Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,638
Hizi ni tabia ambazo zimeanza kuwa sugu kwa watoto wa kike ambazo kwa bahati mbaya hazina faida na ndizo chanzo kikubwa cha watoto wa kike wa miaka hii kufeli katika mahusiano na kuwa na maisha yasiyo na direction ya kueleweka katika jamii hata pale wanapokuwa na mafanikio.
Ukipita huko mtaani utakuta kuna watoto wa kike wakilalamika sana na kuona kama kuna ubaya wanafanyiwa na wanaume ila hata maneno ya busara husema kuwa, kabla haujalaumu mtu kukusababishia tatizo jiulize wewe una mchango gani juu ya hilo tatizo.
1. Tabia ya kujilinganisha na jinsia ya kiume.
-Hapa ndipo nuksi zinapotafutwa. Kwa miaka mingi kampeni za kifeminist na wanaharakati wa nchi za magharibi ambao wameambukiza na wanaharakati wa mataifa yanayochipukia kama Tanzania zimelenga katika kumshusha mwanaume katika nafasi yake na kumuweka mwanamke badala ya kutetea haki za kimsingi za mwanamke. Kimsingi wamepoteza lengo la msingi.
Miaka hii wanawake wanatia jitihada katika kushindana na kujilinganisha na mwanaume badala ya kuwa wao kama wao. Hii huwa mo dosari kubwa sana kwa mwanamke, maana hakuna mwanaume wa kueleweka atakuja kukusogolea mwanamke kiburi au unaemletea jeuri za kujishindanisha nae.....hapo hakuna heshima hata kidogo.
2. Kutoheshimu miili yao.
- Mwili wa mwanamke anayejisitiri na kuuficha machoni pa walafi wa ngono huwa una usalama na mvuto wa heshima. Leo hii wanawake wengi wao hawaheshimu miili yao kwa wao wenyewe kusababisha hivyo.
Aidha kupitia mavazi yasiyo na staha (wao huyaita mapigo), ambayo huvaliwa kwa kuexpose maeneo ya miili yao na kuwavutia wanaume wapenda ngono na si wanaume ambao hutaka utulivu na upendo katika maisha. Tabia hii imesababisha vilio vingi vya kuchezewa, au kusalitiwa au kutumiwa na wanaume wapenda ngono kisha lawama zikaelekezwa katika kada yote ya wanaume.
3. Tamaa ya mali na vitu vya mpito
Wanawake wengi ni wahanga wa tamaa ya vitu vya kidunia ambavyo hupotea na muda. Hii imepelekea wengi kutokuwa na misingi imara ya upendo wa dhati na badala yake wameambukizana kasumba ya kupenda vitu badala ya mtu na mwishowe wameonekana takataka mbele ya wanaume wenye pesa zao na kushuka thamani kwa wanaume wenye mapenzi ya kweli.
4. Kujirahisi
Watoto wa kike wengi miaka hii wamekata tamaa sana juu ya future zao. Unaweza kuta binti anawasiliana kimahaba na wanaume zaidi ya kumi na yeye anajionea sawa tu hakuna shida. Hili linajidhihirisha kwa namna wanavyokuwa wepesi kujitongozesha au kutoa nafasi kwa wanaume zaidi ya m'moja kwa wakati kwa kisingizio kuwa mahusiano hayadumu, au wanatafuta faraja ya muda pale ambapo mahusiano yao yanapitia misukosuko ya kawaida au tu basi kujiruhusu kuwa na tamaa ya kutumika miili yao kwa mtu zaidi ya m'moja. Hii imeshusha thamani ya watoto wa kike wengi.
5. Kutokuheshimu vitabu vya MUNGU.
- Katika hali ya kawaida, kwa mtu yoyote anapojiweka mbali na mafundisho mazuri ya MUNGU ambayo hutumika kutulinda na pia kama muongozo wa mienendo yetu, then mtu huyu huwa katika hatari ya kupotea maisha yake yote na kujikuta pahala sio.
Kujifunza na kutii maneno ya MUNGU huwa ina mpa mtu ulinzi wa kuepuka na maovu pamoja na watu waovu na kumpa sura na haiba nzuri mbele ya jamii. Hata wale wanaume waovu hawatakuwa na ushawishi juu yake wakutaka kumtumia na kumharibia maisha yake.
Ila hali halisi haipo hivyo. Kwasasa mabinti wengi wanapata miongozo yao kupitia post za social media kama Instagram, Facebook na hata whastapp. Kwamba hizo ndizo zimekuwa ni bible zao kwa sasa na wanazifanyia kazi kweli kweli maneno ambayo yametungwa na kutengenezwa na binadamu wenzao. Usishangae kwann wengi leo hii kuharibikiwa katika maisha imekuwa ni swala la kawaida sana. Na lawama hutupiwa wanaume wote ila ujiulize ni mwanaume ndie aliyekuzuia kumjua MUNGU na kuheshimu maandiko yake.
6. Kutokuwa wawazi wa hisia na kuwa na michezo ya hisia.
- Miongoni mwa shida ya watoto wa kike now days ni kupenda michezo ya hisia wakati wa kufanya maisha serious.
Watoto wa kike wa leo anaweza kuwa na hisia na ww na asikwambie akitaka tu uhangaikie kujua yeye anajiskiaje juu yako. Hii huwakatisha tamaa watoto wa kiume wengi ambao tofauti na zama za wazazi wetu, wa kisasa wana mambo mengi kichwani na ni ngumu kubalance upuuzi na mambo ya msingi.
Unakuta binti anasumbua akili kisa tu anataka amuonyeshe mwanaume kuwa yeye sio mwepesi, ila cha ajabu binti huyo huyo, akija diamond atamla siku hiyo hiyo bila kumtongoza......hapo ndipo huwa hawaeleweki hawa viumbe....
Tabia zipo nyingi sana......siwasemi hapa ili mjisikie vibaya na kujibu, ila nawasema ili mjitafakari na kurejea misingi yenu ili tuokoe jamii yetu ambayo kwa sasa inaharibika kwa kasi sana.....
Tufanye kushare na zinginezo ambazo zikuzigusia hapa ili hawa viumbe wajifunze na kurekebisha....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipita huko mtaani utakuta kuna watoto wa kike wakilalamika sana na kuona kama kuna ubaya wanafanyiwa na wanaume ila hata maneno ya busara husema kuwa, kabla haujalaumu mtu kukusababishia tatizo jiulize wewe una mchango gani juu ya hilo tatizo.
1. Tabia ya kujilinganisha na jinsia ya kiume.
-Hapa ndipo nuksi zinapotafutwa. Kwa miaka mingi kampeni za kifeminist na wanaharakati wa nchi za magharibi ambao wameambukiza na wanaharakati wa mataifa yanayochipukia kama Tanzania zimelenga katika kumshusha mwanaume katika nafasi yake na kumuweka mwanamke badala ya kutetea haki za kimsingi za mwanamke. Kimsingi wamepoteza lengo la msingi.
Miaka hii wanawake wanatia jitihada katika kushindana na kujilinganisha na mwanaume badala ya kuwa wao kama wao. Hii huwa mo dosari kubwa sana kwa mwanamke, maana hakuna mwanaume wa kueleweka atakuja kukusogolea mwanamke kiburi au unaemletea jeuri za kujishindanisha nae.....hapo hakuna heshima hata kidogo.
2. Kutoheshimu miili yao.
- Mwili wa mwanamke anayejisitiri na kuuficha machoni pa walafi wa ngono huwa una usalama na mvuto wa heshima. Leo hii wanawake wengi wao hawaheshimu miili yao kwa wao wenyewe kusababisha hivyo.
Aidha kupitia mavazi yasiyo na staha (wao huyaita mapigo), ambayo huvaliwa kwa kuexpose maeneo ya miili yao na kuwavutia wanaume wapenda ngono na si wanaume ambao hutaka utulivu na upendo katika maisha. Tabia hii imesababisha vilio vingi vya kuchezewa, au kusalitiwa au kutumiwa na wanaume wapenda ngono kisha lawama zikaelekezwa katika kada yote ya wanaume.
3. Tamaa ya mali na vitu vya mpito
Wanawake wengi ni wahanga wa tamaa ya vitu vya kidunia ambavyo hupotea na muda. Hii imepelekea wengi kutokuwa na misingi imara ya upendo wa dhati na badala yake wameambukizana kasumba ya kupenda vitu badala ya mtu na mwishowe wameonekana takataka mbele ya wanaume wenye pesa zao na kushuka thamani kwa wanaume wenye mapenzi ya kweli.
4. Kujirahisi
Watoto wa kike wengi miaka hii wamekata tamaa sana juu ya future zao. Unaweza kuta binti anawasiliana kimahaba na wanaume zaidi ya kumi na yeye anajionea sawa tu hakuna shida. Hili linajidhihirisha kwa namna wanavyokuwa wepesi kujitongozesha au kutoa nafasi kwa wanaume zaidi ya m'moja kwa wakati kwa kisingizio kuwa mahusiano hayadumu, au wanatafuta faraja ya muda pale ambapo mahusiano yao yanapitia misukosuko ya kawaida au tu basi kujiruhusu kuwa na tamaa ya kutumika miili yao kwa mtu zaidi ya m'moja. Hii imeshusha thamani ya watoto wa kike wengi.
5. Kutokuheshimu vitabu vya MUNGU.
- Katika hali ya kawaida, kwa mtu yoyote anapojiweka mbali na mafundisho mazuri ya MUNGU ambayo hutumika kutulinda na pia kama muongozo wa mienendo yetu, then mtu huyu huwa katika hatari ya kupotea maisha yake yote na kujikuta pahala sio.
Kujifunza na kutii maneno ya MUNGU huwa ina mpa mtu ulinzi wa kuepuka na maovu pamoja na watu waovu na kumpa sura na haiba nzuri mbele ya jamii. Hata wale wanaume waovu hawatakuwa na ushawishi juu yake wakutaka kumtumia na kumharibia maisha yake.
Ila hali halisi haipo hivyo. Kwasasa mabinti wengi wanapata miongozo yao kupitia post za social media kama Instagram, Facebook na hata whastapp. Kwamba hizo ndizo zimekuwa ni bible zao kwa sasa na wanazifanyia kazi kweli kweli maneno ambayo yametungwa na kutengenezwa na binadamu wenzao. Usishangae kwann wengi leo hii kuharibikiwa katika maisha imekuwa ni swala la kawaida sana. Na lawama hutupiwa wanaume wote ila ujiulize ni mwanaume ndie aliyekuzuia kumjua MUNGU na kuheshimu maandiko yake.
6. Kutokuwa wawazi wa hisia na kuwa na michezo ya hisia.
- Miongoni mwa shida ya watoto wa kike now days ni kupenda michezo ya hisia wakati wa kufanya maisha serious.
Watoto wa kike wa leo anaweza kuwa na hisia na ww na asikwambie akitaka tu uhangaikie kujua yeye anajiskiaje juu yako. Hii huwakatisha tamaa watoto wa kiume wengi ambao tofauti na zama za wazazi wetu, wa kisasa wana mambo mengi kichwani na ni ngumu kubalance upuuzi na mambo ya msingi.
Unakuta binti anasumbua akili kisa tu anataka amuonyeshe mwanaume kuwa yeye sio mwepesi, ila cha ajabu binti huyo huyo, akija diamond atamla siku hiyo hiyo bila kumtongoza......hapo ndipo huwa hawaeleweki hawa viumbe....
Tabia zipo nyingi sana......siwasemi hapa ili mjisikie vibaya na kujibu, ila nawasema ili mjitafakari na kurejea misingi yenu ili tuokoe jamii yetu ambayo kwa sasa inaharibika kwa kasi sana.....
Tufanye kushare na zinginezo ambazo zikuzigusia hapa ili hawa viumbe wajifunze na kurekebisha....
Sent using Jamii Forums mobile app