'Tanganyika' imetawaliwa na wakoloni kwa muda gani?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,447
13,133
Habari. Hivi hili eneo ambalo leo ni Tanganyika, limetawaliwa na wakoloni kwa muda wa miaka mingapi. Mkutano wa Berlin ulifanyika mwaka 1885. Lakini hadi mwaka 1898 Mkwawa alikuwa akipigana na wajerumani.

Mwaka 1907 vita ya majimaji ikaisha. Mpaka wakati huu mkoloni alikuwa ameishaweka mizizi yake kwenye enoe lote la Tanganyika?

Najua sehemu mbalimbali ziliwatawaliwa kwa wakati tofauti, mfani miji ya pwani ilikuwa chini ya waarabu kwa miaka mingi kabla.

Sasa, tunavyosema Tanganyika ilitawaliwa na wakoloni, ilitawaliwa kuanzia mwaka gani? ilitawaliwa kwa miaka mingapi?
 
Hapo ndo wazungu wanajichanganya sana hapo!!.........hivi mutu nyeyote uta tawala vipi kwa kupigana vita iliyo gharimu Maisha ya watu wako!! katika pori uliloingia na kujitwalia watumwa kiasi unacho taka???

kwa nini ukapeleleze kwenye Mapori ya wafa hoi watumwa?? si ulikuwa unabeba tu unapeleka ulaya na USA?? kwanini ukapeleleze na hatimaye kutawala kijiji chako unacho kijua??

Ni wazi biashara ya utumwa ni changa la macho tu!! hawana lolote hao tumewastukia! hawakuuza ntu!
 
Habari. Hivi hili eneo ambalo leo ni Tanganyika, limetawaliwa na wakoloni kwa muda wa miaka mingapi. Mkutano wa Berlin ulifanyika mwaka 1885. Lakini hadi mwaka 1898 Mkwawa alikuwa akipigana na wajerumani.

Mwaka 1907 vita ya majimaji ikaisha. Mpaka wakati huu mkoloni alikuwa ameishaweka mizizi yake kwenye enoe lote la Tanganyika?

Najua sehemu mbalimbali ziliwatawaliwa kwa wakati tofauti, mfani miji ya pwani ilikuwa chini ya waarabu kwa miaka mingi kabla.

Sasa, tunavyosema Tanganyika ilitawaliwa na wakoloni, ilitawaliwa kuanzia mwaka gani? ilitawaliwa kwa miaka mingapi?
Lycoon,
Waarabu walikuwa wakiishi Tanganyika kwa miaka mingi lakini hawakuwa watawala.

Hili liko wazi.
 
Lycoon,
Waarabu walikuwa wakiishi Tanganyika kwa miaka mingi lakini hawakuwa watawala.

Hili liko wazi.
Sijajua hasa uhusiano na wenyeji ulikuwaje. Ila walianzisha miji kama Tabora, na moja ya vita yao na Mirambo ilikuwa kupinga ubwana wao. Na waandishi wengine wanadai hali ya waarabu wa Tabora ilidhoofu sana baada ya kuingia wajerumani, maana wenyeji hawakuwatumikia tena.
 
Sijaua hasa uhusiano na wenyeji ulikuwaje. Ila walianzisha miji kama Tabora, na moja ya vita yao na Mirambo ilikuwa kupinga ubwana wao. Na waandishi wengine wanadai hali ya waarabu wa Tabora ilidhoofu sana baada ya kuingia wajerumani, maana wenyeji hawakuwatumikia tena.
 

Attachments

  • VID-20230204-WA0008.mp4
    6.1 MB
Back
Top Bottom