ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 45,536
- 52,590
Upuuzi,mtaji hawana nani kasema wakati banks zipo? Caspian construction waliojenga njia 8 hawana mtaji?Tanroad watakachojitetea ni Wakandarasi wa ndani, mtaji wa kufanya kazi hawana. Jambo ambalo ni kweli ukiangalia miradi mingi inayofanywa na wazawa changamoto kubwa ni ukwasi wa kuendesha mradi, ukimpa mzawa mradi wa miezi 24 atafanya kwa miezi 48 sababu alikuwa anasuasua kupata fedha za kuendesha mradi
Hakuna kitu hapo ni kwamba Wachina wanatoa hongo ndefu