Tatizo limesharekebishwa 🤣Sasa tumepata kisingizio cha mkongo wa taifa kuharibika. Tutarajie hali hii kwa miezi kadhaa kama si miaka.
Wapi wameweka sawa?Wenzetu washaweka mambo sawa lkn sisi tupo na Nape tunadema dema
Ingia Netblocks wanaupdate taarifa kila baada ya mda flanWapi wameweka sawa?
Ukiona hii internet fake, inafungua mtandao wa X, then ujue imesharudi kwenye uhalisia wake.Sasa tumepata kisingizio cha mkongo wa taifa kuharibika. Tutarajie hali hii kwa miezi kadhaa kama si miaka. Ila bei itazidi kupaa.
Halafu watumishi wananyanyasika kujaza taarifa za utendajiSasa tumepata kisingizio cha mkongo wa taifa kuharibika. Tutarajie hali hii kwa miezi kadhaa kama si miaka. Ila bei itazidi kupaa.
Hii Dunia kuzimwa ni kitu kidogo sana,na Kila kitu kitasimama.Ingia Netblocks wanaupdate taarifa kila baada ya mda flan
Hii ni sawa na kuwashauri wanawake wawanyime waume zao unyumba.Ushauri wa bure. Tusinunue bando la MB, kamaunataka bando basi nunua ila isizidi MB 200.
Huu ndiyo utakuwa wimbo bora mpka 2026Sasa tumepata kisingizio cha mkongo wa taifa kuharibika. Tutarajie hali hii kwa miezi kadhaa kama si miaka. Ila bei itazidi kupaa.
**Ushuzi umepata mjambaji
Baadae kamati bunge fake inayohusika na mawasiliano iende kuangalia. hatari sn1. Bodi ya Wakurugenzi wakae vikao kadhaa kupitisha dodoso la kurejesha internet.
2. Dodoso lipitishwe na Kamati Kuu ya Chama,
3. Kidumu Chama chetu
Asubuhi hii naona una kasi snMtandao sio mzuri
Tatizo halikuwa mkongo wa Taifa. Fuatilia habari vizuri, usipotoshe watuSasa tumepata kisingizio cha mkongo wa taifa kuharibika. Tutarajie hali hii kwa miezi kadhaa kama si miaka. Ila bei itazidi kupaa.
**Ushuzi umepata mjambaji
Nawapongeza Halmashauri Kuu kwa kurejesha internetAsubuhi hii naona una kasi sn
Tuna hamia kwenye simu ndogo.. AKA viswaswadu... Tunanunua zetu modem na laptop au kama huna uweo ni internet cafe,,,, yaani kutumia mtandao ni mwezi hadi mwezi,,,, tena tukiingia dikk 10 nyingi inafanya jambo la msingi unapotea....Sasa tumepata kisingizio cha mkongo wa taifa kuharibika. Tutarajie hali hii kwa miezi kadhaa kama si miaka. Ila bei itazidi kupaa.
**Ushuzi umepata mjambaji