Miezi 7 since October 7 2023: Hizi ni Video za matukio ya kikatili yaliyofanywa na magaidi wa Hamas, Israel wana kila sababu kudeal nao

gearbox

JF-Expert Member
Apr 20, 2024
273
788
Lengo kuu ukiachana na kujaribu kuiteka Israel October 7 ilikuwa ni kuua watu ndani ya Israel wengi kadri iwezekanavyo, Target zilikuwa ni raia wema wasio na silaha ili kuoata matokeo makubwa.

Mtanzania mwenzetu Mollel alienda Israel kwenye maafunzo ya Kilimo kwasababu Israel ni nchi inayofanya vizuri kwenye kilimo, kampuni kama Netafim inaongoza duniani kwa teknolojia ya umwagiliaji. Mollel alivamiwa akiwa hana hata wembe kisha kuuliwa kikatili, baadhi ya watanzania wenzetu walianza kuzusha Mollel ni askari kisa kavaa boxer ya kijeshi, yote hii ili kutetea magaidi waliomvamia (hisia za mrengo mkali wa kidini zilihusika).



Magaidi waliingia barabarani na kuanza kulipua magari ya raia



gaidi aliejificha aliishambulia familia nzima

jific

Hamas walifika nyumba mwanamke kajifungia ndani kaweka loki kwenye mlango, walrusha bomu la mkono kufyatua mlango, mwanamke huyo alipotoka alipigwa risasi kadhaa kichwani kisha kushindiliwa na kitako cha bunduki.



Mzee huyu ashauliwa lakini wakamuongezea risasi za ziada kichwani close range



Mashambulizi kwa taia waliokuwa wakiendesha vyombo vya moto barabarani






Mitaani ilikuwa ni mtafutano, kwenye video ya chini kuanzia sekunde ya 58 wanawake wamechoka kukimbia wakauliwa, haidi anapiga dua kabla hajamuua mwanamke wa pili.



Ikumbukwe pia Hamas wanatumia raia wapalestina kama ngao, Kwa maksudi wanaweka mizinga ya kufyatulia makombora kwenye maghorofa wanayoshi watu, shule au kwenye mitaa yenye watu wengi, Israel ikijaribu kujilinda kwa kufyatua hata kombora moja tu la kuharibu mizinga, watu wengine walio kwenye majengo ama mtaani wanapoteza maisha au kuumia, Hamas wanasambaza video hizo za madhara, kwao ni mtaji wa kupata huruma, misaada, support, n.k. lakini wao ndio wanaoyatengeneza mazingira.

 
Lengo kuu ukioachana na kujaribu kuiteka Israel October 7 ilikuwa ni kuua raia waisrael wengi kadri iwezekanavyo huku,, Target zilikuwa ni raia wema wasio na silaha kurahisisha zoezi lao.


Magaidi waliingia barabarani na kuanza kulipua magari ya raia

View attachment 2983542

gaidi aliejificha aliishambulia familia nzima

View attachment 2983525jific

Hamas walifika nyumba mwanamke kajifungia ndani kaweka loki kwenye mlango, walrusha bomu la mkono kufyatua mlango, mwanamke huyo alipotoka alipigwa risasi kadhaa kichwani kisha kupigwa mateke

View attachment 2983497

Mzee huyu ashauliwa lakini wakamuongezea risasi za ziada kichwani close range

View attachment 2983501

Raia waliokuwa wakiendesha vyombo vya moto walishambuliwa kwa silaha za kivita


View attachment 2983504


View attachment 2983508


Mitaani ilikuwa ni mtafutano, video hii kuanzia sekunde ya 58 wanawake wamechoka kukimbia wameuliwa, mwanamke wa pili kabla hajauliwa, gaidi alipiga dua.

View attachment 2983516


HAWA NI WATOTO WA SHETANI KABISA.
 
Hebu nionyesheni hizo video kuna raia kauliwa, ambaye c mwanajeshi haswa wanawake na watoto.

Nguruwe atabaki kuwa nguruwe Israel akiuwa watoto mnaona kitu cha kawaida, akiuwa wanawake mnaona kitu cha kawaida.

Hizo video hebu tuonyeshe wapi Hamasi kavunja hospital, shule, majumba na angeweza fanya vile, walicho fanya walienda camp za jeshi na kuteka walio wateka hawakuwauwa raia wala watoto au kurape.

Sio nyie mabwege mnashangilia rapes, mnashangilia vitoto vichanga afu mnajidai wafuasi wa Yesu.

Nyie ni wafuasi washetani. Yesu ndio kafundisha muwe watoto wakislam au wakiarabu na mrape, mvunje mashule yao, hospital zao nyie nadhani mko mbali sana na mafundisho ya Yesu ndio mana mnabudu jitu hata hamlijui eti Yesu 😄

Ndio mana mpaa mtakufa hamumjui Mungu kwa lana mlizo nazo mtabaki kuimba nyimbo Yesu ni Mungu wakati Yesu ni binadamu kama mimi na nyie.

Hizo ni lana aisay mnatembea nazo na mtabaki na ujinga uuo mpa mtakufa mkimuabudu Shetani
 
Hebu nionyesheni hizo video kuna raia kauliwa, ambaye c mwanajeshi haswa wanawake na watoto.

Nguruwe atabaki kuwa nguruwe Israel akiuwa watoto mnaona kitu cha kawaida, akiuwa wanawake mnaona kitu cha kawaida.

Hizo video hebu tuonyeshe wapi Hamasi kavunja hospital, shule, majumba na angeweza fanya vile, walicho fanya walienda camp za jeshi na kuteka walio wateka hawakuwauwa raia wala watoto au kurape.

Sio nyie mabwege mnashangilia rapes, mnashangilia vitoto vichanga afu mnajidai wafuasi wa Yesu.

Nyie ni wafuasi washetani. Yesu ndio kafundisha muwe watoto wakislam au wakiarabu na mrape, mvunje mashule yao, hospital zao nyie nadhani mko mbali sana na mafundisho ya Yesu ndio mana mnabudu jitu hata hamlijui eti Yesu 😄

Ndio mana mpaa mtakufa hamumjui Mungu kwa lana mlizo nazo mtabaki kuimba nyimbo Yesu ni Mungu wakati Yesu ni binadamu kama mimi na nyie.

Hizo ni lana aisay mnatembea nazo na mtabaki na ujinga uuo mpa mtakufa mkimuabudu Shetani
Vipi Video ya Mtanzania mwenzetu.. nayo uliifurahia?
 
Hebu nionyesheni hizo video kuna raia kauliwa, ambaye c mwanajeshi haswa wanawake na watoto.

Nguruwe atabaki kuwa nguruwe Israel akiuwa watoto mnaona kitu cha kawaida, akiuwa wanawake mnaona kitu cha kawaida.

Hizo video hebu tuonyeshe wapi Hamasi kavunja hospital, shule, majumba na angeweza fanya vile, walicho fanya walienda camp za jeshi na kuteka walio wateka hawakuwauwa raia wala watoto au kurape.

Sio nyie mabwege mnashangilia rapes, mnashangilia vitoto vichanga afu mnajidai wafuasi wa Yesu.

Nyie ni wafuasi washetani. Yesu ndio kafundisha muwe watoto wakislam au wakiarabu na mrape, mvunje mashule yao, hospital zao nyie nadhani mko mbali sana na mafundisho ya Yesu ndio mana mnabudu jitu hata hamlijui eti Yesu

Ndio mana mpaa mtakufa hamumjui Mungu kwa lana mlizo nazo mtabaki kuimba nyimbo Yesu ni Mungu wakati Yesu ni binadamu kama mimi na nyie.

Hizo ni lana aisay mnatembea nazo na mtabaki na ujinga uuo mpa mtakufa mkimuabudu Shetani
Hamas wenyewe ndio wenye makosa wanajifichia hospitalini, shuleni, kwenye manyumba ya raia na kurusha maroketi kutoka huko wakijibiwa mnakimbia kwenye media wanawake na watoto wanauawa ila kutafuta huruma ya dunia
 
Hamas wenyewe ndio wenye makosa wanajifichia hospitalini, shuleni, kwenye manyumba ya raia na kurusha maroketi kutoka huko wakijibiwa mnakimbia kwenye media wanawake na watoto wanauawa ila kutafuta huruma ya dunia
mbona hamjutuonyesha hata silaha mlio ivunja ya Hamasi kama maneno yenu kweli tulicho ona ni drama za bollywood anazo tuonyesha Israel.

Missiles anazourusha Hamasi na luncher zao mbona hatukuziona kwenye hio Al shifaa hospital, mlisema ndio Central command 😄
 
Hebu nionyesheni hizo video kuna raia kauliwa, ambaye c mwanajeshi haswa wanawake na watoto.

Nguruwe atabaki kuwa nguruwe Israel akiuwa watoto mnaona kitu cha kawaida, akiuwa wanawake mnaona kitu cha kawaida.

Hizo video hebu tuonyeshe wapi Hamasi kavunja hospital, shule, majumba na angeweza fanya vile, walicho fanya walienda camp za jeshi na kuteka walio wateka hawakuwauwa raia wala watoto au kurape.

Sio nyie mabwege mnashangilia rapes, mnashangilia vitoto vichanga afu mnajidai wafuasi wa Yesu.

Nyie ni wafuasi washetani. Yesu ndio kafundisha muwe watoto wakislam au wakiarabu na mrape, mvunje mashule yao, hospital zao nyie nadhani mko mbali sana na mafundisho ya Yesu ndio mana mnabudu jitu hata hamlijui eti Yesu 😄

Ndio mana mpaa mtakufa hamumjui Mungu kwa lana mlizo nazo mtabaki kuimba nyimbo Yesu ni Mungu wakati Yesu ni binadamu kama mimi na nyie.

Hizo ni lana aisay mnatembea nazo na mtabaki na ujinga uuo mpa mtakufa mkimuabudu Shetani
Mnavyoambiwa hamas ni magaidi wasiojali maisha hata ya wapalestina muwe waelewa.

Wameweka mitambo ya kufyatulia makombora mitaani, kwenye makazi ya watu, mashuleni, hospitalini, n.k, Israel ikianza kushambuliwa ikijibu mnaaza kupiga kelele watoto wasio na hatia wameuliwa bila kujali kwamba hamas ndie chanzo.

Kwanini hamas wasifyatulie makombora yao huko sehemu za jangwani ?
 
Mnavyoambiwa hamas ni magaidi wasiojali maisha hata ya wapalestina muwe waelewa.

Wameweka mitambo ya kufyatulia makombora mitaani, kwenye makazi ya watu, mashuleni, hospitalini, n.k, Israel ikianza kushambuliwa ikijibu mnaaza kupiga kelele watoto wasio na hatia wameuliwa bila kujali kwamba hamas ndie chanzo.

Kwanini hamas wasifyatulie makombora yao huko sehemu za jangwani ?
Hivi we unazo akili kweli? Vipi missiles ziwe chini ya majumba na Hospital na shule? Hebu tufafanunulie mnadhani watu wote ni vichaa humu.

We hebu niambie kwenye hayo majumba walio vunja wameona hata Missiles? Mkiambiwa nyie ni machizi wa akili zilizopinda mnabisha.
 
Hivi we unazo akili kweli? Vipi missiles ziwe chini ya majumba na Hospital na shule? Hebu tufafanunulie mnadhani watu wote ni vichaa humu.

We hebu niambie kwenye hayo majumba walio vunja wameona hata Missiles? Mkiambiwa nyie ni machizi wa akili zilizopinda mnabisha.
Hapa ni Gaza, Hamas wanafyatua makombora katikati ya mtaa

Israel ikijilinda kwa kulipua hio mizinga, mlipuko utadhuru mtaa na watu wake, ni kosa la Israel au hamas ??

Kama wanajali maisha ya wapalestina kwanini wasiende jangwani ?

Ni dhahiri Hamas hutumia raia kama ngao na kwa maksudi Israel ikijilinda watu kama wewe mpo mstari wa mbele kuanza kulalamika raia wanauliwa bila kuwalalamikia hamas wanaotengeneza hayo mazingira.

Hapo Gaza wamefyatua makomboa Takribani kumi, Israel ikijilinda kwa kupiga kombora moja tu kuharuby hiyo mizinga kuna kosa ?

 
Back
Top Bottom