Hawa tangu wasikie ile nchi internet ilizingua chini ya bahari na wenyewe wameiga waxenge tu . Tangu mwaka 2014 sijawahi kusikia hii kitu internet ikakata kama umeme.. hii ndio Tanzania Elon musk kaja na Mi dollar yake anataka awasaidie maskini mnajikuta hamtaki msaada ili muendelee kuwapiga wananchi.
Mtu anakuja na satellite internet nyie hamtaki mnataka ya chini ya bahari haya pambaneni sasa na msiombe msaada nje
Tumsanue Nape nauye hadi aone mzigo kuwa waziri.
 
Kama umekosa huduma ya intaneti kwa saa kadhaa leo, tambua shida sio kifaa unachotumia bali ni tatizo la kiufundi lililotokea kwenye miundombinu ya intaneti iliyopitishwa baharini.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dk Jabir Bakari amelithibitisha hilo alipotafutwa na Mwananchi Digital leo Jumapili Mei 12, 2024.

"Kunaonekana kuna tatizo la kiufundi kidogo linalohusiana na 'marine cables' kwa hiyo tunajaribu kupata maelezo zaidi," amesema Dk Bakari.

Dk Bakari amesema kwa sasa wanaangalia namna ya kupata taarifa zaidi ili kujua ilipo changamoto ili kuchukua hatua.

Tatizo la mtandao wa intaneti limeanza tangu saa 4 asubuhi na hadi habari hii inapoandikwa saa 7.10 mchana huduma hiyo haijarejea.
Nikahisi mtandao wa simu haupo vizuri
 
Internet za waya hizo waachane nazo waende kwa yule Tajiri watakwepa sasa hivi ila kila kitu kina mwisho ni kama TV mzee Mengi alikua anaambiwa ni uhaini kurusha matangazo nje ya Mkoa wa Pwani...
 
M
Hawa tangu wasikie ile nchi internet ilizingua chini ya bahari na wenyewe wameiga waxenge tu . Tangu mwaka 2014 sijawahi kusikia hii kitu internet ikakata kama umeme.. hii ndio Tanzania 🇹🇿 Elon musk kaja na Mi dollar yake anataka awasaidie maskini mnajikuta hamtaki msaada ili muendelee kuwapiga wananchi.
Mtu anakuja na satellite internet nyie hamtaki mnataka ya chini ya bahari haya pambaneni sasa na msiombe msaada nje
Kuna shida ya Magnetic storm, TCRA wanazunguka tu nanstory.

Hata Elon Musk naye kala za Uso huko kwenye Mtandao wake
 

Attachments

  • F4F7B134-9E15-4231-9D3B-F7FB0DBAC5B1.jpeg
    F4F7B134-9E15-4231-9D3B-F7FB0DBAC5B1.jpeg
    181.4 KB · Views: 1
M
Hawa tangu wasikie ile nchi internet ilizingua chini ya bahari na wenyewe wameiga waxenge tu . Tangu mwaka 2014 sijawahi kusikia hii kitu internet ikakata kama umeme.. hii ndio Tanzania 🇹🇿 Elon musk kaja na Mi dollar yake anataka awasaidie maskini mnajikuta hamtaki msaada ili muendelee kuwapiga wananchi.
Mtu anakuja na satellite internet nyie hamtaki mnataka ya chini ya bahari haya pambaneni sasa na msiombe msaada nje
Kuna shida ya Magnetic storm, TCRA wanazunguka tu na maneno mengi.

Hata Elon Musk naye kala za Uso huko kwenye Mtandao wake
2C13C808-8146-4043-BF5F-1885D7763AF8.jpeg
 
Wewe pia ninakudharau. Kwanini ulipie internet ya 130k kwa mwezi kwa matumizi yako binafsi? Au unatafuta hela ili umpe Elon Musk?
Acha uzezeta wako
“Nape, unawaogopa StarLink. Kwanini?”

February 2023, Michael Coudrey (30), Mwenyekiti na CEO Pharos Investment Group kutoka USA alimtaka C.E.O wa StarLink, Elon Musk kuhakikisha Starlink inapatika Afrika Mashariki hususani Tanzania ili watu wapate huduma ya intaneti yenye kasi zaidi ili kupata habari, kujifunza na kujenga kesho kubwa.

Bilionea, Elon Musk, mmiliki wa Starlink akamjibu Mike Coudrey kwamba “tunapenda pia kuwekeza Tanzania. Tunasubiri uthibitisho wa serikali”. Elon aliposema hivyo akajibiwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari akajibu kwamba Starlink wanatakiwa kujenga ofisi zao Tanzania.

Rais wa Kenya, William Ruto, September 2023 akiwa Kenya amewaalika Apple, Google, Intel, Nike, Levi kuwekeza Kenya kwa kujenga viwanda. William Ruto amefika Hawthorne, Los Angeles, Califonia, USA makao makuu ya Space X/Starlink kuwekeza na kujenga miundombinu yao Kenya ili kurahisha utoaji huduma.

STARLINK wameingia Rwanda, na Rwanda Space Agency (RSA) wametoa vibali vyote na kuwapa StarLink leseni, kazi imeanza. Mnyarwanda anayetaka kasi kwenye data, anahamia zake Starlink Wanyarwanda hadi vijijini huko wanapata ‘Internet’ yenye kasi.

Elon Musk, mmiliki wa kampuni binafsi ya roketi na vyombo vya anga, SpaceX, wanaoendesha STARLINK anasema wametuma maombi ya kuingia Tanzania, na kwamba wanasubiri kukubaliwa na kupewa vibali na wenye mamlaka (serikali ya Tanzania kupitia wizara ya Mawasiliano).

NAPE Nnauye, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari anasema STARLINK hawajakamilisha baadhi ya nyaraka ambazo wao kama wizara ya Mawasiliano wanazihitaji katika maombi yao na anasisitiza LAZIMA wakamilishe nyaraka hizo ndiyo mazungumzo yaanze.

Nyaraka hizo ni pamoja na masharti ya kuweka (Starlink) ofisi zao Tanzania na kwamba kama mamlaka za mawasiliano zikihitaji kupata taarifa zao, wazipate kwa wahusika. Bado wizara ya Mawasiliano inaishi katika karne ya 13 wakati Ulimwengu upo karne ya 21.

Google wanazo ofisi Tanzania? WhatsApp? Twitter? Facebook? Instagram? Tik-Tok? Yahoo? Vipi, mamlaka za mawasiliano zikihitaji taarifa zao, wanazipata kwa njia gani? Ujanja-Ujanja tu wa waziri na wizara katika hili, na unakera. Dunia inakwenda kasi, waziri anajivuta.

Ofisi za Netflix zimejengwa wapi Tanzania? Tunafanya subscription zetu kila mwezi, vipi, siku wakishindwa kutoa huduma tutakwenda wizarani kulalamika? Hoja ya Waziri ni hoja ya kupuuzwa tu. Waziri anatumia huduma za Google & Gmail, Yahoo, ofisi zao zipo wapi Tanzania? Au wao hawachukii taarifa za wateja?

Tunafahamu, kwa urasimu wa biashara ya watoa huduma za data waliopo Tanzania, STARLINK wakiweka miguu katika ardhi ya Tanzania, hii itakuwa ni mwisho wa biashara ya ujanja-ujanja ya tiGo, Vodacom, Airtel, TTCL kwenye data. Biashara ambayo inawanyonya watumiaji na kuwalipa vigogo.

Wakati watanzania wanatumia internet yenye kasi ya 2G hadi leo katika maeneo mengi na sehemu nyingine hakuna kabisa Internet ni kama upo kaburini, bado serikali ya Tanzania inaweka kauzibe kwa STARLINK anayekuletea INTERNET yenye kasi kubwa kuliko iliyopo sasa kwa bei nafuu.

Upatikanaji wa Internet hufungua ulimwengu katika njia nyingi. Burudani, elimu, kuwezesha biashara za malipo mitandaoni na hata kuimarisha demokrasia. Ndio maana maendeleo katika kutoa ufikiaji wa mtandao kwa watu barani Afrika yanafaa kusherehekewa.

Afrika inatakiwa kuunganishwa kwa njia ya internet. Nchi za Afrika nyingi zina miundombinu Dunia ya kidijitali. Gharama kubwa kuwekeza kwenye fibre optics cables au milingoti ya simu (mobile phone masts) hususani katika maeneo ya vijijini. Tanzania inakabiliwa na changamoto hizo.

Umoja wa Mataifa una mkakati wa kufikia upatikanaji wa huduma kwa wote barani Afrika ifikapo 2030, lakini hili halitawezekana bila mbinu bunifu. Starlink sasa ni kati ya ubunifu huo. Hakuna bajeti ya kusimika nguzo, hakuna fibre optic cables. Ni mwendo wa mawimbi tu.

Sehemu kubwa ya huduma ya internet kwa sasa inatolewa kupitia simu za mkononi, wireless Internet (mawimbi yake yanatumwa na kusafiri kwa kutumia minara iliyosimikwa ardhini). Hii ina ufikiaji wa taratibu na kwa eneo dogo tofauti na matumizi ya satellite.

Starlink ni mfumo wa satelaiti unaolenga kusambaza mtandao wa Internet kimataifa. Mfumo huu unafaa kwa maeneo ya vijijini na yaliyotengwa kijiografia ambapo muunganisho wa intaneti si wa kutegemewa au haupo kabisa. Tanzania inayo maeneo mengi yaliyotengwa kijiografia.

Kufikia December 2022, STARLINK ina zaidi ya satellite ndogo 3,300 zilizozalishwa kwa wingi katika Low Earth Orbit (LEO) ambazo huwasiliana na ground transceivers maalum. Hawa ni watu ambao tunaweza kuwatumia hata baadae kwenye masuala ya kurusha satelaiti yetu, tukipata akili.

Badala ya kutumia teknolojia ya cable (cable technology), kama vile cable fibre optics kusambaza Internet data, mfumo wa satellite unatumia mawimbi ya radio (radio signals) kupitia utupu wa nafasi (vacuum of space).

Vituo vya ardhini (ground stations) hutoa taarifa za mawimbi kwa satellite katika njia ya Orbits, ambazo hurejesha data kwa watumiaji wa Starlink Duniani. Kila satellite ina uzito wa 573 pounds (259.908kg) umbo tambarare. Roketi moja ya SpaceX Falcon 9 inatosha hadi satellites 60.

Starlink sio mshindani pekee katika mbio za anga za juu, ingawa kuna washindani wachache, pamoja na OneWeb, HughesNet, Viasat na Amazon. HughesNet inatoa mawimbi kutoka maili 22,000 juu ya Dunia tangu mwaka 1996, lakini Starlink inafuata mbinu tofauti kidogo na hawa HughesNet.

Starlink inatoa data ya kasi ya juu isiyo na kikomo kupitia satelaiti ndogo zinazotoa hadi 200 (Mbps) za kasi ya mtandao. Utafiti wa Speedtest uliofanywa na Ookla, Starlink ilirekodi kasi ya upakuaji ya wastani ya kasi zaidi katika ¼ ya kwanza ya 2022 katika 160Mbps Lithuania.

Starlink pia ilitumia kasi ya 91Mbps nchini USA, 97Mbps nchini CANADA na 124Mbps nchini Australia, na nchini Mexico kasi ya upakuaji ilikuwa 105.91Mbps. Hii ni kasi mara mbili au zaidi ya kasi ya mitandao karibu yote ya Tanzania. (Mbps - Megabits per seconds).

Utafiti wa Speedtest uliofanywa na Ookla kwa watoa huduma za mitandao Tanzania unaeleza kasi ya Halotel ni 18.57mbps, kasi ya Vodacom ni 16.38mbps, kasi ya tiGo 14.23mbps, kasi ya Airtel 13.11mbps, kasi ya Zantel ni 6.55mbps. Kwanini tuwakimbie Starlink ambao wanakupa 124Mbps?

Sehemu inayoweza kuleta wasiwasi ni kwenye gharama. Starlink nchini Nigeria, hugharimu takriban N276,000 (US$599) mara moja kwa ajili ya vifaa na kufunga hivyo vifaa, kisha hutoza ada ya usajili ya kila mwezi ya takribani N198,000 (US$43) = Sh107,715. Lakini unapata kasi ya 500Mbps.

Vodacom Unlimited internet kwa mwezi (fixed monthly charges); 20mbps kwa mwezi ni Sh115,000. 30mbps kwa mwezi ni Sh120,000. 50mbps kwa mwezi ni Sh150,000. 100mbps ni Sh250,000. 200mbps ni Sh400,000. 350mbps ni 600,000.

Nani bora? Starlink anayekupa 500mbps kwa Sh107,715 mwezi au Vodacom anayekupa 350mbps kwa Sh600,000 mwezi? Unahitaji akili ya kawaida kufahamu; Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari anaweza kuwa mnufaika wa magenge ya Mobile Network Operators (MNOs) ndiyo sababu hawataki StarLink?

Serikali inatakiwa kutambua kwamba uwepo wa Starlink haukusudiwi kuchukua nafasi ya watoa huduma wa mitandao waliopo nchini. Lakini badala yake kusaidia na kuimarisha huduma zao kwa kutoa huduma katika maeneo ambayo miundombinu isiyokuwa na uwezo mkubwa inakosekana.

Pia Starlink kwa ubora wao, mtandao wao unaweza kutumika kama mbadala wa watoa huduma wengine endapo kutatokea hitilafu au kukatika kwa primary network. Kuna wakati kuna ‘faults’ za mitandao Tanzania, kama Starlink wapo, wanaokoa huduma bila kusubiri primary network kutengemaa.

Rwanda ilikuwa miongoni mwa nchi chache zilizopewa fursa ya kujaribu muunganisho wa Starlink barani Afrika. Katika majaribio yaliyofanywa katika maeneo tofauti ya nchi, kasi ya Starlink ilifikia hadi 150 Mbps na utulivu (latency) chini ya 20 hadi 40 milliseconds (ms).

Kenya ni nchi ya sita Afrika kutoa leseni kwa Starlink baada ya Nigeria, Mozambique, Rwanda, Mauritius na Sierra Leone. Tanzania tunaogopa nini? Tunawalinda nani? TTCL? Hawa ambao wameshindwa hata biashara ya kutengeneza ‘vocha’ zao wenyewe? Zungumzeni na SpaceX.
 
Acha uzezeta wako
“Nape, unawaogopa StarLink. Kwanini?”

February 2023, Michael Coudrey (30), Mwenyekiti na CEO Pharos Investment Group kutoka USA alimtaka C.E.O wa StarLink, Elon Musk kuhakikisha Starlink inapatika Afrika Mashariki hususani Tanzania ili watu wapate huduma ya intaneti yenye kasi zaidi ili kupata habari, kujifunza na kujenga kesho kubwa.

Bilionea, Elon Musk, mmiliki wa Starlink akamjibu Mike Coudrey kwamba “tunapenda pia kuwekeza Tanzania. Tunasubiri uthibitisho wa serikali”. Elon aliposema hivyo akajibiwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari akajibu kwamba Starlink wanatakiwa kujenga ofisi zao Tanzania.

Rais wa Kenya, William Ruto, September 2023 akiwa Kenya amewaalika Apple, Google, Intel, Nike, Levi kuwekeza Kenya kwa kujenga viwanda. William Ruto amefika Hawthorne, Los Angeles, Califonia, USA makao makuu ya Space X/Starlink kuwekeza na kujenga miundombinu yao Kenya ili kurahisha utoaji huduma.

STARLINK wameingia Rwanda, na Rwanda Space Agency (RSA) wametoa vibali vyote na kuwapa StarLink leseni, kazi imeanza. Mnyarwanda anayetaka kasi kwenye data, anahamia zake Starlink Wanyarwanda hadi vijijini huko wanapata ‘Internet’ yenye kasi.

Elon Musk, mmiliki wa kampuni binafsi ya roketi na vyombo vya anga, SpaceX, wanaoendesha STARLINK anasema wametuma maombi ya kuingia Tanzania, na kwamba wanasubiri kukubaliwa na kupewa vibali na wenye mamlaka (serikali ya Tanzania kupitia wizara ya Mawasiliano).

NAPE Nnauye, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari anasema STARLINK hawajakamilisha baadhi ya nyaraka ambazo wao kama wizara ya Mawasiliano wanazihitaji katika maombi yao na anasisitiza LAZIMA wakamilishe nyaraka hizo ndiyo mazungumzo yaanze.

Nyaraka hizo ni pamoja na masharti ya kuweka (Starlink) ofisi zao Tanzania na kwamba kama mamlaka za mawasiliano zikihitaji kupata taarifa zao, wazipate kwa wahusika. Bado wizara ya Mawasiliano inaishi katika karne ya 13 wakati Ulimwengu upo karne ya 21.

Google wanazo ofisi Tanzania? WhatsApp? Twitter? Facebook? Instagram? Tik-Tok? Yahoo? Vipi, mamlaka za mawasiliano zikihitaji taarifa zao, wanazipata kwa njia gani? Ujanja-Ujanja tu wa waziri na wizara katika hili, na unakera. Dunia inakwenda kasi, waziri anajivuta.

Ofisi za Netflix zimejengwa wapi Tanzania? Tunafanya subscription zetu kila mwezi, vipi, siku wakishindwa kutoa huduma tutakwenda wizarani kulalamika? Hoja ya Waziri ni hoja ya kupuuzwa tu. Waziri anatumia huduma za Google & Gmail, Yahoo, ofisi zao zipo wapi Tanzania? Au wao hawachukii taarifa za wateja?

Tunafahamu, kwa urasimu wa biashara ya watoa huduma za data waliopo Tanzania, STARLINK wakiweka miguu katika ardhi ya Tanzania, hii itakuwa ni mwisho wa biashara ya ujanja-ujanja ya tiGo, Vodacom, Airtel, TTCL kwenye data. Biashara ambayo inawanyonya watumiaji na kuwalipa vigogo.

Wakati watanzania wanatumia internet yenye kasi ya 2G hadi leo katika maeneo mengi na sehemu nyingine hakuna kabisa Internet ni kama upo kaburini, bado serikali ya Tanzania inaweka kauzibe kwa STARLINK anayekuletea INTERNET yenye kasi kubwa kuliko iliyopo sasa kwa bei nafuu.

Upatikanaji wa Internet hufungua ulimwengu katika njia nyingi. Burudani, elimu, kuwezesha biashara za malipo mitandaoni na hata kuimarisha demokrasia. Ndio maana maendeleo katika kutoa ufikiaji wa mtandao kwa watu barani Afrika yanafaa kusherehekewa.

Afrika inatakiwa kuunganishwa kwa njia ya internet. Nchi za Afrika nyingi zina miundombinu Dunia ya kidijitali. Gharama kubwa kuwekeza kwenye fibre optics cables au milingoti ya simu (mobile phone masts) hususani katika maeneo ya vijijini. Tanzania inakabiliwa na changamoto hizo.

Umoja wa Mataifa una mkakati wa kufikia upatikanaji wa huduma kwa wote barani Afrika ifikapo 2030, lakini hili halitawezekana bila mbinu bunifu. Starlink sasa ni kati ya ubunifu huo. Hakuna bajeti ya kusimika nguzo, hakuna fibre optic cables. Ni mwendo wa mawimbi tu.

Sehemu kubwa ya huduma ya internet kwa sasa inatolewa kupitia simu za mkononi, wireless Internet (mawimbi yake yanatumwa na kusafiri kwa kutumia minara iliyosimikwa ardhini). Hii ina ufikiaji wa taratibu na kwa eneo dogo tofauti na matumizi ya satellite.

Starlink ni mfumo wa satelaiti unaolenga kusambaza mtandao wa Internet kimataifa. Mfumo huu unafaa kwa maeneo ya vijijini na yaliyotengwa kijiografia ambapo muunganisho wa intaneti si wa kutegemewa au haupo kabisa. Tanzania inayo maeneo mengi yaliyotengwa kijiografia.

Kufikia December 2022, STARLINK ina zaidi ya satellite ndogo 3,300 zilizozalishwa kwa wingi katika Low Earth Orbit (LEO) ambazo huwasiliana na ground transceivers maalum. Hawa ni watu ambao tunaweza kuwatumia hata baadae kwenye masuala ya kurusha satelaiti yetu, tukipata akili.

Badala ya kutumia teknolojia ya cable (cable technology), kama vile cable fibre optics kusambaza Internet data, mfumo wa satellite unatumia mawimbi ya radio (radio signals) kupitia utupu wa nafasi (vacuum of space).

Vituo vya ardhini (ground stations) hutoa taarifa za mawimbi kwa satellite katika njia ya Orbits, ambazo hurejesha data kwa watumiaji wa Starlink Duniani. Kila satellite ina uzito wa 573 pounds (259.908kg) umbo tambarare. Roketi moja ya SpaceX Falcon 9 inatosha hadi satellites 60.

Starlink sio mshindani pekee katika mbio za anga za juu, ingawa kuna washindani wachache, pamoja na OneWeb, HughesNet, Viasat na Amazon. HughesNet inatoa mawimbi kutoka maili 22,000 juu ya Dunia tangu mwaka 1996, lakini Starlink inafuata mbinu tofauti kidogo na hawa HughesNet.

Starlink inatoa data ya kasi ya juu isiyo na kikomo kupitia satelaiti ndogo zinazotoa hadi 200 (Mbps) za kasi ya mtandao. Utafiti wa Speedtest uliofanywa na Ookla, Starlink ilirekodi kasi ya upakuaji ya wastani ya kasi zaidi katika ¼ ya kwanza ya 2022 katika 160Mbps Lithuania.

Starlink pia ilitumia kasi ya 91Mbps nchini USA, 97Mbps nchini CANADA na 124Mbps nchini Australia, na nchini Mexico kasi ya upakuaji ilikuwa 105.91Mbps. Hii ni kasi mara mbili au zaidi ya kasi ya mitandao karibu yote ya Tanzania. (Mbps - Megabits per seconds).

Utafiti wa Speedtest uliofanywa na Ookla kwa watoa huduma za mitandao Tanzania unaeleza kasi ya Halotel ni 18.57mbps, kasi ya Vodacom ni 16.38mbps, kasi ya tiGo 14.23mbps, kasi ya Airtel 13.11mbps, kasi ya Zantel ni 6.55mbps. Kwanini tuwakimbie Starlink ambao wanakupa 124Mbps?

Sehemu inayoweza kuleta wasiwasi ni kwenye gharama. Starlink nchini Nigeria, hugharimu takriban N276,000 (US$599) mara moja kwa ajili ya vifaa na kufunga hivyo vifaa, kisha hutoza ada ya usajili ya kila mwezi ya takribani N198,000 (US$43) = Sh107,715. Lakini unapata kasi ya 500Mbps.

Vodacom Unlimited internet kwa mwezi (fixed monthly charges); 20mbps kwa mwezi ni Sh115,000. 30mbps kwa mwezi ni Sh120,000. 50mbps kwa mwezi ni Sh150,000. 100mbps ni Sh250,000. 200mbps ni Sh400,000. 350mbps ni 600,000.

Nani bora? Starlink anayekupa 500mbps kwa Sh107,715 mwezi au Vodacom anayekupa 350mbps kwa Sh600,000 mwezi? Unahitaji akili ya kawaida kufahamu; Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari anaweza kuwa mnufaika wa magenge ya Mobile Network Operators (MNOs) ndiyo sababu hawataki StarLink?

Serikali inatakiwa kutambua kwamba uwepo wa Starlink haukusudiwi kuchukua nafasi ya watoa huduma wa mitandao waliopo nchini. Lakini badala yake kusaidia na kuimarisha huduma zao kwa kutoa huduma katika maeneo ambayo miundombinu isiyokuwa na uwezo mkubwa inakosekana.

Pia Starlink kwa ubora wao, mtandao wao unaweza kutumika kama mbadala wa watoa huduma wengine endapo kutatokea hitilafu au kukatika kwa primary network. Kuna wakati kuna ‘faults’ za mitandao Tanzania, kama Starlink wapo, wanaokoa huduma bila kusubiri primary network kutengemaa.

Rwanda ilikuwa miongoni mwa nchi chache zilizopewa fursa ya kujaribu muunganisho wa Starlink barani Afrika. Katika majaribio yaliyofanywa katika maeneo tofauti ya nchi, kasi ya Starlink ilifikia hadi 150 Mbps na utulivu (latency) chini ya 20 hadi 40 milliseconds (ms).

Kenya ni nchi ya sita Afrika kutoa leseni kwa Starlink baada ya Nigeria, Mozambique, Rwanda, Mauritius na Sierra Leone. Tanzania tunaogopa nini? Tunawalinda nani? TTCL? Hawa ambao wameshindwa hata biashara ya kutengeneza ‘vocha’ zao wenyewe? Zungumzeni na SpaceX.
Maandishi mengi ila ushuzi mtupu. Ndo maana Mwigulu alisema watu kama nyie mhamie Rwanda. Utaratibu wa Starlink ni wa hovyo mno kiasi kwamba nchini Zambia wanaotumia Starlink ni wachache mno. Ofisi zikiwepo Tanzania itasaidia kupata vifaa na huduma zao kirahisi badala ya huu mwanya wa kuwaachia madalali kazi ya kuwaagizia watu. Kosa walilofanya nchi zingine ndo hatutakiwi kulifanya sisi. Nalo ni Starlink kutokuwa na ofisi kwenye nchi husika. Ukitoa speed ya internet hakuna kingine chenye unafuu kwenye starlink. Hata wakipewa vibali leo hii hawataweza kuziyumbisha Vodacom, Tigi na wengine kwenye biashara zao. WANANCHI MASKINI HAMHUSIKI NA STARLINK. HIYO NI KWA AJILI YA WENYE FEDHA ZAO.
 
Maandishi mengi ila ushuzi mtupu. Ndo maana Mwigulu alisema watu kama nyie mhamie Rwanda. Utaratibu wa Starlink ni wa hovyo mno kiasi kwamba nchini Zambia wanaotumia Starlink ni wachache mno. Ofisi zikiwepo Tanzania itasaidia kupata vifaa na huduma zao kirahisi badala ya huu mwanya wa kuwaachia madalali kazi ya kuwaagizia watu. Kosa walilofanya nchi zingine ndo hatutakiwi kulifanya sisi. Nalo ni Starlink kutokuwa na ofisi kwenye nchi husika. Ukitoa speed ya internet hakuna kingine chenye unafuu kwenye starlink. Hata wakipewa vibali leo hii hawataweza kuziyumbisha Vodacom, Tigi na wengine kwenye biashara zao. WANANCHI MASKINI HAMHUSIKI NA STARLINK. HIYO NI KWA AJILI YA WENYE FEDHA ZAO.
Wewe ni kilaza na taahira kama huyo Mwigulu taahira mwenzako.
Umelazimishwa kununua ?
Coverage ya satelites based internet service ni more wide na reliable , inafika mpaka kwenye remote places ambapo fiber based networks ni ngumu kutandazwa ,
Speed ni kubwa ambayo ni karibia mara nne ya speed ya kutransmit data Kwa microwave towers na fiber networks na hizo sea cables .
Ni maeneo mengi humu humu Tanzania tena kwenye mikoa hii hii ambayo imepewa hadhi ya kuwa majiji hakuna huduma ya internet , watu wanaishi enzi za zama za mawe , ingekuwepo huduma ya starlink ,hayo maeneo yangefikiwa kwa haraka na kwa ufanisi mkubwa na watu wakawa civilised Kwa kupata huduma ya mawasiliano ya internet more reliable na Kwa muda mfupi .
Wewe ni mpumbavu usiyejua lolote ,ni bora ukae kimya .
Starlink ndio hawa hawa mpaka leo wanatoa huduma pale Ukraine baada ya miundo mbinu ya telecommunications ya Ukraine kuharibiwa na Russia , kuanzia kwa matumizi ya wananchi mpaka kwenye jeshi ,kuoperate mitambo ya mawasiliano na Gps kwenye uwanja wa mapambano ,ni Starlink ndio huduma zao zinatumika .

Sasa mpumbavu kama wewe usiyejua lolote kuhusu telecommunications unaandika upuuzi hapa na kuargue upuuzi .
Kakojoe ulale ,akili kisoda
 
Back
Top Bottom