Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 925
- 4,317
Last week ndugu yangu aliumia mgongo kwa kusukumwa akipanda Mwendokasi Kariakoo. Nilitoka Mwanza kwenda kumsalimia kisha nikaenda kujionea mazingira yaliyopelekea yeye kuumia.
Naomba niseme tu kwamba kwa hali ilivyo kituo cha Msimbazi na Gerezani sitashangaa kukatokea kifo.
Kwa namna watoto wanavyosukumwa na jinsi abiria wanavyogombania magari tutapata maafa.
Niwaombe viongozi wa Mwendokasi na viongozi wa serikali, itasikitisha sana kujitokeza kuomboleza vifo vya wanafunzi katika kituo cha Msimbazi, Kivukoni,Gerezani, DIT,Fire, Korogwe na Kimara. Naandika just kutoa taadhari nikitambua sikio la kufa alisikii dawa
Naomba niseme tu kwamba kwa hali ilivyo kituo cha Msimbazi na Gerezani sitashangaa kukatokea kifo.
Kwa namna watoto wanavyosukumwa na jinsi abiria wanavyogombania magari tutapata maafa.
Niwaombe viongozi wa Mwendokasi na viongozi wa serikali, itasikitisha sana kujitokeza kuomboleza vifo vya wanafunzi katika kituo cha Msimbazi, Kivukoni,Gerezani, DIT,Fire, Korogwe na Kimara. Naandika just kutoa taadhari nikitambua sikio la kufa alisikii dawa