Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na Askofu wa Jimbo la Mbinga, Mhashamu , Emmanuel Mapunda wenye makao makuu ya jimbo hilo mjini Mbinga baada ya ziara yake ya kukagua maendeleo ya kilimo wilayani humo May 5, 2009. Kulia ni Mkewe Tunu
Aaah GT......
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Maaskofu na viongoizi wa Jumuiya ya Kikristu Tanzania (CCT) wakati alipofungua mkutano wao mjini Dodoma Juni 4, 2009.
Hivi kwa nini viongozi wengi wa Tanzania muda wote wameshikilia simu zao?
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Profesa David Mwakyusa ambaye pia ni Mbunge wa Rungwe Magharibi akizungumza na mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 9, 2009