Taja beats za nyimbo kali zaidi kuwahi kutengenezwa Tanzania

Nakupenda mpenzi - Dudubaya (Prod Mika Mwamba)

Hawana Habari - Jos Mtambo Prod. D Money

Mtazamo - Sele, Solo na Jizze (Prod P Funk )

Usiulize - Rado ( Prod. In Baucha Rec)
 
Mimi naikubali hii

Pig Black ft Ay - Mtoto wa mjini
Beat hizi

She got gwan mangwear
Hiii leo kina gk producer alikuwa mahundi

Tamara nyimbo ya hardmad producer mika mwamba

Prof jay ft feroos ule wimbo nafsi yangu nilikuwapa uitunze mpenzi na anasa za jiji zikachanganya ...producer p funk ...pia beat lilipendwa sana na chameleon wa uganda akaliomba

Tunakuja hata kenya kuna beat ya noniiiii wimbo unaitwa kadhaaa nimemsahau producer wake

Ila pia rado kwenye beat usiulizeee lile beat naloo nyokooo machine aliproducer pfuck nahisi


N last bwana misosi wimbo wa bwana misosi saa naimba ile beat nayo ilipendwa na wasanii wawili bwana misosi akampa ile beat jamaa anaitwa man x nae akamshrikisha dully skykes ngoma nimchezea bahati beat nyoko sana ile

Bonus beat kabisa ni 2008 wimbo wa mr blue tabasam asee beat tam lile ....sasa upate ila tabasam original mwishoni kuna mtaala analalamika anaitwa qchief wewe....tabasam original ya q chief ni moto plus beat

Niishiie hapa au niwape ya mwishoooo hii sasa ni ngoma ya dini inaitwa yesu ni bwana released in 1999 baada ya chidumule kuokokaa akaacha mambo kuimba na kina doctor remmy akatoa hii machine ina vinanda humo balaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom