A
Anonymous
Guest
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya ma lecturer wa chuo kikuu cha SAUT Mwanza kuwa wanapekua simu za wanafunzi upende wa messages.
Hii mara nyingi inatokea pale mwanafunzi anapoingia darasani kwa kuchelewa kidogo na hapo lecturer anamuomba mwanafunzi simu na kuanza kupekua sms, na ikitokea mwanafunzi amekataa kutoa simu basi lecturer anatishia kumfelisha mwanafunzi.
Hii tabia inakera kwani inavunja privacy za wanafunzi.
Hii mara nyingi inatokea pale mwanafunzi anapoingia darasani kwa kuchelewa kidogo na hapo lecturer anamuomba mwanafunzi simu na kuanza kupekua sms, na ikitokea mwanafunzi amekataa kutoa simu basi lecturer anatishia kumfelisha mwanafunzi.
Hii tabia inakera kwani inavunja privacy za wanafunzi.