Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,230
- 4,755
Wadau hamjamboni nyote?
Nimeona niwape tahadhari kabla ya kuwatakia usiku mwema
Ni kwa wale Ndugu zangu wanaopenda kunywa uji wa ulezi kama mimi hapa.
Huu ni utafiti usio na chembe ya uongo kuhusu uji wa ulezi unaouzwa kwa kutembezwa barabarani na Wamama hususani hapa Dar es salaam
Inadaiwa kuwa uji huo huwa unachanganywa kwa ufundi mkubwa na mchele uliosagwa.
Sababu ni gharama kubwa za unga wa Ulezi hivyo wauzaji huchanganya na mchele ili kuufanya uji huo uwe mzito na hivyo kumpatia muuzaji faida huku mnywaji akikosa virutubisho muhimu
Unashauriwa kuwa makini na matumizi ya uji huo unaotembezwa barabarani vinginevyo nenda sokoni nunua unga kisha mpatie mkeo akuandalie
Njia rahisi kugundua mchanganyo huo haramu kwa wazoefu ni ladha tu ya uji kuwa siyo ya kawaida
Ucku mwema
Nimeona niwape tahadhari kabla ya kuwatakia usiku mwema
Ni kwa wale Ndugu zangu wanaopenda kunywa uji wa ulezi kama mimi hapa.
Huu ni utafiti usio na chembe ya uongo kuhusu uji wa ulezi unaouzwa kwa kutembezwa barabarani na Wamama hususani hapa Dar es salaam
Inadaiwa kuwa uji huo huwa unachanganywa kwa ufundi mkubwa na mchele uliosagwa.
Sababu ni gharama kubwa za unga wa Ulezi hivyo wauzaji huchanganya na mchele ili kuufanya uji huo uwe mzito na hivyo kumpatia muuzaji faida huku mnywaji akikosa virutubisho muhimu
Unashauriwa kuwa makini na matumizi ya uji huo unaotembezwa barabarani vinginevyo nenda sokoni nunua unga kisha mpatie mkeo akuandalie
Njia rahisi kugundua mchanganyo huo haramu kwa wazoefu ni ladha tu ya uji kuwa siyo ya kawaida
Ucku mwema