The girl next door, sijui atasema yes

Ila ameiandika kiushawishi flani hiv ili kutuvuta tuimalize na hatimae kafanikiwa!

Ndugu huwa nasema kila siku Kuna 'Kusoma' na Kuna 'kuelewa' Hivi ni Vitu viwili tofauti kabisa ingawa vinarandana.

Unaweza ukasoma kwa sauti kubwa sentesi moja tu hata mara mia,
Na usiielewe maana yake kisha mwenzako mwingine akaisoma sentensi hiyohiyo mara moja lakini yeye akaielewa vyema.

Mbweha wengi wanaoponda ni kuwa hawajaelewa na inaelekea ni wagumu kuelew pia.

Asante kwa kuelewa.
 
Duh boss ulikosea siku nyingi sana...actually ile ile siku ungechuma ua umpe hata kama ni yale mekundu ya fensi yale....! A bird in hand is worth nine in the bush.


We jizoeshe tu kumuita shem kwa sasa....


Afande afande unamdanganya ngoja aparamie mke wa mtu anaona ana gari hajui hilo gari kalipata wapi yeye anakenua meno kesi hiyo inakuhusu Mentor.

 
dalalitz BINTI UMEMPATA TAYARI MBONA JIAMINI TUU KA NAMBA YAKE UNAYO MWOMBE MTOKE OUT UKU UKIMLETEA UTANI KUWA LILE SWALA NATAKA KUKUPA UPDATE NILIPOFIKIA ANZIA APO
 
Last edited by a moderator:
Ngoma haziwezi kuisha kwa mwendo huu! Kila kipya mtaani kimechokwa mitaa mingine.
 
"Ukitaka kumficha mwafrika weka ujumbe kwenye vitabu"Nathibitisha kauli hii kupitia kwako
Hahahahhaaaaaaa
Nashukuru kwa kugundua ujinga wa wajinga wasiojua kuwa ni wajinga.
Cc. Jembe afrika,Viol, Colagen
 
natamani ningelikuwa naishi mtaa mmoja nawe nikupige ovateki chap chap...
Subutuuuuu,
Nilikuwa radhi kutoa hata address ya tuishipo nikidhani pengine hata humu jamii yupo angeweza kukisikia kilio changu au kupelekewa ujumbe.
Lakini kwa dokezo lako hili, Hakika siwezi kuthubutu kufanya hivyo.
Kumbe Wachawi nakula nao?-Waroho wa aina yako mnaweza kunizidi kete.
 
Jamaa ana remba sanaa. Angekua kitaa chetu huyo, watu tushamaliza kitambo. We mpaka umtaftie sijui maua kwan anaenda kuzika huyo ??? Mpaka unamuambia swala lako unalikumbuka na unalifanyia kazi yeye kichwani hajui tu unataka nn ?? Heb acha utoto ww. cha ajabu mpaka now hata Dial yake huna. Daaah we jamaa bado sanaaa !!!
Wakat bado nakua nikiwa in my early 20's nshapoteza opportunity kibao za kua na watoto wazuri sabab ya ku remba remba since then huwa sifanyi makosa dem akinipa upenyo kidogo tu nafanya kweli !!!
Kaka, Hata wewe utakubaliana na mimi si kila dem utamwingia kwa style ile ile, sasa nikikurupuka si naweza nikala za uso?
Hata hapa nilipo si mahala pabaya sana msinivunje moyo bwana.
 
Ulivyoandika na mbinu unazo tafuta hapa ni uzinzi tu unaokusumbua siyo muoaji wewe,mke wa kuoa huhitaji kupewe mbinu na jirani.
Kama umemaanisha muulize wazazi wake wako wapi katangaze nia huko.

Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Waebrania 13:4
ubarikiwe eeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Ndugu huwa nasema kila siku Kuna 'Kusoma' na Kuna 'kuelewa' Hivi ni Vitu viwili tofauti kabisa ingawa vinarandana.

Unaweza ukasoma kwa sauti kubwa sentesi moja tu hata mara mia,
Na usiielewe maana yake kisha mwenzako mwingine akaisoma sentensi hiyohiyo mara moja lakini yeye akaielewa vyema.

Mbweha wengi wanaoponda ni kuwa hawajaelewa na inaelekea ni wagumu kuelew pia.

Asante kwa kuelewa.

Mbweha!...... Jamani haka ka dunia kamekuwa kadogo mno tusikafanye katubane, mgongano wa mawazo upo tu na ndio unao panua uelewa.

Soma signature ya 1st AID kwa msaada. Naamini kutakuwa na mwendelezo baada ya hii. Binafsi u made my day ingawa ...mbweha watabweka! Sasa utaweza kuwanyamazisha!?
 
Kaka, Hata wewe utakubaliana na mimi si kila dem utamwingia kwa style ile ile, sasa nikikurupuka si naweza nikala za uso?
Hata hapa nilipo si mahala pabaya sana msinivunje moyo bwana.

OK, ngoja nikupe mbinu zangu chache..they have never failed me.

1. Hakikisha unampa care ya kutosha but get naughty at tyms. Wake za watu wanaliwa sabab ya care wanayopata nnje.
2. Make her big deal, your big deal (mjali matatzo yake fanya kama ndio yako ww)
3. Be honest and usiwe too fake na Usijianye mjuaji sanaaa. Just be simple and cool (not too simple, have standards) !!
4. Stay out of tha friend/brother/sister zone cz utakuja kosa mzigo (zile type za i love u like a brother).
5. Be a soft talker and funny acha zile itikadi za kupayuka payuka ovyo. Listen more, talk less to identify topics that mostly interest her then exploit them.

Binafsi huo ndio uchawi wangu.. Magari yasikuzuzue, kuna watu nawajua hawana hata basikeli lakn wanang'oa vitu vizito huwez amini.

NOTE:
Usiwe na mkono mfupi sana. Vihela vya lunch, nyama choma, chips, burger etc. visikupige chenga kihivyo.
 
OK, ngoja nikupe mbinu zangu chache..they have never failed me.

1. Hakikisha unampa care ya kutosha but get naughty at tyms. Wake za watu wanaliwa sabab ya care wanayopata nnje.
2. Make her big deal, your big deal (mjali matatzo yake fanya kama ndio yako ww)
3. Be honest and usiwe too fake na Usijianye mjuaji sanaaa. Just be simple and cool (not too simple, have standards) !!
4. Stay out of tha friend/brother/sister zone cz utakuja kosa mzigo (zile type za i love u like a brother).
5. Be a soft talker and funny acha zile itikadi za kupayuka payuka ovyo. Listen more, talk less to identify topics that mostly interest her then exploit them.

Binafsi huo ndio uchawi wangu.. Magari yasikuzuzue, kuna watu nawajua hawana hata basikeli lakn wanang'oa vitu vizito huwez amini.

NOTE:
Usiwe na mkono mfupi sana. Vihela vya lunch, nyama choma, chips, burger etc. visikupige chenga kihivyo.

Mkuu, Hii ndio faida ya kuwa na Watu. Salute!.
nice.jpg
 
Aiseee ni vizuri kizuri kula na mwenzako...sasa wewe si huwezi mwaga sumu mkuu!!!

Subutuuuuu,
Nilikuwa radhi kutoa hata address ya tuishipo nikidhani pengine hata humu jamii yupo angeweza kukisikia kilio changu au kupelekewa ujumbe.
Lakini kwa dokezo lako hili, Hakika siwezi kuthubutu kufanya hivyo.
Kumbe Wachawi nakula nao?-Waroho wa aina yako mnaweza kunizidi kete.
 
Mkuu, Hii ndio faida ya kuwa na Watu. Salute!.
View attachment 183245

Usisahau wanawake wana tabia moja ya kijinga sana kufanya vitu kwa makusudi ili wajue reaction yako iko vipi like wanaweza kukuletea kejeli, maneno flan ya dharau hata kukukwaza makusudi at times. We usichukulie serious, just take it easy and smile back that way itamfanya yeye azidishe mazoea na ww na ita build a deep inner bond between tha two of you and thats what we want and need most at tha first mathafukin place so u need to play your cards right. (Ila kama ni matusi au lugha chafu, gently mwambie hupendezwi na itikadi hzo, itamfanya hata yeye azidi kukuheshimu na kukuona we jamaa ni gentleman indeed). All in all ni kujifanya mjinga/f*la flan hvi.
We fanya nayokwambia utakuja niambia mwenyewe, na itafika wakat hata madem wengine utakua unafanya kuwakimbia mwenyewe. Uchawi mkubwa hapo ni "CARE and Gentleness" Baaaas.
 
aiseee ndugu fanya mpango umpate kwanza niko happy kwa hatua uliyofikia usitake kujua kwanin niko happy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom