ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,413
- 50,217
Kwa Mujibu wa Takwimu kutoka Kituo Cha Uwekezaji Tanzania -TIC kimeonesha msimamo wa awamu iliyoongoza kuvutia Wawakezaji,mitaji na Biashara Hadi awamu ya mwisho.
Viongozi waliofanya vizuri ni
1.Jakaya Kikwete-Awamu ya 4(Miaka 10)
2.Samia S.Hassan-Awami ya 6(Miaka 3)
3.John P.Magufuli-Awamu ya 5(Miaka 5)
4.Benjamin W.Mkapa-Awamu ya 3(Miaka 10).
View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1782411632104165637?t=RvcxyNl_DYM5w1wIJGI3TQ&s=19
My Take
Takwimu Huwa zinaongea kuzidi Propaganda.
Kwa Mwendo huu,Samia akifikisha miaka 10 atawafunika woote tena mbali sana.
Viongozi waliofanya vizuri ni
1.Jakaya Kikwete-Awamu ya 4(Miaka 10)
2.Samia S.Hassan-Awami ya 6(Miaka 3)
3.John P.Magufuli-Awamu ya 5(Miaka 5)
4.Benjamin W.Mkapa-Awamu ya 3(Miaka 10).
View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1782411632104165637?t=RvcxyNl_DYM5w1wIJGI3TQ&s=19
My Take
Takwimu Huwa zinaongea kuzidi Propaganda.
Kwa Mwendo huu,Samia akifikisha miaka 10 atawafunika woote tena mbali sana.