Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,759
Ubabaishahi wao ni upi hasa?yanga ni wababaishaji wakubwa.kwa ujumla soka la bongo ni ubabaishaji,hakuna simba wala yanga
Sasa ilikuwaje TFF wakabariki usajili na CAF pia wakabariki usajili....Na TMS ikakubali?.....Yanga kwa sasa inatakiwa ilie na FUFA pamoja Sc Villa ambao either kwa tamaa ya pesa au hawakuelewa maana ya Provisional permit! Ikawaingiza mkenge Yanga.Kwa Okwi kuzuiliwa CHAN kunajieleza hakuwa mchezaji huru!!!!
Sasa ilikuwaje TFF wakabariki usajili na CAF pia wakabariki usajili....Na TMS ikakubali?.....
Hata kama wewe ni shabiki wa yanga kuwa mkweli, waandishi hasa ndio wanaopotosha hii habari, watandanzania wa sasa sio wa kudanganywa kama zamani, kila mtu ana simu na internet ipo hata kwenye simu tunaangalia jamani semeni ukweli jina la okwi lipo upnde gani. Sasa naomba kila mtanzania aingie mwenyewe kwenye hii web, The Football Portal for the Premier League and Transfer Rumour Forum - - transfermarkt.com. Ukisha fungua angalia kushoto kwako kuna sehemu imeandikwa Europe, america, Africa na zingine, fungua africa, ukisha fungua Africa utaona ramani, kwenye ile ramani utaona sehemu imeandikwa TUN manaake tunisia, Fungua pale utaona majina yooote ya virabu vya Tunisia, bofya pale palipo andikwa Etoile Sportive de Sahel, Utaona Squad of Etoile Sportive du Sahel in the season 2013/2014, Je? jina la Okwi lipo?????????????????????????????
na inakuonyesha mkataba wake unaisha lini?????????. tusidanganyene hapa kama wewe ni mwandishi za michezo unashindwa nini kuona haya mnabaki kwenda yanga na kuchukua habari za kufoji na kutoa kwenye maredio na mitandao yenu, acheni hizo mambo yako wazi, kama wewe ni shabiki acha kazi ya uandishi wa habari za michezo fanya ushabi wa club unaoipenda acheni kudanganya watanzania kisa ninyi ni waandishi wa michezo
aksanteni
Kabisa mkuu, tatizo nililoliona ni ushabiki wa timu hizo kujikita ndani ya TFF na serikali kwa kubalansi mawaziri.yanga ni wababaishaji wakubwa.kwa ujumla soka la bongo ni ubabaishaji,hakuna simba wala yanga
simba na yanga zinatumika kwa malengo ya siasa.ona suala hati ya jengo la yanga, suala la usajili wa twite,suala la okwi,mishahara ya wachezaji,ufukuzaji wa makocha n.kUbabaishahi wao ni upi hasa?
Kabisa mkuu, tatizo nililoliona ni ushabiki wa timu hizo kujikita ndani ya TFF na serikali kwa kubalansi mawaziri.
acha utoto aka ufala............yanga ni wababaishaji wakubwa.kwa ujumla soka la bongo ni ubabaishaji,hakuna simba wala yanga
Kweli kabisa mkuu. Bahati mbaya imeshindikana kuweka picha (nadhani mods wanaishighulikia hali hii) ya gazeti tena la serikali la Spoti Leo toleo # 139 la Jan 9-11 2014 likisema 'Maximo atua Yanga rasmi. Kuungana na timu Uturuki'. Uandishi huu wa kishabiki ndio upo hata kwenye siasa, ni hatari mno na sijui kama mh naibu Juma Nkamia ataliona na kulikemea jambo hili.Hata kama wewe ni shabiki wa yanga kuwa mkweli, waandishi hasa ndio wanaopotosha hii habari, watandanzania wa sasa sio wa kudanganywa kama zamani, kila mtu ana simu na internet ipo hata kwenye simu tunaangalia jamani semeni ukweli jina la okwi lipo upnde gani. Sasa naomba kila mtanzania aingie mwenyewe kwenye hii web, The Football Portal for the Premier League and Transfer Rumour Forum - - transfermarkt.com. Ukisha fungua angalia kushoto kwako kuna sehemu imeandikwa Europe, america, Africa na zingine, fungua africa, ukisha fungua Africa utaona ramani, kwenye ile ramani utaona sehemu imeandikwa TUN manaake tunisia, Fungua pale utaona majina yooote ya virabu vya Tunisia, bofya pale palipo andikwa Etoile Sportive de Sahel, Utaona Squad of Etoile Sportive du Sahel in the season 2013/2014, Je? jina la Okwi lipo?????????????????????????????
na inakuonyesha mkataba wake unaisha lini?????????. tusidanganyene hapa kama wewe ni mwandishi za michezo unashindwa nini kuona haya mnabaki kwenda yanga na kuchukua habari za kufoji na kutoa kwenye maredio na mitandao yenu, acheni hizo mambo yako wazi, kama wewe ni shabiki acha kazi ya uandishi wa habari za michezo fanya ushabi wa club unaoipenda acheni kudanganya watanzania kisa ninyi ni waandishi wa michezo
aksanteni
Mkuu, si umeona uteuzi wa, nadhani makatibu, wa kutoka Yanga na Simba? Ili kuweka mambo sawa na pia rais na makamu wake wa TFF ni hivo hivo. Kumbuka hata wabunge wetu wana timu za Simba na Yanga, sasa kisoka ndio hatutaendelea kamwe.safi sana.ndani ya tff wamegawanyika kiushabiki