Swali Korofishi: Ni jambo gani limetokea Uchaguzi Mdogo ambalo halikuwahi kutokea kabla?

Mkuu suifananishe visivyo fanana, nadhani hujuhi kilichotokea arusha kwenye umea,
au nikukumbushe tu, kuwa kilichotokea ni CDM walisusa upigaji kura bila kujua kuwa walishasinishwa fomu za posho amabzo zilikuja kutumika kuhalalisha AKIDI na UHUDHURIAJI wao wa kikao hicho cha uchaguzi, ambacho kilitangazwa gafla bila wao kujua kuwa siku hiyo ni ya uchaguzi.

hapa leo tuna zungumzia kutokuwepo kwa mawakala vituoni either kwa kunyimwa barua, kutekwa, kupigwa, kufukuzwa wakiwa vituoni na kufanyiw ahayohayo mawakala wakuu(naamini unajua kazi za wakala mkuu)
Mkuu wakati wewe unaangalia kitukio kidogo ktk uchaguzi wa marudio wa madiwan Mimi nimekupa reference kibao za matukio ya kinyama kibao ktk uvunjaji wa democracy. Ukitaka kufananisha hali ya democracy ya sasa na ya huko nyuma jitaid usiwe selective ktk kukumbuka matukio.Huko nyuma yametokea mengi sana.HUWEZI linganisha umwagaji damu wa arusha 2011 na vimatukio vya uchaguzi wa juzi.Ukiacha watu waliouawa kuna watu walivunjwa miguu.Na sio tukio hilo tu.Na kama uvunjaji wa democracy zaman ulikua wa kawaida basi huko Zanzibar CCM ingekuwa imetoka madarakan kitambo sana.
 
Kwa hiyo wataka tushangilie na kukitukuza kilichotokea?! Watu wenye exposure na kuishi nchi zilizostaarabika huwa wqnanishangaza sana kwq unafiki wenu,boOra mmoja kajiandikia signature kabisa kuwa "Miafrika ndivyo tulivyo"

Mbunge wa CHADEMA na wanachama 38 wafungwa kamba za shingo na Polisi baada ya pingu kukosekana

2020 huyu bwana atamwaga damu zaidi ya Idd Amini na mipumbavu inayonufaika itafurahia na kupongeza!!!
unasema kama.... huyu ni Zaidi ya Idd Amini Dada!! Subirini mtakapoona anabadili katiba na kubaki madarakani milele... yangu macho.
 
Yaliyotokea awamu zilizopita haikuwa sawa ila CCM walikuwa hawashindi kata zote pamoja na kuwa walikuwa wanaiba kura. Hiyo ndio tofauti
 
Mwanakijiji usijisumbue kufikiri, ikiwa mwenyekiti ni yule yule na watu wanao msaidia DJ Kufikiri ni wakina Lema, Msigwa na vijana wa aina hiyo unategemea Chadema itabadilika?
 
Mkuu wakati wewe unaangalia kitukio kidogo ktk uchaguzi wa marudio wa madiwan Mimi nimekupa reference kibao za matukio ya kinyama kibao ktk uvunjaji wa democracy. Ukitaka kufananisha hali ya democracy ya sasa na ya huko nyuma jitaid usiwe selective ktk kukumbuka matukio.Huko nyuma yametokea mengi sana.HUWEZI linganisha umwagaji damu wa arusha 2011 na vimatukio vya uchaguzi wa juzi.Ukiacha watu waliouawa kuna watu walivunjwa miguu.Na sio tukio hilo tu.Na kama uvunjaji wa democracy zaman ulikua wa kawaida basi huko Zanzibar CCM ingekuwa imetoka madarakan kitambo sana.

Pole wewe unaagalia umwagaji damu wa mtaani huko, mimi nazungumzia wa ndani ya kituo cha kupiga kura,

labda tunatofautiana tunachobishana,

Mimi nakuambia rafu mpya zilizokuja juzi ni zinafanyika ndani ya kituo hizi hazijawahi kutokea, hayo uliyosem awewe ya umwagaji damu ni kawaida, lakini hakujawahi kuwepo kwa umwagaji damu ndani ya vituo, kwanini uelewi tofauti ya umafia uliofanyika juzi ndani ya vituo n huo umwagaji damu wa kuandamana?

mimi nazungumzia zoezi la upigaji kura , wewe unazungumzia maandamano, maandamano sio jipya kwani hata wanafunzi tumeona wakiandamana wanapigwa hata VIWETE walipo anadamana walipigwa, mimi nakuambia uchaguzi wa juzi hujuma ya ndani ya vituo vya kupiga kura ni Mpyaa haijawahi kutokea, labda ufananishe na ununuzi wa mawakala na wagombea lakini bado haifanani na hii ya kufukuza na kupiga mawakala tena wakiwa ndani ya kituo.
 
Yaliyotokea awamu zilizopita haikuwa sawa ila CCM walikuwa hawashindi kata zote pamoja na kuwa walikuwa wanaiba kura. Hiyo ndio tofauti

Wizi w akura na tofauti na unyanganyi na utekaji wa kura, hii juzi kufukuz amawakala na mnajipangia wenyewe idadi ya kura ni mpyaa!
 
Pole wewe unaagalia umwagaji damu wa mtaani huko, mimi nazungumzia wa ndani ya kituo cha kupiga kura,

labda tunatofautiana tunachobishana,

Mimi nakuambia rafu mpya zilizokuja juzi ni zinafanyika ndani ya kituo hizi hazijawahi kutokea, hayo uliyosem awewe ya umwagaji damu ni kawaida, lakini hakujawahi kuwepo kwa umwagaji damu ndani ya vituo, kwanini uelewi tofauti ya umafia uliofanyika juzi ndani ya vituo n huo umwagaji damu wa kuandamana?

mimi nazungumzia zoezi la upigaji kura , wewe unazungumzia maanadamano, maandamano sio jipya kwani hata wnafunzi tumeona wakindamana wanapigw ahata VIWETE walipo anadamana walipigwa, mimi nakumbia uchaguzi wa juzi hujuma ya ndani ya vituo vya kupiga kura ni Mpyaa haijawahi kutokea, labda ufananishe na ununuzi wa mawakala na wagombea lakini bado haifanani na hii ya kufukuza na kupiga mawakala tena wakiwa ndani ya kituo.
Mkuu Ttz mnadili na matukio hamdili na agenda ndio maana leo unataka kujadil tukio la kuzuiliwa mawakala ktk vituo.Inatakiwa uwe na agenda ambayo itakupelekea kuzuia aina yyt ya uvunjaji wa democracy. Matukio yote yanayoendelea yako ktk msingi wa uvunjaji wa democracy. Watu hawajaanza kupigwa mapanga mwaka huu kwenye uchaguzi au kuuawa ingawa uchaguz huu hakuna mauaji. Democracy ni pana na usichukue kitukio kimoja ndo ukataka kukijengea hoja na najua Ttz lenu UPINZANI mnaamin kila kinachotokea awamu hii ni kipya na kibaya sana na hakijawah tokea huko nyuma.Mnaona huu ndio uongoz wa kikatili zaid kuliko uongoz wwt ule uliopita lkn tukija kwenye records utaona utawala huu hauna jipya na huenda ukawa bora kuliko zilizopita. Mngekua mnaamini hakuna jipya ktk utawala huu naamn mapungufu ya zaman mngeyafanyia Kaz na tayar mngekua mnajua mnaenda kukutana na nn.Ni muda wa kubadilisha njia za kufanya siasa sio kusubir kupiga kelele ooh awamu hii ni mbaya sana.Democracy nayoikumbuka ni Ile ya kunywa juice ikulu lkn baada ya hapo UPINZANI uliendelea kuchezea mabom na malungu kama kawa.MKUU HAIITAJI KUSHUPAZA SHINGO,CCM ni Ile ile na haijawah kuwa Rafiki wa kweli kwa wapinzan pale linapokuja swala la MASLAI YA CHAMA.
 
Si kweli, yangetokea mbeya haya wasingeshinda hata hiyo moja!
Unapingana na Mbowe?Kwa sababu Mbowe ametoa kasoro katika kata 5 tu za Arumeru mashariki na akaeleza huko ndipo watu walipopigwa na mawakalla kutolewa nje...hata kwake pale HAI mambo yalienda shwari na amkubali kipigo
 
Ulifunga siku 40 kama YESU ili "shetani" wa sasa apite! Kapita kwa maombi yako sasa huamini kama huu ushetani ni wake...... Unaanza kutafuta justification ya ushetani wake

Shetani ni shetani tu na dhambi ni dhambi
 
Mkuu Ttz mnadili na matukio hamdili na agenda ndio maana leo unataka kujadil tukio la kuzuiliwa mawakala ktk vituo.Inatakiwa uwe na agenda ambayo itakupelekea kuzuia aina yyt ya uvunjaji wa democracy. Matukio yote yanayoendelea yako ktk msingi wa uvunjaji wa democracy. Watu hawajaanza kupigwa mapanga mwaka huu kwenye uchaguzi au kuuawa ingawa uchaguz huu hakuna mauaji. Democracy ni pana na usichukue kitukio kimoja ndo ukataka kukijengea hoja na najua Ttz lenu UPINZANI mnaamin kila kinachotokea awamu hii ni kipya na kibaya sana na hakijawah tokea huko nyuma.Mnaona huu ndio uongoz wa kikatili zaid kuliko uongoz wwt ule uliopita lkn tukija kwenye records utaona utawala huu hauna jipya na huenda ukawa bora kuliko zilizopita. Mngekua mnaamini hakuna jipya ktk utawala huu naamn mapungufu ya zaman mngeyafanyia Kaz na tayar mngekua mnajua mnaenda kukutana na nn.Ni muda wa kubadilisha njia za kufanya siasa sio kusubir kupiga kelele ooh awamu hii ni mbaya sana.Democracy nayoikumbuka ni Ile ya kunywa juice ikulu lkn baada ya hapo UPINZANI uliendelea kuchezea mabom na malungu kama kawa.MKUU HAIITAJI KUSHUPAZA SHINGO,CCM ni Ile ile na haijawah kuwa Rafiki wa kweli kwa wapinzan pale linapokuja swala la MASLAI YA CHAMA.

Nimeshindwa kusoma hii post yako yote maana inaonekana hata MADA HUIJUHI,
je unaweza kusoma tena heading ya MADA yenyewe?
Hii hapa:-
"
Swali Korofishi: Ni jambo gani limetokea Uchaguzi Mdogo ambalo halikuwahi kutokea kabla?"

Ukishaielewa naomba tuje tujadili hii mada! na kama unayako anzisha thread yako nitakuja huko tuijadili.
 
Unapingana na Mbowe?Kwa sababu Mbowe ametoa kasoro katika kata 5 tu za Arumeru mashariki na akaeleza huko ndipo watu walipopigwa na mawakalla kutolewa nje...hata kwake pale HAI mambo yalienda shwari na amkubali kipigo

Sijuhi kama alikuw anaongelea uchaguzi wote au alikuw anaongelea yaliyotokea morogoro na dar es salaam ?
 
[QUOTE="Waterloo, post: 24644115, member: 32721hilo hapo halijawahi kutokea.[/QUOTE]
Si bora Cheti. Unakumbuka kilichotekea Zanzibar wakati wa Mkapa. Mwanzisha thread ana nia nzuri kabisa ya kuamsha bongo za Nyumbu lakini naona haileweki.
 
1.Kubwa ninaloliona mie kujiuzulu kwa Madiwani wa CHADEMA
2.MADIWANI HAO KURUDI KUGOMBEA kupitia CCM
3.kubwa zaidi ni kuwaona viongozi wa CHADEMA kusubiri ushindi ktk KATA ambazo wapiga kura wamegoma kushiriki kuhofia kuwachagua MADIWANI wengine kupitia CHADEMA ambao unajua kabisa baada ya miezi 6 nao WATAJIZULU
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Mojawapo ya matatizo ambayo yanasumbua sana upinzani sasa hivi ni kujaribu kutenganisha matukio na mwelekeo wa siasa Tanzania. Kwa mfano wakati wa Mkapa mambo yalitokea yakaonekana ni ya Mkapa tu; alipokuja Kikwete mambo yakatokea tena na yakaonekana kuwa ni ya Kikwete tu na Mkapa akasahaulika; umekuja wakati wa Magufuli mambo yote yaliyotokea wakati wa Mkapa na Kikwete yamesahaulika hadi baadhi ya watu wanaanza kutamani zama zile!

HIvi ni kuwa watu walisahau yaliyotokea Babati na Arumeru Mashariki au Igunga wakati wa Uchaguzi Mdogo? Hivi watu wamesahau jinsi gani chaguzi hizo ndogo zilivyokuwa na vurugu na hata umwagikaji damu? Au watu wamesahau kabisa watu walivyopigwa kula Babati na yule kijana kuuawa kule Igunga?

Kosa kubwa la CHADEMA kisiasa sasa hivi ni kuwa na wao wanajitahidi sana kuwa kama CCM!

Fikiria....
MMM bado hujaapishwa kuwa balozi??
 
Boss...
Jana ulilala na njaa, kwahiyo hata ukilala njaa ni sawa? Kisa tu imefanana na jana?

Au

Labda ulitaka kusema kuwa kesho njaa weza ikawepo kwahiyo ni vyema kulima leo?

Kama maana yako ni hii ya pili, basi sawa na ubarikiwe kwa kutukumbusha.

Kama maana yako ni hiyo ya kwanza, mzee ukumbuke nyumbani ni kwetu sote, angalia wajukuu wako wasikose wa kucheza nao. Natania tu mkuu, ila umezingua.
 
Back
Top Bottom