Tatizo la kuwahi kufika kileleni kwa wanaume: Fahamu chanzo chake na namna ya kutibu tatizo hili

najua hizi dawa ni za depression/sonona na other mood disorders na moja ya side effects zao ni kushusha libido/nyege. nauliza kama zimepitishwa na wizara au FDA kutumika kwenye prematture ejaculation?
Kama ulivosema ni kweli hizi dawa zinasaidia ku maintaining mood balance kwenye ubongo, nervous na misuli na tumizi lake kuu ni premature ejaculation kuhusu tfda kupitisha kwa tumizi hilo cwez kukujibu ndio au hapana kwakuwa tunajua wakizitangaza zitaleta matatizo ktk jamii kama ulivosema hapo juu "too much is harmful" ila fanya research nenda big pharmacy zikague zina nembo ya tfda then leta mrejesho kwa faida yetu sote
 
Dawa zangu ninazo tibia zina uhakika wa kutibu maradhi karibu yot unayo yajuwa na hazina madhara kwa afya yako. Tangu nianze kutibia miaka 30 iliyopita hakuna hata mtu mmoja aliye lalamika kuwa dawa zangu zimemdhuru nina shukuru Kwa Mungu Dawa zangu zinasaidia sana.

View attachment 438149
Fungua uzi kwa faida ya wanajf wote si unajua hili now ni tatizo la taifa?
 
2. Mazoezi: Kufanya mazoezi, mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwa hiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujenga tabia ya kufanya mazoezi ambayo husaidia kukujengea afya njema na kukupa mzunguko mzuri wa damu. Kama una mwili wenye afya basi inaweza kukusaidia kwa namna ya kifikra ambazo huchangia kwenye suala zima la kuwahi kufika kileleni. Hii hutokana na kuongeza kujiamini na kujihusudu

2.
Vuta Pumzi ya kutosha
Pumua vizuri na kikamilifu, kiungo chochote cha mwili huhitaji nguvu kamili ili kufanya kazi na ndivyo ilivyo kwa habari ya viungo vya uzazi! Unapopumua vizuri na kwa ukamilifu, kiungo hiki hupata nguvu za ziada. Jaribu kupumua kwa ufasaha ili mwili uweze kupata hisia kabla ya kuanza kufanya msuguano. Kwa mfano unapofanya mapenzi inapofikia hatua unataka kukojoa stopisha kufanya na vuta pumzi ya kutosha

3. Mazoezi ya kukojoa mkojo
Wakati unapokwenda kukojoa mkojo, fanya yafuatayo kojoa kwa sekunde mbili then stopisha mkojo, rudia tena kukojoa mjojo kwa eskunde tatu alafu stopisha tena. Fanya mara kwa mara kwa muda wa siku 14 hii pia yasemekana imesaidia baadhi ya watu LAKINI wa watu wenye tatizo la kibofu cha mkojo usijaribu hiii, may cause more problems

4. Team work
Mshirikishe mwenzako kikamilifu, kuridhika kimapenzi ni tukio ambalo wote wawili mnaridhika kikamilifu. Ili kujifunza kujizuia kufika kileleni haraka, ni vizuri kuwasiliana na mwenzi wako wa kimapenzi. Anaweza akakusaidia kushinda tatizo hili la kiaibu, kila unapohisi unataka kukojoa mapema, sema ‘ngoja’ na usitishe kwanza shughuli zote kwa muda kidogo

5. Maandalizi ya Kisaikolojia
Maandalizi kifikra ni mabaya sana, kwa mfano upo ofisini na unajua jioni unakwenda kufanya mapenzi basi jitahidi usiwaze hivyo kabisa. Hii ni mbaya saya maana hormones zinasogea karibu sana unaweza hata kuishia kwenye mapaja ya mwenzi wako. Hata kama una miadi na mwenza wako au unamwndaa mpenzi wako chukulia kama ni kitu ca kawaida sana. Au ukisha mseti mwenza wako jitahidi kusahau kama unakwenda kucheza huo mchezo siku ya hiyo.

6. Movie
Usiangalie movie za mapenzi yenye ‘style’ zenye kuchochea kufika kileleni haraka. Ungaliaji wa movie za namna hii huchochea zaidi kupandisha ashki na mukari wa kufanya mapenzi ambapo unapokutana na mwenza hata kuingiza ni shida na huishia kwenye mlango wa uzazi wa kike. Hii ni kwa sababu kuongeza ari ya kuwaza tendo la ndoa pia inaongeza msisimko kiasi kwamba ukimgusa mpenzi wako tayari umekwishaachia hata kabla ya kuingiza.


7. Thoughts Diversion
Hii techniques inamaanisha kuhamisha mawazo, kwamba unapofanya mapenzi inapofikia hatua unataka kuachia stopisha alafu hamisha mawazo yako kabisa kwenye hilo tukio. Unaweza kufikiria kitu kingine tofauti kabisa mfano unaweza kuwaza watu wanaokudai fedha na kadhalika, kuwaza kitu kingine cha kipumbavu ambacho kitakuondoa kwa muda kwenye eneo hilo just for one minute. Then unaweza kuendelea kama ile haali ya kukojoa imepotea, ni ngumu sana lakini just try

8. Style za Mapenzi
This is another killer for early ejaculation. Kuna baadhi ya style za mapenzi inapendekezwa kufanya baadha ya shoti ya kwanza ndo utumie. Kwa mfano unapoanza kufanya na style ye mbuzi kagoma au chuma mchicha hapo unatafuta balaaa aisee hasa kwa wale ambao wameadhirika na tatizo la kukojoa mapema, hii ni kwasababu style hiyo inakuwa na msisimko wa hali ya juu sana ikimabatana na constriction kwa wote wawili na haitakuchua hata dakika ushaachia wazungu weupe. Hii ni kwasababu shoti ya kwanza huwa ipo karibu sana uilinganisha na shoti ya pili, tatu na kuendelea.
Natumaini kwa leo hizi technieque nane zinaweza kukusaidia kwa namna moja au nyingine

Have wondeful controlled sex!
but remember
HIV is there and it KILLS!!!
 
Tupe chapisho la kisomi ambalo limefanya research hii ili tufanye reference, si kila muhuni yeyote sasa na yeye anajifanya mtafiti.
 
Back
Top Bottom