Tanzania hatuna team ya kuingia semi final ya caf champions league, acheni hype

Danielmwasi

JF-Expert Member
May 3, 2021
1,166
2,210
direct to the point, simba na yanga are very small teams in Africa to qualify for the semi - finals. you need
1: experience
2. quality players
3. luck
4. money
5. leadership
6. fans
7.great manager
8. good facilities

tunahitaji atleast 10 years ya kucheza quarter finals to reach the finals. 5 years to reach the semi finals.


acheni hype. tulieni mtapata aibu. mkiweza fanyeni kaZi acheni mpira wa siasa. maneno mingi amna timu ya defenders na mzinze mawenge

yanga yanga kelele nyingi team ya guede na gamondi. acheni siasa tulieni
 
direct to the point, simba na yanga are very small teams in Africa to qualify for the semi - finals. you need 1: experience 2. quality players 3. luck 4. money 5. leadership 6. fans 7.great manager

tunahitaji atleast 10 years ya kucheza quarter finals to reach the finals. 5 years to reach the semi finals.


acheni hype. tulieni mtapata aibu. mkiweza fanyeni kaZi acheni mpira wa siasa. maneno mingi amna timu ya defenders na mzinze mawenge

yanga yanga kelele nyingi team ya guede na gamondi. acheni siasa tulieni
Simba tunakosa 2,5 na 7..
Kwa experience nafikiri Tunayo
 
Tulianza msimu uliopita kombe la Shirikisho Afrika

_Kwamba hawana uwezo wa kufika makundi shirikisho
_Hawana uwezo wa kuwafunga sijui akina river united,
_Hawana uwezo wa kwenda robo fainali shirikisho
_Hawana uwezo wa kufika nusu fainali
_Hawana uwezo wa kumfunga mwarabu kwao

Yote hayo wananchi tukayafanya bila hiyana

Msimu huu mlianza kama msimu uliopita...
Sisi tutaongea mwisho wa safari yetu maana bado haijaisha...

Ndio kawaida yetu wana Yanga... Maneno machache vitendo vingi
 
Tulianza msimu uliopita kombe la Shirikisho Afrika

_Kwamba hawana uwezo wa kufika makundi shirikisho
_Hawana uwezo wa kuwafunga sijui akina river united,
_Hawana uwezo wa kwenda robo fainali shirikisho
_Hawana uwezo wa kufika nusu fainali
_Hawana uwezo wa kumfunga mwarabu kwao

Yote hayo wananchi tukayafanya bila hiyana

Msimu huu mlianza kama msimu uliopita...
Sisi tutaongea mwisho wa safari yetu maana bado haijaisha...

Ndio kawaida yetu wana Yanga... Maneno machache vitendo vingi
Tunawasukutua ngumi za midomo tu
1711974304916.png
 
Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
direct to the point, simba na yanga are very small teams in Africa to qualify for the semi - finals. you need
1: experience
2. quality players
3. luck
4. money
5. leadership
6. fans
7.great manager
8. good facilities

tunahitaji atleast 10 years ya kucheza quarter finals to reach the finals. 5 years to reach the semi finals.


acheni hype. tulieni mtapata aibu. mkiweza fanyeni kaZi acheni mpira wa siasa. maneno mingi amna timu ya defenders na mzinze mawenge

yanga yanga kelele nyingi team ya guede na gamondi. acheni siasa tulieni
English imdpungua eeh? Afadhali maana inasikitisha sana ku murder lugha za watu.
It is only four days to go why are yo so impatient? Patience is a virtue.
But a little advice from Mark Twain :
"It is better to keep your mouth closed and let people think you are a fool than to open it and remove all doubt."
 
Kila jambo Lina mwanzo,msimu uliopita yanga kacheza final cafcc
Msimu huu kaingia robo mbele ya team kutoka Algeria tena bingwa wa ligi pale kwao
Ka draw na Mamelody tena akiwa na kikosi ambacho kina upungufu wa wachezaji tegemezi
Huenda huu ndio mwanzo wa kufikia hiyo hatua na pengine kuchukua kombe
1.luck yanga wanayo kwa Sasa
2.uongozi unajitahidi sana (kumbuka Andre Mtine si mtu mdogo kwenye soccer la vilabu afrika)
3.Fedha IPO si kama zamani
4.Quality player wapo kwa level za afrika
Final tunaweza kucheza na kuleta ushindani changamoto ni pale tutakapokutana na Madrid kule duniani itatusumbua sana
 
direct to the point, simba na yanga are very small teams in Africa to qualify for the semi - finals. you need
1: experience
2. quality players
3. luck
4. money
5. leadership
6. fans
7.great manager
8. good facilities

tunahitaji atleast 10 years ya kucheza quarter finals to reach the finals. 5 years to reach the semi finals.


acheni hype. tulieni mtapata aibu. mkiweza fanyeni kaZi acheni mpira wa siasa. maneno mingi amna timu ya defenders na mzinze mawenge

yanga yanga kelele nyingi team ya guede na gamondi. acheni siasa tulieni
Mbona kama una kinyongo! Shida ni nini? Na vipi ikitokea hiyo Yanga ikafuzu! Utakuja na ngonjera ipi tena?
 
direct to the point, simba na yanga are very small teams in Africa to qualify for the semi - finals. you need
1: experience
2. quality players
3. luck
4. money
5. leadership
6. fans
7.great manager
8. good facilities

tunahitaji atleast 10 years ya kucheza quarter finals to reach the finals. 5 years to reach the semi finals.


acheni hype. tulieni mtapata aibu. mkiweza fanyeni kaZi acheni mpira wa siasa. maneno mingi amna timu ya defenders na mzinze mawenge

yanga yanga kelele nyingi team ya guede na gamondi. acheni siasa tulieni
YANGA anapita nikooo palee na DRW ya magoli
 
Back
Top Bottom