OCTOBER 7.....
Raia wa Israel waliotekwa wakiingizwa Gaza, wapalestina wameachiwa wawapige kama sehemu ya kusherekea
Mitaa ya Gaza waplestina wakifurahia jaribio lilioanza la kuisafisha israel
te
Shangwe mitaa ya London, Uingereza
Fataki zilipigwa huko Iran
Iraq
Kahawa ya bure mitaani na pipi kusherekea kuanza kwa zoezi la kuiteka Israel
ISRAEL IKAJIBU
Israel ilianza kwa mashambulizi ya anga kulipua majengo yanayotumika kurushia makombora zikiwemo shule za watoto, misikiti, maghorofa wanayoishi raia, n.k. Hamas hutumia mbinu hii ili raia wawe ngao yao, mara kadhaa Israel huwa inatuma meseji, kupiga simu, kusambaza vipeperushi, n.k. inapolipua majengo makubwa nao hamas hutumia mwanya huo, hadi sasa ni wapalestina 12,000 tu wamefariki, ni wachache mno !! bila hizi tahadhari wangefika hata milioni
vita iliendelea Hamas walielemewa, Mataifa yakaingilia kati kuwe na maridhiano ya kusitisha vita, vita ilitulia kwa siku chache tu lakini Hamas wakarusha tena makimbora na hilo likawa kosa linalowagharimu mpaka sasa
Israel ikawaambia wapalestina wote waondoke Gaza ya Kaskazini wapigane uso kwa uso na magaidi wa Hamas japo ilichukua muda kukamilisha zoezi sababu Hamas hupenda kutumia raia kama ngao, halikuwa zoezi rahisi, Hamas walijaribu kukwamisha mara kadha kwa kulipua misafara
Muda huu jeshi la Israel liliingia Gaza sio kushambulia kwa anga, Mahandaki yalikuwa target ya kwanza kwa kuwa Hamas huyatumia kujificha, Israel wakaanza operesheni ya kutumia mabomu kuzibua mitaro / njia za mahandaki
zoezi la kusaka mahandaki liliendelea sambamba na kulipua majengo ya kukimbilia kujificha
Mataifa ya nje yaliingilia kati na kuomba maridhiano ya kusitisha vita, vilidumu basi !! Hamas akaanza kushambulia upya ndipo Israel akaapa muda huu atatoa Disiplin hakuna mfano
Muda huu Israel alienda kazini, magaidi wa Hamas wakaanza kujisalimisha
a
Navyosema Israek aliingia kazini tuelewane, hii ni Gaza kwa sasa, inakadiriwa itachukua miaka zaidi ya 10 kuondoa vifusi.
Kwa sasa vilio vya wale waliofurahia October 7 vimetawala, maandamano kila kukicha kuwabembeleza Israel kwamba "Imetosha", wengine kuilalamikia Israel, n.k.
Raia wa Israel waliotekwa wakiingizwa Gaza, wapalestina wameachiwa wawapige kama sehemu ya kusherekea
Mitaa ya Gaza waplestina wakifurahia jaribio lilioanza la kuisafisha israel
Shangwe mitaa ya London, Uingereza
Fataki zilipigwa huko Iran
Iraq
Kahawa ya bure mitaani na pipi kusherekea kuanza kwa zoezi la kuiteka Israel
ISRAEL IKAJIBU
Israel ilianza kwa mashambulizi ya anga kulipua majengo yanayotumika kurushia makombora zikiwemo shule za watoto, misikiti, maghorofa wanayoishi raia, n.k. Hamas hutumia mbinu hii ili raia wawe ngao yao, mara kadhaa Israel huwa inatuma meseji, kupiga simu, kusambaza vipeperushi, n.k. inapolipua majengo makubwa nao hamas hutumia mwanya huo, hadi sasa ni wapalestina 12,000 tu wamefariki, ni wachache mno !! bila hizi tahadhari wangefika hata milioni
vita iliendelea Hamas walielemewa, Mataifa yakaingilia kati kuwe na maridhiano ya kusitisha vita, vita ilitulia kwa siku chache tu lakini Hamas wakarusha tena makimbora na hilo likawa kosa linalowagharimu mpaka sasa
Israel ikawaambia wapalestina wote waondoke Gaza ya Kaskazini wapigane uso kwa uso na magaidi wa Hamas japo ilichukua muda kukamilisha zoezi sababu Hamas hupenda kutumia raia kama ngao, halikuwa zoezi rahisi, Hamas walijaribu kukwamisha mara kadha kwa kulipua misafara
Muda huu jeshi la Israel liliingia Gaza sio kushambulia kwa anga, Mahandaki yalikuwa target ya kwanza kwa kuwa Hamas huyatumia kujificha, Israel wakaanza operesheni ya kutumia mabomu kuzibua mitaro / njia za mahandaki
zoezi la kusaka mahandaki liliendelea sambamba na kulipua majengo ya kukimbilia kujificha
Mataifa ya nje yaliingilia kati na kuomba maridhiano ya kusitisha vita, vilidumu basi !! Hamas akaanza kushambulia upya ndipo Israel akaapa muda huu atatoa Disiplin hakuna mfano
Muda huu Israel alienda kazini, magaidi wa Hamas wakaanza kujisalimisha
Navyosema Israek aliingia kazini tuelewane, hii ni Gaza kwa sasa, inakadiriwa itachukua miaka zaidi ya 10 kuondoa vifusi.
Kwa sasa vilio vya wale waliofurahia October 7 vimetawala, maandamano kila kukicha kuwabembeleza Israel kwamba "Imetosha", wengine kuilalamikia Israel, n.k.