Luuggambwaaa ajigijig ajiagijiii
KivipiNi Maua kwani huyu?
Hawa ni mapunga waliojificha kwenye usanii! Mwanaume rijali hawezi kuvaa hivyo bana hata kama ni fashion. Kwa umri wa huyo mzee kwendelea kuvaa mavazi ya hivyo Kuna jambo!
Anavaa sana kikeKivipi
Designer wake ni binti yake anaitwa DidiAnavaa sana kike
Kwao wanaume kujiremba kupendeza ndio mpango mzima( tamaduni) tofauti na sisi.Designer wake ni binti yake anaitwa Didi