Tunaofurahia ujio wa ndege isiyoweza kuruka hata kufika Kenya, tumeliwaza hili?

Kuna haja ya baadhi ya mada kuwa na warning signs mfano iwepo sign ya.

THIS THREAD IS STRICTLY FOR FOOLS.

Maanake nimeangalia jukwaa mara mblil kama ni niko Chit chat.
 
basi sasa naamini kweli watz inabidi tuombee sana maana kumbe muda mwingine umasikini wetu upo deep sana ndani ya ufahamu kufikiri na kutenda..... unanishangaza unataka kuleta ligi wakati nakuambia niliipanda tena mwaka jana mwezi wa sita
Tatizo unasoma ili ujibu na si kuelewa nilichoandika. Wapi ambapo mimi nimebishana na wewe? Hebu soma vizuri tena. Umesema ndege kama hizo ni feeder ya zile kubwa kwa maana zinatoa abiria kwenye miji mingine kuwaleta mji mkuu. Kwa hiyo nikasema na sisi basi hatupo mbali maana tunaanza na soko la ndani kwa maana ndege hizo zitafaa sana soko la ndani. Ungekuwa na akili kama unavyodai usingekimbilia kujibu kabla hujajua unaongea na watu wawili tofauti...
 
Kwanza kuja kwake (tupu) bila abiria ni hasara ya mafuta na posho za crews,, hata wangebeba wanafunzi au watalii kwa ofa ya $200 ingelijitangaza na kujipa jina za kibiashara!!
Unaponunua nguo, je huanza kuivalia dukani na kutoka nayo? si mpaka ufike nayo kwanza nyumbani. Je hiyo ndege ilianza kuruka kibiashara tokea huko kiwandani? Hauna elimu,sawa. Lakini kuna mambo mengine ni kitumia "common sens" na kujiongeza wewe mwenyewe kabla ya kuanza kuropoka.
 
Kuna haja ya baadhi ya mada kuwa na warning signs mfano iwepo sign ya.

THIS THREAD IS STRICTLY FOR FOOLS.

Maanake nimeangalia jukwaa mara mblil kama ni niko Chit chat.
Umenena mkuu...........hongera zako........
 
Nawashangaa watu ambao mnafurahia ujio wa ndege mpya ya serikali (KUMBUKA HII SIO NDEGE YA ATCL) wakitaka sharti waikodishe. Hii ndege haiwezi kwenda hata nje ya nchi hivyo safari zake zitakuwa za ndani tu.

Sasa najiuliza, kama tulishindwa kupanda fastjet ya 50,000/= hii inayotakiwa kukodishwa tutailipia tshs ngapi?
Hivi ndugu yangu huwa unatafakari kabla ya kuandika????. Hebu ngoja basi japo kwa wiki 2-3 hivi ndiyo uandike!!!
 
Tatizo unasoma ili ujibu na si kuelewa nilichoandika. Wapi ambapo mimi nimebishana na wewe? Hebu soma vizuri tena. Umesema ndege kama hizo ni feeder ya zile kubwa kwa maana zinatoa abiria kwenye miji mingine kuwaleta mji mkuu. Kwa hiyo nikasema na sisi basi hatupo mbali maana tunaanza na soko la ndani kwa maana ndege hizo zitafaa sana soko la ndani. Ungekuwa na akili kama unavyodai usingekimbilia kujibu kabla hujajua unaongea na watu wawili tofauti...
Ngoja nikuache maana kumbe naongea na mtu ambaye hata hakumbuki nini anayoyandika pole sana...
 
Ngoja nikuache maana kumbe naongea na mtu ambaye hata hakumbuki nini anayoyandika pole sana...
Na mimi ngoja nikuache maana kumbe naongea na mpuuzi tuuu

Na hiki ndo nilichoandika sasa sijui kina tofauti gani na nilichoandika sasa. Tatizo umekurupuka tu mngesee wewee
Sasa na sisi si tumeinunua kwa soko la ndani kwanza. Mnataka tuwe na ndege kubwa wakati soko la ndani tu badooo
 
Wewe hukuona ilipofika tuu pale Airport Dar ilibidi ziletwe Zimamoto mbili ili kuimwagia maji kupoza injini, teh teh teh
Mkuu ... Frank Wanjiru ... najua ulikuwa unatania tu ...
1474384649290-jpg.403748


DSC_0087.jpg
 
Na mimi ngoja nikuache maana kumbe naongea na mpuuzi tuuu

Na hiki ndo nilichoandika sasa sijui kina tofauti gani na nilichoandika sasa. Tatizo umekurupuka tu mngesee wewee
upeo wako mdogo ndio maana matusi yamekukaa mdomoni...... nakushauri bure kabisa acha ushabiki na kudandia mambo ni hatari sana kwa maendeleo yako binafsi na familia yako kwa ujumla....have a good day
 
Kuruka iruke au isiruke mimi sijui hilo ila nina maswali , kwa nini hii ndege ilikuja inatua kwenye vituo mbali mbali? Nilisoma ilitua Greece, Addis na kwingine kabla ya kufika hapa. Je, kwa nini kulilipia gharama za kutua na kuruka kama ingeweza kuruka moja kwa moja ili tusave hivyo vi£ na vi$ vyetu tulivyolipia kwenye hivyo viwanja?
Kutoka ilikotoka direct to dar ni around 7660miles na uwezo wa kuruka bila kutua ni around 1600miles.
Karibu tusave vi$ na hivyo vi£ Mkuu.
 
Nawashangaa watu ambao mnafurahia ujio wa ndege mpya ya serikali (KUMBUKA HII SIO NDEGE YA ATCL) wakitaka sharti waikodishe. Hii ndege haiwezi kwenda hata nje ya nchi hivyo safari zake zitakuwa za ndani tu.

Sasa najiuliza, kama tulishindwa kupanda fastjet ya 50,000/= hii inayotakiwa kukodishwa tutailipia tshs ngapi?
hivi hii ndege imekuja na meli au, emu nipeni ni umbari gani toka Dar hadi Nairobi
 
Ndege zilikuwa za ATC za Nyerere bana, Dar to London kama kumsukuma wa Ohio, hivi videge ruka vya Dar-Mwanza-Chato-Dar mie hata bure sipandi labda waniue
 
Nawashangaa watu ambao mnafurahia ujio wa ndege mpya ya serikali (KUMBUKA HII SIO NDEGE YA ATCL) wakitaka sharti waikodishe. Hii ndege haiwezi kwenda hata nje ya nchi hivyo safari zake zitakuwa za ndani tu.

Sasa najiuliza, kama tulishindwa kupanda fastjet ya 50,000/= hii inayotakiwa kukodishwa tutailipia tshs ngapi?
Kwani imefikaje hapa....?
 
Ndo maana ata stick za meno tunaagiza China,, kwa hali hii tz ya viwanda tuta ajiri wachina hamna namna tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom