Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Tanzania yetu hii jamani ina mambo, Tokea Majuzi kumekuwa na kasheshe la kufumuka kwa tozo la kodi hapo bandari dar-es-salaam, Kwa wafanya biashara wengi wamekuwa wakilia sana esp wale wa kariakaoo na kwingineko. Twashindwa kuwaelewa Tatizo kubwa ni nini hapo bandari je ni ugonvi wa mawakara wanagombania wateja au ni poor service za mawakara ndizo zinawafanya wafanya biashara wahamie kwa wakara mwingine au ni mbinu chafu zinatumika watu kukwepa kulipa kodi au ni nini?
Nchi hii imefika mahali haito tawalika tena au nao wafanyabiashara nao waandamane? kudai punguzo ta kodi hapo Costumes (bandarini)? Mfanya biashara mmoja kati ya waliohojiwa na Clouds FM jana alisema Contena alikuwa akitozwa 12M hadi 14M Tsh ghafla kodi imefika 80M Tsh sasa hapo ataendeshaje biashara atarudishaje mkopo na huyo mtu aliye mtumia mzigo toka nje atamlipaje?
Sielewi sisi watanzania esp Mfumo mzima wa serikali yetu hii tunafanya nini ni kuwa twajinyoga wenyewe? au?
Hivi hatuna source nyingine ya kukusanya kodi ndani ya nchi hii Bandarini ni shida, Gesi mtwara shida, Uranium nayo imeisha anza kuwa shida, Lamasi ndio tusiseme hatujuai tena hata wapi inapotelea watu wa mwadui maganzo ndio masikini wa kutupwa na shinyanga mjini, Geita ndio wilaya maskini yakuliko wilaya zote hapa nchini, Kahama uuuuwwiiiii shida fullllll, sasa Ukija Malia sili na utaliii ndio kabisaaaaa hovyooo, nchi hii itarudi lini kuwa na AMANI kama viongozi waliopo ndio wapindisha sheria na wameshindwa kuitawala nchi kila kukicha kimezuka hiki mara kile.
Kitilya hebu utufafanualie hizi kodi tunalipa zinakwenda wapi serikali inajigawia yenyewe na vikao vingi tuuu ewanafanya vya nini na hizo semina mnazo wapeleka watu nje ya nchi ili wakirudi waweze kuja na mbinu mpya ya kuboresha mifumo yetu ya kiuchumi matokeo yake ni kutunyoya watanzania.
My Take;
Serikali ina matabaka makubwa sasa esp hiki kipindi tuanacho pitia kwenda uchaguzi 2015 watu wana tafuta hela kwa kuwanyonya wananchi wenye kipato cha chini, na hapo ndipo wanapo ipeleka nchi kwa majanga.
Sioni Mantiki ya mawakala kupisha hapo bandarini wana zengwe gani ambalo mnaathri uchumi wa watu wa kipato cha chini. mbona mmekuwa waroho sana na tamaa ya pesa ????
Mwakyembe kama bandari wanakuundia zengwe waaachie watakuja huku kwa wananchi hapa ndipo wanatuamsha akili zetu zaidi si mwaka mmoja to 2015 umebaki wale na wakimbie kabisa maana hatutoa wabakisha ni ndani tuuu wote walio hujumu nchi.
Haya yote twajenga kwa kizazi kipi cha sasa au kijachooo?
Tanzania yetu hii jamani ina mambo, Tokea Majuzi kumekuwa na kasheshe la kufumuka kwa tozo la kodi hapo bandari dar-es-salaam, Kwa wafanya biashara wengi wamekuwa wakilia sana esp wale wa kariakaoo na kwingineko. Twashindwa kuwaelewa Tatizo kubwa ni nini hapo bandari je ni ugonvi wa mawakara wanagombania wateja au ni poor service za mawakara ndizo zinawafanya wafanya biashara wahamie kwa wakara mwingine au ni mbinu chafu zinatumika watu kukwepa kulipa kodi au ni nini?
Nchi hii imefika mahali haito tawalika tena au nao wafanyabiashara nao waandamane? kudai punguzo ta kodi hapo Costumes (bandarini)? Mfanya biashara mmoja kati ya waliohojiwa na Clouds FM jana alisema Contena alikuwa akitozwa 12M hadi 14M Tsh ghafla kodi imefika 80M Tsh sasa hapo ataendeshaje biashara atarudishaje mkopo na huyo mtu aliye mtumia mzigo toka nje atamlipaje?
Sielewi sisi watanzania esp Mfumo mzima wa serikali yetu hii tunafanya nini ni kuwa twajinyoga wenyewe? au?
Hivi hatuna source nyingine ya kukusanya kodi ndani ya nchi hii Bandarini ni shida, Gesi mtwara shida, Uranium nayo imeisha anza kuwa shida, Lamasi ndio tusiseme hatujuai tena hata wapi inapotelea watu wa mwadui maganzo ndio masikini wa kutupwa na shinyanga mjini, Geita ndio wilaya maskini yakuliko wilaya zote hapa nchini, Kahama uuuuwwiiiii shida fullllll, sasa Ukija Malia sili na utaliii ndio kabisaaaaa hovyooo, nchi hii itarudi lini kuwa na AMANI kama viongozi waliopo ndio wapindisha sheria na wameshindwa kuitawala nchi kila kukicha kimezuka hiki mara kile.
Kitilya hebu utufafanualie hizi kodi tunalipa zinakwenda wapi serikali inajigawia yenyewe na vikao vingi tuuu ewanafanya vya nini na hizo semina mnazo wapeleka watu nje ya nchi ili wakirudi waweze kuja na mbinu mpya ya kuboresha mifumo yetu ya kiuchumi matokeo yake ni kutunyoya watanzania.
My Take;
Serikali ina matabaka makubwa sasa esp hiki kipindi tuanacho pitia kwenda uchaguzi 2015 watu wana tafuta hela kwa kuwanyonya wananchi wenye kipato cha chini, na hapo ndipo wanapo ipeleka nchi kwa majanga.
Sioni Mantiki ya mawakala kupisha hapo bandarini wana zengwe gani ambalo mnaathri uchumi wa watu wa kipato cha chini. mbona mmekuwa waroho sana na tamaa ya pesa ????
Mwakyembe kama bandari wanakuundia zengwe waaachie watakuja huku kwa wananchi hapa ndipo wanatuamsha akili zetu zaidi si mwaka mmoja to 2015 umebaki wale na wakimbie kabisa maana hatutoa wabakisha ni ndani tuuu wote walio hujumu nchi.
Haya yote twajenga kwa kizazi kipi cha sasa au kijachooo?