008 hadi 2015 kumpakaza matope Lowassa kuwa ni FISADI kwa ile kashfa ya RICHMOND. Isingekuwa rahisi kimpokea hivihivi kwa kisingizio kuwa eti ndiye mgombea pekee anayeweza kuishinda CCM kwa mwaka ule. Huo ulikuwa ni uwongo tu kutetea hiyo fedha waliyochukua kwa Lowassa na kugawana na Baba mkwe wake Mtei na mgombea wa ZNZ Maalim Seif.

Hawa akina Lissu na Mnyika walipata kiasi cha mboga tu kufunga mdomo. HSBC.

Na hiyo ndiyo sababu iliyomchefua Dr Slaa na Prof Lipumba ambao hawakupata mgawo.

This time Tundu Lissu karukwa mgawo ndiyo sababu ya hilo POVU
Umepagawa Stuxnet?
 
Back
Top Bottom