Poleni sana mliofikwa na haya majonzi ya ghafla.
Tuwaombee wote marehemu ambao wametanhulia kwa muumba wao, pia na sisi tupo nyuma yao.
Hapa dunia tupo safarini, kila mmoja ataondoka kwa namna anayoijua muumba wake.
Pole sana PakaJimmy .. Hakika huu ni msiba mzito sana kwa watanzania wote kwa ujumla.... Mungu awatie nguvu wazazi wote walioondokewa na watoto wao wapendwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.