MAWEED
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 3,376
- 11,364
Unajua nini kuhusu mikopo wewe,hiyo wanakwambia kabisa na unakubali mwenyeweKuwapa access haimaanishi watumie namba zake unless wametaja hicho kipengele.
Unajua nini kuhusu mikopo wewe,hiyo wanakwambia kabisa na unakubali mwenyeweKuwapa access haimaanishi watumie namba zake unless wametaja hicho kipengele.
Unafanyeje Mkuu?Hiyo access uliwapa wewe mwenyewe....
Mara ya kwanza ulipoanza kutumia hiyo app ilikutaka uruhusu matumizi kama location,storage na some authority options ndio maana yamekutokea hayo....
Hao dawa yao simu inakua rooted,Una remove acces ya contact unawaomba mkopo,wanakupa....
Unafungua lucky patcher unaedit custom firmware za app halafu unafuta na application
Sina maana kwamba mimi ni bora sana mkuu ila kwenye mazingira ya uhitaji kuna umuhimu wa kuwa na watu wawili au watatu mnapaswa muwe mna-share shida ndogo ndogo.watoto wakishua hamuwezi kuelewa huu mtiti kuna wengine kwenye circle zetu sisi ndio wenye nafuu
shida si mikopo shida ni sheria, kuruhusu access ya contacts haimaanishi umeruhusu wazitumie unless kuna kipengele kimesema hivyo. kunauliza allow .... to access contacts nikajibu yes, haimaanishi nmekuruhusu uzitumie piaUnajua nini kuhusu mikopo wewe,hiyo wanakwambia kabisa na unakubali mwenyewe
Sasa usilipe ndani ya siku hizo ulizopewa halafu uone Moto unavyowaka utakavyotangazika mpaka makaburinishida si mikopo shida ni sheria, kuruhusu access ya contacts haimaanishi umeruhusu wazitumie unless kuna kipengele kimesema hivyo. kunauliza allow .... to access contacts nikajibu yes, haimaanishi nmekuruhusu uzitumie pia
mmi binafsi phone book yangu ina majina zaid ya buku ila nikiwa na changamoto nikiwakosa watu watatu maana yake nimekwishaSina maana kwamba mimi ni bora sana mkuu ila kwenye mazingira ya uhitaji kuna umuhimu wa kuwa na watu wawili au watatu mnapaswa muwe mna-share shida ndogo ndogo.
Sizungumzii shida za laki+ hapana ni hizi hizi za 20K 10K so kwa situation ya jamaa hapa angekuwa na hao watu akawagusa wawili au wote asingeikosa hiyo 40K.
Nisieleweke vibaya tafadhali.
Hapa hatuzungumzii moto, tunazungumzia kama jamaa anaweza kuwachukulia hatua za kisheria.... hayo ya moto tuachane nayo. Hapa kinachozungumziwa ni je, walikiukaSasa usilipe ndani ya siku hizo ulizopewa halafu uone Moto unavyowaka utakavyotangazika mpaka makaburini
Kampuni zote unazozijua wewe zinazokopesha hela ni lazma utangazikeHapa hatuzungumzii moto, tunazungumzia kama jamaa anaweza kuwachukulia hatua za kisheria.... hayo ya moto tuachane nayo. Hapa kinachozungumziwa ni je, walikiuka
Ni vile watanzania tunaogopa kwenda mahakamani ndio maana wachache wanaoenda wanaishia kuvuna mahela kama akina AY na tigo.... Hicho kitu wanachofanya hakiwezi kuwa sawa kabisa.Kampuni zote unazozijua wewe zinazokopesha hela ni lazma utangazike
Yajayo yanafurahisha zaidi 🤣🤣🤣Huenda ni mimi nilifanya makosa kwa kutopitia terms & conditions vizuri ila hawa jamaa walicho nifanyia ni uzalilishaji mkubwa sana.
Kuna app moja mtandaoni (play store) inaitwa "PESA M FINANCE".
Hawa jamaa walinikopesha elfu 42 mtandaoni kwa muda wa siku 7.
Siku jana nilitakiwa ndiyo nilipe, na jana hiyo nilikuwa kazini nikitegemea nitoke kazini jioni niwalipe pesa yao.
Lakini nashangaa jana mida ya mchana saa saba, watu wanaanza kunitumia kunipigia simu na kunifoadia sms kuwa nadaiwa.
Kumbe hii kampuni ilichofanya baada ya kunikosa hewani jana mda flani, wakatuma sms kwa watu wote walioko kwenye phone book yangu (watu zaidi ya 200) kuwajuza kuwa wananidai na nataka kuwatapeli.
Nikawa napata simu ngingi sana kutoka kwa hao watu waliotumiwa hiyo sms.
Aisee niliona ni udhalilishaji sana hii kampuni imenifanyia.
Sasa nikajiuliza walipataje majina yaliyopo kwenye simu yangu, hapo ndipo nilipokumbuka kwenye app yao ukiwa unafungua kuna sehemu itaandika "allow access to your contacts, messeges n.k" hapo ndipo walipopata majina ya phone book yangu.
Sasa tangu jana hiyo nimekosa raha kabisa baada ya kuzalilishwa na mimi nimeamua kutowalipa mpaka sasa.
Nimepata wazo la kutafta mwanasheria nikawafungulie kesi ya kunidhadhalisha wanilipe fidia, kwanini wanidhalilishe wakati dead line ya malipo ilikuwa bado haijapita
View attachment 2910966View attachment 2910967
Ameshaona wewe ni kimeoHaya maujuzi kwangu kidogo sikuwa nayo mkuu.
Ila nimedhalilika pakubwa sana, hadi kuna demu naona ni kama ananiacha hivi kwa sababu ya sms aliyotumiwa
Ndio tena wanachukua contact zako zote kwenye Simu Kisha linafunguliwa group lenye jina laW
Wanafanyaga hivo ?
Basi kumbe bado wanaweza wakanifanyia
Hiki ndo nilichowafanyia PESA X mbwa wale, nimepita na 80000 yao, na kunishika hawawezi, shenzi kabisa yani mtu ukikaa tu siku tatu bila kuwalipa wanaaza usumbufu wa kingese.Hiyo access uliwapa wewe mwenyewe....
Mara ya kwanza ulipoanza kutumia hiyo app ilikutaka uruhusu matumizi kama location,storage na some authority options ndio maana yamekutokea hayo....
Hao dawa yao simu inakua rooted,Una remove acces ya contact unawaomba mkopo,wanakupa....
Unafungua lucky patcher unaedit custom firmware za app halafu unafuta na application
Kukushika ni ngumu sana mkuu, kuwa na amani ni mikwara tu ile, mimi pesa x wameuamua kunipotezea wenyewe tu.Wananitishia kuwa watanitafta niwatejeshe na gharama walizotumia, au ni mikwara tu.
Sema wameniaibisha sana
Kama laini uliyojiunga nayo ukaamua kuivunja hapo hawapati kitu, maana wao wanategemea zaidi activation ya laini na location.Backup ya taarifa zake ziko kwenye system yao. Hata akifuta hiyo app wao bado wanazo