Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Iwashughulikie Wakopeshaji wa Mtandaoni Wanaodhalilisha Wateja Wao Kwa Kusambaza Taarifa Binafsi Kwa Wasiohusika

Ndiyo hivyo; wanashughulikiwa sasa na vyombo vya sheria. Defamation ni kosa tofauti kabisa na breach of contract; huwezi kulipa breach of contract kwa kufanya defamation. Hizi tabia za kishenzi za kutangaza kuwa nilimkopesha mtu fulani ndugu yako hajalipa deni langu nazisikia Tanzania tu, ambako ineonakana watu kama wewe msiojua ustaarabu mnadhani defamation kumkomesha mtu alipe deni na kusahau kuwa hiyo ni kuvunja sheria nyingine tofauti kabisa.

Sijui masharti ya kukopeshana ila nitakapokuja nyumbani nitajaribu nikope halafu mtu anitangaze aone cha mtema kuni. Yaani nitahakikisha ninakuja na hela za kutosha kumbutruza mahakamai mpaka nifilisi kampuni yote.

Soma Katiba ya nchi kifungu cha 16 (1), na ndicho nitakchutumia kuifilisi kampuni hiyo

View attachment 2958653
Weka mfano wa kesi moja tu ambayo Kampuni ya kukopesha imeshtakiwa na kushindwa Mahakamani kwa sababu ya kutaja jina la mkopaji kwa watu wengine
 
Weka mfano wa kesi moja tu ambayo Kampuni ya kukopesha ineshtakiwa na kushindwa Mahakamani kwa sababu ya kutaja jina la mkopaji kwa watu wenginesamah

Weka mfano wa kesi moja tu ambayo Kampuni ya kukopesha ineshtakiwa na kushindwa Mahakamani kwa sababu ya kutaja jina la mkopaji kwa watu wengine
Sahaman mkuu, kwani hao watu wamewahi kumshitaki mtu Ambae amekupa kwao na akashindwa kuwalipa?1
 
Ukikopa lipa deni kadri ya makubaliano. Mnakopa halafu hamrudishi deni, mkipigiwa simu hamupokei. Unadhani hayo makampuni hayapati hasara?

Halafu pili kuna terms and conditions kila unapoingia kwenye mikopo ya Online. Wengi hawasomi hicho kipengele. Sheria hii ya PIPA haitakusaidia kitu as long as umekubali impliedly kuwa kama hautalipa watawa contact watu wako wa karibu
shida ni kwamba wanakusumbua kabla ya tarehe ya rejesho
 
Hao watu huwezi wapata maana hawana physical address ya ofisi yao hewa, wana operate kimtandao
TCRA wameshindwa kuwadhibiti wale wa tuma kwa namba hii miaka na miaka sasa
dawa pekee ya hao watoa mikopo uchwara kuondoka, ni watu kutokopa huko

Kama umeshindwa kabisa, kopa, LIPA kwa mda
Serikali inazingua sana, kushindwa kutrack simu tu wanazopiga na yenyewe ni kazi?
 
Back
Top Bottom