Today I Learned (TIL): Adam alikuwa na Wake Wawili

Mad Max

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
19,716
52,039
Katika pita pita nimesoma hivo leo. Sio kwenye biblia.

Kwamba Adam alikua na mke wa kwanza anaitwa Lilith ambae nae aliumbwa na Mungu kwa udongo. Sio kutolewa mbavuni kwa Adam.

Ila Adam alivotaka kumdominate Lilith, uyu sista akawa kiburi akakataa kutawaliwa. Wakagombana.

Pia pengine walisema chanzo cha ugomvi ni Lilith kutaka kua on top wakati wa sex, na anasema kabisa ni haki yake. Mambo ya 50/50 hayajaanza leo na mwisho wake wakashindwana.

Hapo ndio Eve akatokea.

Mwenye nyama ataongezea. Elimu haina mwisho.
 
Hadithi ya Lilith ni moja ya hadithi za zamani ambazo zimekuwa sehemu ya mapokeo ya baadhi ya jamii. Katika baadhi ya mafundisho ya Kiyahudi ya kale, Lilith anatajwa kama mke wa kwanza wa Adamu kabla ya Hawa. Hata hivyo, ni muhimu kutambua kwamba hadithi hii haipo katika maandiko rasmi ya Kiyahudi au ya Kikristo, kama vile Biblia au Talmudi.

Kulingana na hadithi hizo, Lilith alidai usawa na haki sawa na Adamu, na alipokataa kutii amri za Mungu za kuwa chini ya Adamu, aliondoka kutoka kwa Adamu na Paradiso. Baadaye, Hawa aliundwa kutokana na ubavu wa Adamu, kama ilivyoelezwa katika Biblia.

Hadithi hizi za kiasili za maandishi ya zamani mara nyingi hutumika kuelezea masuala ya kijamii, kiutamaduni, au ya kisaikolojia, na hazipaswi kuchukuliwa kama ukweli wa kihistoria. Ni hadithi za kuburudisha au kufundisha, na haziingiliani na mafundisho rasmi ya dini.
 
Katika pita pita nimesoma hivo leo. Sio kwenye biblia.

Kwamba Adam alikua na mke wa kwanza anaitwa Lilith ambae nae aliumbwa na Mungu kwa udongo. Sio kutolewa mbavuni kwa Adam.

Ila Adam alivotaka kumdominate Lilith, uyu sista akawa kiburi akakataa kutawaliwa. Wakagombana.

Pia pengine walisema chanzo cha ugomvi ni Lilith kutaka kua on top wakati wa sex, na anasema kabisa ni haki yake. Mambo ya 50/50 hayajaanza leo na mwisho wake wakashindwana.

Hapo ndio Eve akatokea.

Mwenye nyama ataongezea. Elimu haina mwisho.
Basi kama ni hivyo kizazi cha Lilith ndo kipo maana wanawake tulio nao sasa hivi wanamfanana kwa kila kitu.
 
Katika pita pita nimesoma hivo leo. Sio kwenye biblia.

Kwamba Adam alikua na mke wa kwanza anaitwa Lilith ambae nae aliumbwa na Mungu kwa udongo. Sio kutolewa mbavuni kwa Adam.

Ila Adam alivotaka kumdominate Lilith, uyu sista akawa kiburi akakataa kutawaliwa. Wakagombana.

Pia pengine walisema chanzo cha ugomvi ni Lilith kutaka kua on top wakati wa sex, na anasema kabisa ni haki yake. Mambo ya 50/50 hayajaanza leo na mwisho wake wakashindwana.

Hapo ndio Eve akatokea.

Mwenye nyama ataongezea. Elimu haina mwisho.
Basi kama ni hivyo kizazi cha Lilith ndo kipo maana wanawake tulio nao sasa hivi wanamfanana kwa kila kitu
 
Kulingana na hadithi hizo, Lilith alidai usawa na haki sawa na Adamu, na alipokataa kutii amri za Mungu za kuwa chini ya Adamu, aliondoka kutoka kwa Adamu na Paradiso. Baadaye, Hawa aliundwa kutokana na ubavu wa Adamu, kama ilivyoelezwa katika Biblia.
Hujamaliza kumalizia hii hadithi vijana wa kiume/kike wanapofikia balehe lilth huwatokea katika ndoto

Vijana wa kiume huwaonyesha wakifanya tendo la jimai na Mwanamke mzuri sana (Succubuss) na kufyonza manii zao

Vijana wa kike huona wakifanya tendo la jimai na Mwanaume mzuri sana (Incubus) mpaka wanaingiziwa manii na huyo Mwanaume Shababi mwenye bonge la ndonga linalojua kusugua tupu yake vilivyo wakiwa usingizini

Na hivyo ndivyo lilth anavyojipatia watoto katika upande wake,
Screenshot_20240317-085802.png
 
Lilith ndio alikua mke wa kwanza wa Adam.
 
Back
Top Bottom