MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,160
- 5,402
Poleni sana ndg zetu.
Cjakupata bdo bimdashi... ya1 ndo?Tumeweka page ya1 my dear
Arusha wing tunasikitika kutangaza kifo cha mtoto wa member mwenzetu PakaJimmy kilichotokea leo hii kwa ajali ya basi la shule,ni kati ya wale wanafunzi wa Lucky Vincent...
Ni msiba mzito mno mno kwa mzazi yeyote kumpoteza mtoto hasa katika mazingira kama haya ya ghafla,unaagana na mwanao vizuri asubuhi ghafla unasikia amezimika kama mshumaa. Msiba upo nyumbani kwake kwa mromboo, PJ rafiki zako tuko nawe katika hili,
Ni majonzi makubwa mno... Arusha wing tunaungana na wote waliokumbwa na msiba huu mkubwa,Mwenyezi Mungu awatie nguvu,tuko pamoja kwenye hili...
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe...
Baada ya baadhi ya kuomba no ya mchongo tunaomba michango yote ielekezwe kwa 0754288808 jina la usajili ni Pamela Lyamuya... No hii ndo imeteuliwa na Arusha wing kupokea michango
Cc Preta Filipo marejesho LiverpoolFC n.k
Apo sawa..Ukurasa wa kwanza